Vurugu zaibuka msiba wa watoto matajiri wa Arusha, mwandishi wa Ayo TV anyang'anywa camera

Weee dubyasha funga domo lako

Ntakutoa lokuu weee. Sasa ivi

Let mambo yako ya kishwani hapa.

Tuna majozi tumepoteza masela ujue.

Kunguni wewe
 
Ulipiga wengi wapi wewe acha mbwembwe.
Hadi mke ulishachukuliwa na ukabaki kama zoba wa banana zorro😂😂😂
 
Aliitwa na nani? Watu wako kwenye machungu jitu linakuja kurecord? Si akarecord mwenge? Angenaswa na vibao
😁Haya bana mrembo kwakuwa umesema wewe wacha nisikupinge, lakini nikukumbushe ,misiba ya Magufuli , Nyerere ,Mkapa nk hakukuitwa mtu ila huwa wandishi wanaenda, hata Mimi kwenye ukoo wetu Kila Mara akifa mtu mkubwa huwa tuna record

Nadhani hapo ingetumika tu busara hao vijana wangefuta Kama Kuna picha za msiba na wamuambie mwandishi amekosea

Kwa sisi wasukuma taratibu zetu, hao vijana wangepaswa kutandikwa viboko hapo hapo msibani
 
sasa huyo mwamba nae watu wako msibani anaenda na makamera yake,kama ripoti ya ajali si aende polisi au siku hizi utaratibu umebadilika.
Mtoa mada anataka kumtetea ndg mwandishi kwa sababu ni jamaa yake although ninachoendelea kujiuliza ni hiki, Godfrey alipewa (labda) mtonyo kuwa kuna story , naye bila kushtuka akakurupuka pasi kuacha kamera kwanza akajue what's going on.

Although siyo kila msiba ni wa kukimbilia kisa mwandishi HAPANA tuwe na adabu kwenye misiba ya watu iwe masikini au tajiri mtoa tips na bahasha!.
 
Kuna kanuni za kiuandishi zilivunjwa ndio maana hayo yametokea kwa mwandishi tajwa, kwa tukio hilo Millard Ayo amekumbushwa kuacha mazoea kwenye fani yake ya habari afuate utaratibu tu.. hakuna matatizo kama hayo yatajitokeza tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…