Kenya 2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

Kenya 2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

Kenya 2022 General Election
Lijaluo Raila liliingizwa cha kike na JK wa Kenya,Uhuru Kenyatta na safari hii halitakuwa na namna ya kuitisha maandamano maana linategemea ulinzi toka kwa walinzi wa Uhuru

Ruto kaingia Ikulu bila kurusha ngumi hata moja
Kashinda kwani

Ova
 
Ile ahadi yako uliyeitoa ulijilipua kweli

Ova
Mkuu mrangi hafii mtu hapa. Nilijiamin Ndo maana nikaitoa Ruto lazima ashinde na awe rais. Na sasa hivi nasisitiza tena RAILA ODINGA AKISHINDA HUU UCHAGUZ NATEMBEA UCHI HADHARANI SIKU TATU MFULULIZO HALAFU KABLA YA KUJIUA NAKUNYA VIOLENTLY NAKUTANDAZA MAVI AGGRESSIVELY KUACHA HARUFU MBAYA NA LAANA.

Prince Kunta hydroxo Ncha Kali Nyamizi Glenn Victoire Magonjwa Mtambuka ras jeff kapita adriz raraa reree MUSIGAJI Extrovert
 
Mnatamkatamka kila wakati hadi asiyejua anaona ni shida hasa.Kwa Raila na kwa Martha Karua kura nyingi kachukua Samoei Ruto.Huo ukabila mnaoung'ang'aniza unatoka wapi kwa mfano huo mdogo tu?
Hujui chochote ndugu yangu.
Eneo analotokea Raila (kwa wajaluo, hasa Kisumu) ameshinda kwa zaidi ya 90%.
Eneo analotokea Ruto (kwa wakalenjini) naye ameshinda kwa zaidi ya 90%.
Wagombea wenza wote wawili wa urais walikuwa ni wakikuyu.

Martha Karua ni Mkikuyu, eneo analotokea yeye muungano wa Azimio (Raila) umeshindwa vibaya (amepata kama 20%), hii ikimaanisha kuwa wakikuyu kwa zaidi ya 80% hawako tayari kumuunga mkono mgombea urais Mjaluo regardless Uhuru na Martha Karua wanamuunga mkono.
 
Hahaha. Raila hashindibiyo nakuhakishia. Hata Mungu hatakubali. Believe me nachokuambia
 
Mkuu mrangi hafii mtu hapa. Nilijiamin Ndo maana nikaitoa Ruto lazima ashinde na awe rais. Na sasa hivi nasisitiza tena RAILA ODINGA AKISHINDA HUU UCHAGUZ NATEMBEA UCHI HADHARANI SIKU TATU MFULULIZO HALAFU KABLA YA KUJIUA NAKUNYA VIOLENTLY NAKUTANDAZA MAVI AGGRESSIVELY KUACHA HARUFU MBAYA NA LAANA.

Prince Kunta hydroxo Ncha Kali Nyamizi Glenn Victoire Magonjwa Mtambuka ras jeff kapita adriz raraa reree MUSIGAJI Extrovert
Hiyo mafi yako ni mbolea tu na tunaihitaji kwa kilimo, wala haina laana yoyote mlamu.
 
Mkuu mrangi hafii mtu hapa. Nilijiamin Ndo maana nikaitoa Ruto lazima ashinde na awe rais. Na sasa hivi nasisitiza tena RAILA ODINGA AKISHINDA HUU UCHAGUZ NATEMBEA UCHI HADHARANI SIKU TATU MFULULIZO HALAFU KABLA YA KUJIUA NAKUNYA VIOLENTLY NAKUTANDAZA MAVI AGGRESSIVELY KUACHA HARUFU MBAYA NA LAANA.

Prince Kunta hydroxo Ncha Kali Nyamizi Glenn Victoire Magonjwa Mtambuka ras jeff kapita adriz raraa reree MUSIGAJI Extrovert
[emoji23][emoji23][emoji23] Ruto akiingia Ikulu lazima atarifiwe kuwa pana mtu JF alijitoa muhanga kwa ajili yako Mzee.
 
Mkuu mrangi hafii mtu hapa. Nilijiamin Ndo maana nikaitoa Ruto lazima ashinde na awe rais. Na sasa hivi nasisitiza tena RAILA ODINGA AKISHINDA HUU UCHAGUZ NATEMBEA UCHI HADHARANI SIKU TATU MFULULIZO HALAFU KABLA YA KUJIUA NAKUNYA VIOLENTLY NAKUTANDAZA MAVI AGGRESSIVELY KUACHA HARUFU MBAYA NA LAANA.

Prince Kunta hydroxo Ncha Kali Nyamizi Glenn Victoire Magonjwa Mtambuka ras jeff kapita adriz raraa reree MUSIGAJI Extrovert
No baba no peace; hata uvute bangi kiasi gani haisaidii😂
 
Chebukati 2017 alizingua sana hadi ikabidi mahakama kutengua uchaguzi. Naona hukumbuki!

Safari hii, isingekuwa haya makosa madogo madogo, na ucheleweshaji usiostahili angejizolea sifa nyingi sana bila kujali nani kashinda.
Sasa huu ucheleweshaji, na funikafunika hii inaharibu jambo ambalo lingekuwa zuri sana.
Duru ya pili ikawaje si Uhuru akashinda. Nadhani inshu haikuwa matokeo ila ilikuwa formality. Koz Uhuru alishinda tena
 
Back
Top Bottom