Vurugu za Bungeni: Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.

Mhe. Tundu Lissu ndiye aliyetangaza kuvuliwa uanachama Zitto kwa mijibu wa kanuni batili, inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT!.

Hapa nafanya tafakuri tuu!.

Pasco
 
Mhe. Tundu Lissu ndiye aliyetangaza kuvuliwa uanachama Zitto kwa mijibu wa kanuni batili, inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT!.

Hapa nafanya tafakuri tuu!.

Pasco
Ni kanuni ipi inayokwenda kinyume na katiba yako mbovu hiyo? Tazama kina Singh Seth wanavyotuchezea kuweka mapingamizi mahakamani tusiujadili wizi wao! CDM haijawazuia wanachama wake kudai haki zao za kichama mahakamani, lakini wakifanya hivyo kwa hila kama alivyofanya kipenzi chako, na huko mahakamani wakabwagwa chini, hakuna jingine ispokuwa kuachana nao. Hakuna nafasi ya uhuni CDM, fanyeni uhuni hukohuko kwenu.

Unaonaje katiba yako ya jmt ingeiba hivyo vipengele kwenye katiba yetu tukuka walau kupambana na wajingawajinga kama kina mtemi Andrea!
 
Mhe. Tundu Lissu ndiye aliyetangaza kuvuliwa uanachama Zitto kwa mijibu wa kanuni batili, inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT!.

Hapa nafanya tafakuri tuu!.

Pasco

nenda mahakamani kama hujalizika na uamzi sio kujaza mandishi humu kila sehemu ni wewe tu!
 
Hiyo ndo cdm ukienda mahakaman jipange kweli kweli ukishindwa umekwenda na maji. Mtu Unajua kwennda mahakamn ni kuvunja katiba ya chama alaf unaenda kibwege ----- lazima upate stahiki yako
 
Baada ya toto tundu Tundu Lissu kuchaguliwa rais wa TLS, sasa ni zamu ya Rais wetu Magufuli na waziri wake Mwakyembe kuusikilizia muziki wake!. Kichaa kapewa rungu na kibali cha kuua nzi! . Ataponda mtu kichwa kwa excuse ya kuua nzi.

Hongera Tundu Lisu kuwa rais wa TLS! .

Paskali
 
Nimecheka kama mazuri
 
.....
......Pasco siyo Pasikali hapo kwenye LEAT umenikumbusha mbali
 
Mkuu umeamua kuji quote mwenyewe?
 
Pascal Mayalla ukiangalia thread zako zote ulikuwa unampobda lisu lakini Mr Lissu sasa. Ni Raid unanza kujipendekeza pesa ulizopewa kusafisha njia ya KOLOMIJE umeshindwa.

Mayalla kwetu no Njaa.


Swissme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…