Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Huu msiba utakuwa na bia za kufa mtu!
#HAYA BANA WACHAGGA!
#HAYA BANA WACHAGGA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu wako tajiri utajiri haufichiki mkuu!, usemalo sio kweli.Wachaga na watu wa huko kaskazini kwa ujumla, hata ukimnunulia makopo mawili ya pombe atapita kila kona anatangaza "aiseee yule mzee ni tajirii ana hela mbaya" ni watu wa kukuza mambo.
Kuna misiba ya kitaifa na misiba private unapaswa kutofautisha😁Haya bana mrembo kwakuwa umesema wewe wacha nisikupinge, lakini nikukumbushe ,misiba ya Magufuli , Nyerere ,Mkapa nk hakukuitwa mtu ila huwa wandishi wanaenda, hata Mimi kwenye ukoo wetu Kila Mara akifa mtu mkubwa huwa tuna record
Nadhani hapo ingetumika tu busara hao vijana wangefuta Kama Kuna picha za msiba na wamuambie mwandishi amekosea
Kwa sisi wasukuma taratibu zetu, hao vijana wangepaswa kutandikwa viboko hapo hapo msibani
Kuna tofauti kati ya 'kifo' na 'msiba' - wewe ilienda kwenye 'msiba' na sio kwenye 'kifo'Wiki chache zilizopita nilikwenda kwenye kifo kimoja cha utata pale Arumeru kuna bibi alifia kisimani nilipofika nataka anza coverage akaja ndugu mmoja wa marehemu akataka vifaa vyangu maswali mengi then wakanigomea asee watu wa Arusha wakorofi sana hususan kwenye mambo yao hawapendi publicity
Kila anaefariki Arusha utaskia mtoto wa tajiri ina maana mji mzima hakuna maskini. Ule mji wa kiboya Sana wanapenda kusifiana ujinga mda wote. kama kweli wanaweza waje mjini apa DSM tuoneshane umwambaNimeshapiga wengi sana. Siku moja nilizua vurugu kwenye club maarufu inaitwa PICNIC...kwa nje nilikwidana na jamaa akaja na ndugu yake. Nikaamua kuanza kurusha makonde. Niliwapasua vibaya wachaga wale wanaojinasibisha na wamasai. Hamna kitu vijana wa arusha maneno mtupu!
Acha wivu wako tajiri utajiri haufichiki mkuu!, usemalo sio kweli.
[emoji23][emoji23]Tatizo ni watoto wa kitajiri. Mbona misiba ya Kiwalani simuoni huyo Millard ayo akienda kuirekodi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni sawa, publicity ya nini mambo ya huzuniWiki chache zilizopita nilikwenda kwenye kifo kimoja cha utata pale Arumeru kuna bibi alifia kisimani nilipofika nataka anza coverage akaja ndugu mmoja wa marehemu akataka vifaa vyangu maswali mengi then wakanigomea asee watu wa Arusha wakorofi sana hususan kwenye mambo yao hawapendi publicity
Hiyo familia haina ubilionea wowote, wasingekaa kwa mrefu yerooWanataka zile kiki za billionea wa Arusha
Mabilionea wanakaa wapi huko Arusha mwalimu wa tuisheni?Hiyo familia haina ubilionea wowote, wasingekaa kwa mrefu yeroo
Hahaha, mtafuliwa laana sasa endeleeni kusizi kuwakiWeee dubyasha funga domo lako
Ntakutoa lokuu weee. Sasa ivi
Let mambo yako ya kishwani hapa.
Tuna majozi tumepoteza masela ujue.
Kunguni wewe
Unaenda msikitini na nguruwe uachwe sababu hujaanza kujenga banda lake?Habari haijasema Kama mwandishi alikuwa ameanza coverage Bali alikuwa ndio anafika msibani, au Mimi ndio nimewaka ?
Kama Ni hivo nilivoelewa Basi Ni kosa kumnyang'anya vifaa vyake
Taarifa za ajali zinapatikana eneo la ajali na Trafic. Sio kusumbua watu msibani ikiwa hawapo tayari.Mimi naona kama kuna taarifa zinafichwa,kwanza ajali haijaripotiwa
na jeshi la polisi,pili familia kuteketeza memory card ya mwandishi,tatu kama kuna watu wengine wamejeruhiwa katika ajali hiyo na hawana wa kuwasemea,hapo taarifa za mwandishi huviamsha vyombo vingine kuchukua hatua.
Tatizo ni mwendo kasi. Kama abiria na madereva tukijilinda bila kusubiri serikali itulazimishe ajali zinaepukika na kupungua.Hapa ndipo mzee wetu kinana nadharia yake ina bounce, nafikir ni muhimu trafik wamepo mpaka night ...
