Dah acha tuu mkuu niliamini kuna watu wana roho ngumu asee alipigwa kama mwizi.Kuna jamaa alisimulia jinsi uyo mchizi wa umbwe alivyuouawa, aisee ni mateso makali jamaa alipitia.
Ahaa haaa bila shaka nilikuogesha kwenye ule mfereji uliopita kati ya uwanja na mabweni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Yaani akili za kitoto bhana. Ilikua principle form five wakishareport tunawamsha kuwakaribisha uboyzini.Jamaa walimuulia uwanjani karibu na bweni ka mkapa,. Niliposoma uzi huu nimejikita ninawaza mengi ila mkuu washule wa lyamungo kipindi hicho wandiba alikua mtu wa kuchochea ghasia maana ninakumbuka tulienda pale form 5 tukakuta o,lever wanapiga fimbo usiku kama nn ila wandimba alikua akituelezea komaa nyie ni wakiume. Dah ninatamani tuwasiliane na ww mtoa uzi wenda tuna fahamiana.
Dah!.Siyo kumbu kumbu nzuri sana; Lyamungo ni Jeshi maana hata Stream zilikuwa ni J,K & T badala ya A,B& C mlizizoea kwingine.Mazoezi yake ni Infrequent Soweto na kupakia lorry TX la Mzee Murri kwenda shambani Weruweru.Watu na majembe hupakiwa gari likiwa speed 50-60 km/h without injuries.
Inafikirisha lakini!
Lakini waliokosea ni umbwe kuwafata lyamungo ilhali wangetulia sidhanj kama yangetokea hayo kwa jamaa. Kilichomuua jamaa ni kubaki kuendelea kuharibu mali.Dah acha tuu mkuu niliamini kuna watu wana roho ngumu asee alipigwa kama mwizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma Umbwe,ugomvi na lyamungo umeanza muda,hata sisi tulivyowakuta mabraza walikuwa wanatupa story za ugomvi na lyamungoSiyo kumbu kumbu nzuri sana; Lyamungo ni Jeshi maana hata Stream zilikuwa ni J,K & T badala ya A,B& C mlizizoea kwingine.Mazoezi yake ni Infrequent Soweto na kupakia lorry TX la Mzee Murri kwenda shambani Weruweru.Watu na majembe hupakiwa gari likiwa speed 50-60 km/h without injuries.
Inafikirisha lakini!
Kweli mkuu ile shule ni zaidi ya jeshi mpaka namaliza form 2010 nilishukuru Mungu, ilibidi nikatoe shukrani kanisani kwa kweli.Siyo kumbu kumbu nzuri sana; Lyamungo ni Jeshi maana hata Stream zilikuwa ni J,K & T badala ya A,B& C mlizizoea kwingine.Mazoezi yake ni Infrequent Soweto na kupakia lorry TX la Mzee Murri kwenda shambani Weruweru.Watu na majembe hupakiwa gari likiwa speed 50-60 km/h without injuries.
Inafikirisha lakini!
Yap, alijikuta captain akaendelea kurusha mawe watu wakaanza kumkimbiza akafika uwanjani alipigwa mtama hapo ikawa kila aliyemkuta anapiga sio mwenye fyekeo, mwenye mpini, mwenye jiwe, wengine walimkanyaga dah so sad mpaka akakata kamba. Kuna mwenzake nae alikimbilia nyumbani kwa mpishi alichomolewa akaletwa pembeni ya mwenzake. Nae alikula kichapo ila wakamuonea huruma. Akapelekwa KCMC ila nadhani alipona. Na kama alipona nadhani alipata kilema cha maisha.Lakini waliokosea ni umbwe kuwafata lyamungo ilhali wangetulia sidhanj kama yangetokea hayo kwa jamaa. Kilichomuua jamaa ni kubaki kuendelea kuharibu mali.
