Duru ya pili ilishaharibika. Raila alipogomea uchaguzi. Hatuwezi kujuwa ingekuwaje kama angeshiriki katika hali ya usawa.Duru ya pili ikawaje si Uhuru akashinda. Nadhani inshu haikuwa matokeo ila ilikuwa formality. Koz Uhuru alishinda tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duru ya pili ilishaharibika. Raila alipogomea uchaguzi. Hatuwezi kujuwa ingekuwaje kama angeshiriki katika hali ya usawa.Duru ya pili ikawaje si Uhuru akashinda. Nadhani inshu haikuwa matokeo ila ilikuwa formality. Koz Uhuru alishinda tena
Martha Karua ndo kajinamizi cha kuanzisha vurugu.Ruto yupo Kimya sana ila hawa akina Odinga ni balaa.
Kwa vyovyote vile Wakenya lazima wapate rais mpya.
MK254
Huyo huwa hajali damu za wenzie hata kipindi ya kibaki ndo kalikua na mdomo sana kiasi cha kuwatukana akina Mkapa akiwa waziri wa Kibaki.Martha Karua ndo kajinamizi cha kuanzisha vurugu.
Nilikuwa namhofia Ruto kuwa aweza kuleta vurugu lkn jamaa ametulia sana tuRuto yupo Kimya sana ila hawa akina Odinga ni balaa.
Siasa za msaka Tonge ni mbaya sanaTuombee pasije pakachafuka
Kumwaga damu ni mental illnessNi suala la muda tu Kenya lazima kipigwe...utasikia Mtu anahojiwa anasema "Watangaze matokeo watu waendelee na shughuli zao".
Hao tume ya uchaguzi wenyewe wanajiandaa kisaikolojia kwanza maana wakitangaza matokeo ya uraisi ndio wamepiga filimbi "anzeni".
Hakuna wa kukubali mwenzake ashinde, sio Ruto wala Baba...tuwaombee sana jirani zetu hawa.
Ni kichaa pekee ndio anaweza kubali matokeoMzee Odinga sijui kanusa kushindwa sijui
Mawakala wake wamekuwa wakilalamikiwa na Tume kuzua vurugu kila mara kwenye ukumbi wa kuhesabia kura Bomas
Wakala Mkuu wa odinga anasema Bomas imekuwa chumba cha uhalifu akimaanisha haamini mchakato wa uhakiki
View attachment 2323329
Tuombee pasichafuke tuSiasa za msaka Tonge ni mbaya sana
Siku zote akili zao ziko Tumboni si
Kumsaidini Mwananchi
Ruto anaongoza asee dah hafii mtu hapa.[emoji23][emoji23][emoji23] Ruto akiingia Ikulu lazima atarifiwe kuwa pana mtu JF alijitoa muhanga kwa ajili yako Mzee.
Kuna mahali jana nimesoma amesema wameshahesabu kura zao na wanasubiri kuapishwa.Huyo huwa hajali damu za wenzie hata kipindi ya kibaki ndo kalikua na mdomo sana kiasi cha kuwatukana akina Mkapa akiwa waziri wa Kibaki.
Odinga alifanya hesabu yake vibaya... na ile endorsement yake na Kenyatta was a kiss of death.Kuna mahali jana nimesoma amesema wameshahesabu kura zao na wanasubiri kuapishwa.
Nikasema hapa lazima kinuke. Huyu mwanamke nuksi sana.
Hapo ushindi kwa baba ni kama hakuna tena.Ruto anaongoza asee dah hafii mtu hapa.
mrangi Magonjwa Mtambuka Ncha Kali Glenn MUSIGAJI
View attachment 2324098
Ukabila sio kitu poaHujui chochote ndugu yangu.
Eneo analotokea Raila (kwa wajaluo, hasa Kisumu) ameshinda kwa zaidi ya 90%.
Eneo analotokea Ruto (kwa wakalenjini) naye ameshinda kwa zaidi ya 90%.
Wagombea wenza wote wawili wa urais walikuwa ni wakikuyu.
Martha Karua ni Mkikuyu, eneo analotokea yeye muungano wa Azimio (Raila) umeshindwa vibaya (amepata kama 20%), hii ikimaanisha kuwa wakikuyu kwa zaidi ya 80% hawako tayari kumuunga mkono mgombea urais Mjaluo regardless Uhuru na Martha Karua wanamuunga mkono.
Sasa hii si ya tangu J4 iliyopita?Ruto anaongoza asee dah hafii mtu hapa.
mrangi Magonjwa Mtambuka Ncha Kali Glenn MUSIGAJI
View attachment 2324098
Hili ndio chocho la kudhumiana hapa kwetu,,tunaimbishwa mwimbo wa amani na Wadhumaji walio Tayari kuua mtu ili wabaki madarakani ..Duh....
Kikinuka itakuwa balaaa. Tuwaombee amani ndugu zetu
Umesema yapo mengi sana... nimekuuliza swali simple tu, kama yapi?Yapo mengi sana. Tumia akili yako nawe uweze kujuwa kuwa kuna makosa yaliyofanyika kwenye uchaguzi huu. Usiwe tegemezi kwa kila jambo.
Zee la vurugu ni Odinga na watu wake, wamezua vurugu Bomas na kuiita eti ni kituo cha uhalifuNilikuwa namhofia Ruto kuwa aweza kuleta vurugu lkn jamaa ametulia sana tu
Matokeo yana shida gani?Ni kichaa pekee ndio anaweza kubali matokeo
Hii comment mbona Ni km ya uvccm wa Namanyere..Kumwaga damu ni mental illness
Sioni sababu ya kufanya hivyo
Mnakaa nyumba moja mnaumizana
Huu ni ugonjwa lazima utibiwe