Bladifaken hawa waandishi wa online tv,unaenda kuhoji msibani mtu kafiwa ili upate nini?wakamhoji january makamba kwanini umeme unakatika hovyo kila sikuKatika hali isiyo ya kawaida vurugu zimeibuka katika msiba wa watoto wawili wa matajiri jijini Arusha ambao walikuwa ni wachumba waliofariki ajalini jana ambapo zimepelekea mwandishi wa habari kutoka AyoTV kunyang’anywa camera.
Mbali na kunyang’anywa camera mwandishi huyo alinyang’anywa kadi (memory card)na kisha kuvunjwa na ndugu wa karibu akiwemo mdogo wa marehemu,Brighton Temu maarufu kama “Bonge “.
Vurugu hizo zimefuatia mara baada ya mwandishi huyo,Gedfrey Thomas kutinga msiba
ni kwa marehemu, eneo la KwaMrefu majira ya saa 10:30 leo jioni kufuatilia tukio la kifo cha mtoto wa Tajiri Denso.
Taarifa zimeeleza kwamba mara baada ya mwandishi huyo kutinga msibani hapo akiwa ameshikilia camera yake mkononi ndipo kundi la vijana waliojitambulisha ndugu wa karibu akiwemo mtoto wa mfanyabiashara anayemiliki mgahawa wa Uzunguni City Park ,Kevin Masuwa alimvamia na kutishia kumpiga mwandishi huyo.
Taarifa kutoka msibani zimeeleza kuwa kundi hilo la vijana wanaodaiwa kuwa katika hali ya ulevi ndipo lilimuamuru mwandishi huyo akabidhi camera na baada ya kuwakabidhi walichomoa kadi na kisha kuivunja na kisha wakamrejeshea camera yake.
Hatahivyo,taarifa zimedai kuwa mara baada ya vurugu hizo ndipo baba wa marehemu tajiri....maaarufu kama “Denso “ndipo alipomfuata mwandishi huyo na kumuuliza gharama za kadi hiyo ili amlipe lakini mwandishi huyo alikataa na kudai anahitaji kadi pekee.
Akihojiwa na waandishi wa habari Mwandishi huyo kwanza alilaani tukio hilo na kudai anawatambua vijana waliomfanyia fujo na kumyang’anya vifaa vyake vya kazi.
Mwandishi huyo alisema kwamba yeye alifika msibani hapo kufuatilia tukio la ajali lililopekea mauti ya kijana huyo kama Mwandishi na ghafla alipoingia ndani ya eneo la tukio alishangaa kuvamiwa na kundi la vijana mbalimbali.
“Mimi baada ya kufika msibani niliingia moja kwa moja eneo la tukio nikiwa nasogea ndani ghafla walitokea vijana ninaowatambua kwa sura wakaniamuru niwakabidhi camera nilipotaka kukataa walitishia kunipiga ndipo nikawakabidhi wakachomoa kadi na kisha kuivunja “alisema Mwandishi huyo
Hatahivyo,alisisitiza kuwa kitendo kilichofanyika sio cha uungwana na anajiandaa kutoa taarifa mbele ya jeshi la polisi mkoani Arusha.
WATOTO wawili wa Matajiri wakubwa katika jiji la Arusha,wanaodaiwa kuwa ni wachumba , Estomi Temu na mpenzi wake Nice Mawala(24)Mkazi wa Njiro walifariki dunia jana kwa ajali mbaya eneo la kwa Mrefu katika jiji la Arusha .
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo ,ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 7 usiku katika eneo hilo wakati gari la kifahari walilokuwa wakitumia lilikuwa kwenye mwendo kasi.
Katika tukio hilo linalodaiwa walitoka Klabu ,Nice alipasuka kifua na kuvunjika mkono wa kulia huku Estomi akiumia kwa ndani na kuvuja damu masikioni puani na mdomoni.
Watu mbalimbali wameendelea kufurika katika msiba huo ambao umeibua gumzo ambapo idadi kubwa ya magari ya kifahari imeibua gumzo kufuatia kupangana kuanzia nyumbani mpaka barabarani katika kituo cha KwaMrefu baada ya kukosekana eneo la maegesho.
Mwisho.
View attachment 2310353View attachment 2310357
Hawa waandishi wa online tv ni hovyo kabisasasa huyo mwamba nae watu wako msibani anaenda na makamera yake,kama ripoti ya ajali si aende polisi au siku hizi utaratibu umebadilika.