Wewe hili hulijui?Mnatamkatamka kila wakati hadi asiyejua anaona ni shida hasa.Kwa Raila na kwa Martha Karua kura nyingi kachukua Samoei Ruto.Huo ukabila mnaoung'ang'aniza unatoka wapi kwa mfano huo mdogo tu?
Hujui kwa nini Uhuru Kenyatta kakataliwa katakata na hao nduguzake wanaomkataa Odinga sasa hivi?
Kama hujui maana yake, itakuwa huelewi chochote kinachoendelea nchini humo..