tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Kapata ajali kwa kugonga kingo ya barabara,hata kama angegonga gari ingine police wangesaidia nini wakti marehemu kafia hapohapoMimi naona kama kuna taarifa zinafichwa,kwanza ajali haijaripotiwa
na jeshi la polisi,pili familia kuteketeza memory card ya mwandishi,tatu kama kuna watu wengine wamejeruhiwa katika ajali hiyo na hawana wa kuwasemea,hapo taarifa za mwandishi huviamsha vyombo vingine kuchukua hatua.