Nawakumbuka sana hawa vijana! Kuna jamaa alkuwa anaitwa charles(2012-2014 HGL) alikuwa anajenga hoja kama zitto! Sijui yu wapi now?Haaa kina Secretary Imma wa EGM, kina Dickison wa HGL, Deodgard Dezideli wa CBA, etc
AiseeeKijana wa umbwe aliyeuliwa alikua anaitwa Ayubu
Hadi Leo Kuna kitanda chake kikiwa kimetandikwa vizuri na vitu vyake baadhi vilevile, Kama sehem ya historia ya kumuenzi
Hii shule mpka wanafunzi mnapanga yoye hayo uongozi uko wapi😳😳😳Leo nimeamka na kuwaza kwa machungu sana na maumivu moyoni nikikumbuka vurugu zilizotokea kati ya shule niliyokuwa nasoma Umbwe Sec na Lyamungo Sec August 2009, vurugu zilizoacha vifo, majeraha na uharibifu. Shule mbili zilizopo katika wilaya mbili tofauti (Moshi Vijijini na Hai), zilizopo katika jamii mbili tofauti za wachaga zilizokuwa na mgogoro miaka ya nyuma (Wakibosho na Wamachame), Umbwe sec ikiwa na idadi kubwa ya vijana kutoka Arusha, Kilimanjaro, Singida, Manyara, kanda ya juu kusini, kanda ya ziwa kwa uchache ...Wakati Lyamungo ikiwa na idadi kubwa ya vijana kutoka Mara, mikoa mengine ya kanda ya ziwa, Arusha, Manyara Kilimajaro kwa uchache
Mzozo ulianza Umbwe Sec tulipoenda kucheza mechi na Lyaskika, shule ya kata iliyopo karibu na Lyamungo. Vijana wa Lyamungo walikuja kuishangilia shule ya lyaskika, wakiwa kwa uchache, kulianza mvutano wa maneno kati ya vijana Lyamungo na Umbwe. Kutokana na wingi wao, Vijana wa Umbwe waliweza kuwapelekesha vijana wa Lyamungo. Vijana wa Lyamungo waka-organize na kurudi shuleni kwao ambapo walienda kuwakusanya wenzao waliobaki shuleni na kurudi uwanjani wakiwa na mafyekeo, fimbo..etc. Walikuja kwa kwasi sana wakiwa na silaha. Hii ilwapelekea vijana wa Umbwe kukimbia hoe hae, wengine kwenye mashamba ya mahindi na coffee. Wachache waliweza kufikiana na kuanza kupigana huku vijana wa Lyamungo wakiwa na advantage kutokana na silaha zao. Katika harakati za mapigamo, kijana mmoja wa Lyamongo alizungushiwa waya ya senyenge shingoni na vijana wa Umbwe na kuivutia shingoni hadi ikatoka na nyama za shingoni.
Vijana wa Umbwe kwa kukimbia waliweza kurudi shuleni, tukiwa katika jaziba na hofu kuwa vijana wa Lyamungo wanaweza kurudi, wale ma-brother wakubwa walitupangia mawindo ya usiku kwa makundi kila kona ya shule. Na story kubwa iliyokuwepo ni kuwa ikifika asubuhi na mapema tunatakiwa kwenda kuwavamia Lyamungo shuleni kwao. Asubuhi ilifika kila mtu akiwa na silaha, tukiwa tumevalimia vitambaa vyeupe kichwani ili tutambuane na kupeane code names ili tusiweze kushambuliana kimakosa. Tukaanza safari, nakumbuka tulipita sehemu na mama mmoja alikuwa akipalilia shambani akaanza kulia na kutuomba tusiende ila vijana hatukuelewa tukazidi kwenda.
Tulipofika shuleni Lyamungo tukaingia kwa kasi sana na kuanza kuwashambulia vijana wa Lyamungo na kuharibu miundombinu yao. Nakumbuka kuna jamaa alikuwa akitumia kombeo alimlenga kichwani jamaa mmoja aiyekuwa ana piga mswaki dirishani. Tulifanya shambulizi kwa kasi sana na kurudi shuleni ambapo tulikuta polisi wameshafika shuleni Umbwe na tukakalishwa chini wote. Bila mategemeo wala kudhania, tukapata taarifa kuwa kuna mwanafunzi mwenzetu amefariki kutokana na kupigwa na wanafunzi wa Lyamungo. Maan, my whole world collapsed....baada ya siku kadhaa pia tukapata taarifa kuwa yule mwanafunzi wa Lyamungo aliyezungushiwa waya ya senyenge shingoni amefariki dunia.
Zile nyakati ni moja ya kati vitu vigumu vilivyowahi kutokea maishani mwangu. Nikikumbuka jinsi yule mama wa yule kijana aliyefariki alivyofika shuleni na kuanza kuangua kilio pale administration block, huwa naumia sana. Nikimfikiria kijana wa lyamungo aliyezungushia senyenge na baadae kufariki naumia pia. Nafikiria zaidi kuhusu familia zao, mategemeo waliyokuwa nayo juu yao.
