Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

Tulikua tukiita University of Moshi But not Well Established (UMBWE) katikati ya maua unakuta bangi zimejiotea,, mdau katupa mbegu,
 
Umesahau ile fujo ya mwaka 2003 mlipokuja mpirani pale Umbwe mzee.?
 
Nakumbuka kidato Cha pili tulipiga pepa tupo Mia Saba na ushee.. kidato Cha Kwanza tumeanza na jamaa Wana umri wa miaka 25 /28 darasa letu pekee Lina mikondo mitano Cha ajabu zaidi mabweni yalikua manne tu yenye uwezo wakubeba wanafunzi 160 tu kwakila bweni .
 
Unasoma shule mpaka unamaliza Kuna class mate huwajui, kila siku unakutana na sura mpya.
 
Golikipa alifariki kipindi Cha head master wakuitwa mtera hii ya form four na three kisambazwa shule za kata ilikua ishu ya uongozi wa wanafunzi na wanafunzi wenyewe kipindi Cha headmaster wakuitwa wandiba
Hujafikiria juu ya Golikipa SHABANI aliyeugua mpka kufa 2008?Tuliandamana mpka kwa mkuu wa mkoa...tukasambaratishwa ktk shule za kata..mpka leo sidhani kama kuna o level pale Lyaboys
 
Boys kazi kwelikweli, ndio akili ziliharibikia huko aisee..
Kuna Vijana wale Wa Kwiro kama sikosei 2007-2009 waliua mwenzao kwa kupimpiga na chaga ya Kiuno.
 
Sure mkuu. Kuna tukio moja headmaster. Alipokelewa beg lake na mwanafunzi alafu akatembea nalo mazima . Lyamungo ilikua vituko sana, mpishi mwenyewe alikua mbabe sana ukijichanganya huna bahati,anatembea na sime maana wanafunzi hawatabiriki muda wowote wanakugeuka.
Unasoma shule mpaka unamaliza Kuna class mate huwajui, kila siku unakutana na sura mpya.
 
Manase huyo, anarusha ugali mita kadhaa usipodaka imekula kwako
 
Mkuu unazimia kwa njaa ya siku 1 tu ? Dah kweny harakati za kibandidu watu tunakaa siku 3 hatujagusa ktu had ukinywa maji unaskia utumbo unavyouma
 
Musoma tec Vs Songe ndo ilikua kisanga ingine fujo zimeisha songe walivyo baki girls peke yao Tec wakabak boys uhasama ukafa
 
Kuna kichwa kilikuwa kinaitwa Lyaruu
 
Mawenzi advanve na umbwe advance walikuwa wanaiva sana....pub Alberto ndo yalikuwa makutano. Naomba ziku zirudi nyuma. Mguu wako tu uko town halafu kinywaji kutoka umbwe[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Meku damu ya mtu hutesa sana,waliohusika lazima wanapata msongo wa mawazo mpka leo hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…