Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

Yule ulomy mzee wa katizi,alishakunywaga damu ya mtu...ni noma
 
Nakumbuka binti yake makange kwa jina Nakiete,Somsom sec....Mara ya mwisho nilimuona Makange Arusha,kachoka sana.
 
Mkuu umesahau sweeming pools,makanisa na misikiti...yaani hizi shule unachoka
 
Umbwe na vyoo vya shimo. Tena vimejengwa kinyume cha miongozo ya ujenzi. Vinajengwa mlimani afu mabweni bondeni kha! Any way ila Ile shule ni ni mti safi hata huku nje tunatambuana na kusalimiana kama mti safi.
Poleni mlioshuhudia vifo vya mapigano at that age.
 
Ni bahati pia kuwa nilisoma Lyamungo Sec A Level...ni miongoni mwa mwanafunzi aliyekuwepo kwenye form five ya kwanza mwaka 2001, July. Mwalimu Mkuu alikuwa Bureta na Nidhamu alikuwa Mwalimu Shoo.
Mwenyew nilikuwa hapo miaka hiyo
 
Aisee kweli kama mm nilisoma Mwenge Singida, ukifika shule yale majengo yalijengeka kweli, lakini sasa hivi yalivyochakaa mpaka aibu
 
Ulisoma Ubwe kumbe dooooh mm ni
lishuhudia A to Z lile tukio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…