Vurugu za Bungeni: Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.

aiseee nime ona mahali ume andika spika ni Dhaifu kumbe ameanza kua dhaifu toka kitambo
 
Kuna sababu nyingi zilizosababisha bunge kumtelekeza ikiwa pamoja na yeye kukataa kufuata taratibu, hata hivyo baada ya kupona alitakiwa arudi bungeni. Badal yake akaanza kuzurula nchi mbali mbali, hivyo bunge halina kosa hapo.
 
Nina kovu la risasi na la upasuaji siyapendi kabisa mwilini mwangu...
Makovu ya moyoni dawa yake naijua.......
yanatibika, pia kuna ointments za kuondoa makovu superficial kama birthmarks, au stretch marks.
P
 
Kuna sababu nyingi zilizosababisha bunge kumtelekeza ikiwa pamoja na yeye kukataa kufuata taratibu, hata hivyo baada ya kupona alitakiwa arudi bungeni. Badal yake akaanza kuzurula nchi mbali mbali, hivyo bunge halina kosa hapo.
Kisheria, kikanuni na kiutaratibu, Bunge liko very right, lakini kiukweli morality, kiutu na kiu binadamu, this is very wrong, it's just like adding an insult to an injury.
Kutia chumvi kwenye kidonda.
P
 
Kisheria, kikanuni na kiutaratibu, Bunge liko very right, lakini kiukweli morality, kiutu na kiu binadamu, this is very wrong, it's just like adding an insult to an injury.
Kutia chumvi kwenye kidonda.
P
Bro nakuheshimu sana ila naomba tukubaliane tukokukubaliana.
 
Naibu Spika yeye alipata matokeo mazuri first degree,mbali na kuwa na kauwezo ka kawaida,pi kutokana na ka utaratibu ka pale mlimani ka waalimu kuwa na mtandao wa mtu wamtakaye,kama wakikutaka,basi anayehitaji wewe ufaulu atawasiliana na wenzie,kila mmoja atakutwanga "A" au "B+", utapata chansi ya LLM, kwa gharama za chuo,then PhD

Dk Tulia alibebwa na Mzee Mwandosya(prof) alimtengenezea network nzuri,akapata maksi nzuri, na akamuunganisha na watu sahihi kwa wakati sahihi
 
Leo ni Tundu Lissu day, ilikuwa arejee, leo, japo hakurejea, tunamuadhimisha kwa kumtafakari kwa sababu


Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.


Tuvute subra.

Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.

P
 
Mayalla, wewe na Lissu mnalingana?
Ona aibu mdogo wangu.
No mimi na Lissu, hatulingani, japo tulikuwa shule moja Ilboru, mimi nikiwa A level, Lissu alikuwa O-level hivyo kwa Lissu mimi ni Kaka yake, na yeye ni mdogo wangu.
Lissu ni kichwa mbaya, mimi ni mtu wa kawaida.
Nimeisha mzungumza sana Lissu humu jf.
P
 
"Sisi na vilaza wengine tukaishia kwenye vile vyuo vya mashenzini!. "-pascal mayalla

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Pasco bhana hahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
 

Hivi huyu Pascal Mayalla wa enzi hizo yuko wapi siku hizi..?

Au "bwawa ndiyo hivyo tena, lilishaingia luba" bhageshi...???
 
Dear School mate Tundu Lissu, najua umepitia makubwa. Welcome back home. Nakuomba sana upunguze kidogo kuliishi jina lako, usimsumbue huyu Mama kama ulivyomsumbuaga yule Madam, Mwenyekiti wako Mbowe tayari ameisha onyesha uungwana na ustaarabu mkubwa, wa hali ya juu@, please do the same!, tufanye siasa za kiungwana na kistaarabu. Kubebwa bebeka, ukipedwa pendeka, ukishikwa shikamana, ukiaminiwa jiaminishe!.
Yaliyopita si ndwele, samehe, tugange yajayo tusonge mbele!.
Welcome back home.
Your school mate
Pasco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…