12 years later, bado moyo wangu ni mzito, kama bado haukuwahi ku-experience vita usiombe iweze kutokea katika mazingira yako.
May the Lord grant us his Mercy.
View attachment 1824561
Jamaa walitukata mikia nakumbuka tulikuwa form 5 wandiba alikuwa chizi sana...niliteseka miezi mitatu nikaona nihame shule...hivi madam Keisha bado yupo?Jamaa walimuulia uwanjani karibu na bweni ka mkapa,. Niliposoma uzi huu nimejikita ninawaza mengi ila mkuu washule wa lyamungo kipindi hicho wandiba alikua mtu wa kuchochea ghasia maana ninakumbuka tulienda pale form 5 tukakuta o,lever wanapiga fimbo usiku kama nn ila wandimba alikua akituelezea komaa nyie ni wakiume. Dah ninatamani tuwasiliane na ww mtoa uzi wenda tuna fahamiana.
Wewe unaongelea uongozi polisi wenyewe walikua waoga. Walikuja baadae sana fujo zilipotulia wakaanza kuchukua taarifa pale na alikuja mpaka RC.Hii shule mpka wanafunzi mnapanga yoye hayo uongozi uko wapi[emoji15][emoji15][emoji15]
Ahaa haaa ulishindwa mtiti. Dah yule madam alikuwa mweupe kama mzungu. Sijui alifikiria nini kuja kufundisha uboyzini.Jamaa walitukata mikia nakumbuka tulikuwa form 5 wandiba alikuwa chizi sana...niliteseka miezi mitatu nikaona nihame shule...hivi madam Keisha bado yupo?
Nyie wajinga mlituogesha na kutukata mikia kwenye ule mfereji...karibu na bweni la Alhasani...namkumbuka Rad man na jamaa anaitwa Mchina alikuwa dom leader sijui wako wapi now.Ahaa haaa bila shaka nilikuogesha kwenye ule mfereji uliopita kati ya uwanja na mabweni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Yaani akili za kitoto bhana. Ilikua principle form five wakishareport tunawamsha kuwakaribisha uboyzini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile shule kama wewe ni mtoto wa mama huwezi kukaa hata wiki hutoboi.Jamaa walitukata mikia nakumbuka tulikuwa form 5 wandiba alikuwa chizi sana...niliteseka miezi mitatu nikaona nihame shule...hivi madam Keisha bado yupo?
Ahaaa haa pole mkuu hao siwakumbuki mimi nilikua O-level.Nyie wajinga mlituogesha na kutukata mikia kwenye ule mfereji...karibu na bweni la Alhasani...namkumbuka Rad man na jamaa anaitwa Mchina alikuwa dom leader sijui wako wapi now.
Mtiti ulinishinda kila siku kuogeshwa kwenye mfereji,nakumbuka mara ya mwisho tulilala porini na mshikaji wangu tulipokea taarifa nmapema kwamba form 5 usiku huo walikuwa wanakatwa mikia...na kweli jamaa walikatwa mikia asubuhi tulikuta jamaa wanalia...kule bweni la mkapa kuna jamaa alivunjwa kichwa alisukumwa kwenye ngazi....kuna mshkaji alikuwa anaitwa Bitoz form six walikuwa hawampendi kisa tu ana perfume nzuri walitaka kumuuwa.Ahaa haaa ulishindwa mtiti. Dah yule madam alikuwa mweupe kama mzungu. Sijui alifikiria nini kuja kufundisha uboyzini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah maisha bana ila kuna kumbukumbu nzuri na mbaya asee.Mtiti ulinishinda kila siku kuogeshwa kwenye mfereji,nakumbuka mara ya mwisho tulilala porini na mshikaji wangu tulipokea taarifa nmapema kwamba form 5 usiku huo walikuwa wanakatwa mikia...na kweli jamaa walikatwa mikia asubuhi tulikuta jamaa wanalia...kule bweni la mkapa kuna jamaa alivunjwa kichwa alisukumwa kwenye ngazi....kuna mshkaji alikuwa anaitwa Bitoz form six walikuwa hawampendi kisa tu ana perfume nzuri walitaka kumuuwa.