Kenya 2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

Kenya 2022 General Election
The trend is as if they are digging their own grave. Riots and violence are likely to happen and this time things might go beyond 2017 post elections.
 
Umeongea ukweli mtupu, Tume imefanya kazi nzuri sana na kila kitu kipo wazi
Raila na wenzake wanajua wameshindwa na ndio maana wanafanya vihoja ili kuchochea wananchi wasiiamini tume na kuleta vurugu
 
Mwisho unasema Ruto ndiye rais wakati hata tume haijatangaza ,usipende kubuni vitu kwa ajili ya ushabiki mandazi weka kalio chini subiri matokeo.
Kila kitu kipo wazi mkuu, matokeo yote yapo online na yoyote anaweza ku download na kujumlisha
Raila anajua matokeo halisi yapoje ndio maana analeta uchochezi
 
Hahaaa usha ingoa kwenye Portal ya tume yao? Fomu zote ziko mule wanacho fanya sasa ni kuhakikisha hard copy basi, hakuna kingine, Ile sio NEC yenu inayo ongoza maiti za Kitanzania
Sasa Tanzania na Kenya nani maiti ? Mbona mnapenda kujitusi
 


Nilipata kuambiwa Jecha yupo Kisaki huko Morogoro!!!, sijui kama ni kweli.
 
Huko huko Kenya, miaka siyo mingi iliyopita kulikuwa na mtu anaitwa Kivuitu, hakuwa na tofauti yoyote na Jecha wetu hapa!
Walishatoka huko.Tujiangalie leo hii kama Tanzania inastahili kusimama kwenye mstari mmoja na wastaarabu wa dunia.
 
Bado vijimakosa hivyo huwezi kufananisha na uhuni wa dhahiri ufanyikao Tanzania.Bado.
 
Wakati wa uchaguzi huwa kuna 'temper' ya hali ya juu mno hasa ushindani unapokuwa mkali, mara nyingi lawama hutupiwa maafisa wa tume tu ila pia wagombea na mawakala wao huweza kuwa moja ya sababu za mivutano.
 
Anayevusha watu kutoka Uganda wamuongezee kura ndio alaumiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…