Kenya 2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

Kenya 2022 General Election
Bora ujiue tu ili mume wa dadaako apumzike kukulisha
 
Wacha wapasuane tu, tujue wapi panapo vuja.
 
Nasikia msimamizi wa uchaguzi katekwa huko, hiyo vipi ishawahi kutokea kwenye nchi ya Amani?
Democrats Africa tunafosi tu.
 
Nasikia msimamizi wa uchaguzi katekwa huko, hiyo vipi ishawahi kutokea kwenye nchi ya Amani?
Democrats Africa tunafosi tu.
Katekwa au kaenda kunywa gongo na wenzie?Ulitaka Afrika i-practise kitu gani mbali ya demokrasia?
 
Umesema yapo mengi sana... nimekuuliza swali simple tu, kama yapi?
Unaishia kutoa povu, nani hatumii akili kati yangu na wewe?
Wewe huna akili za kutumia kuona makosa?
Hapo ulipo unaamini kila kitu kilikwenda sawasawa?

Usinipotezee muda wangu na maswali ya kijinga.
 
Wewe huna akili za kutumia kuona makosa?
Hapo ulipo unaamini kila kitu kilikwenda sawasawa?

Usinipotezee muda wangu na maswali ya kijinga.
Mimi sijaona makosa, wewe uliyeona makosa mengi na unashindwa kutaja hata moja utakuwa zezeta la wapi?
 
Wiliam RRRRRRRRutooooooo.
muzee kitendawili kwisha kibasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…