Tetesi: Vurugu zimeratibiwa kuharibu uchaguzi mkuu CHADEMA

Tetesi: Vurugu zimeratibiwa kuharibu uchaguzi mkuu CHADEMA

Anajitoa ufahamu sababu ya tumbo tu. Maana yuko pale Makao Makuu na anahofia ataondolewa.

Sasa anatetea kitumbua chake. Hana lolote huyo kijakazi.
Sasa siasa haimfai!

Atafute kazi nyengine ya kufanya!

Tena kazi ya halali!
 
Nina wasiwasi sana huu uchaguzi utahujumiwq kwa msaada wa vyombo vya dola.
Ni lazima sababu Mbowe anatumika kwa maslahi ya CCM na Serikali yake.

Ndio maana tayari kishasema atawashughulikia sababu walishamuhakikishia atabaki yeye milele, ndio maana kajiita Alfa na Omega mithili ya Mungu.
 
Hili lipo wazi mnoo!

Huu uchaguzi utavurugwa!

Mbowe ameshalambishwa asali.
Mbowe ni mlamba asali mzoefu. Na atakuwa alipigwa picha akikabidhiwa maburungutu. Kwa hiyo hana choice zaidi ya kuoga nje uchi akifikiri yuko bafuni.
 
Updates;

Kuna baadhi ya vijana wako Aishi Macrame.

Hao wataingia usiku wa jumatatu. Na wengine watavalishwa mavazi ya jeshi la polisi
 
Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.

Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.

Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.

Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.

Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.

Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Hawatafanikiwa
 
Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.

Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.

Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.

Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.

Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.

Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Hakuna wa kuratibu thr falling entity

Viongozi wanatukanana kutwa mitandaoni, unatarajia wanachama wasiparurane?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Updates;

Kuna baadhi ya vijana wako Aishi Macrame.

Hao wataingia usiku wa jumatatu. Na wengine watavalishwa mavazi ya jeshi la polisi
Uzushi hauna faida

Chama kimejimaliza kunzia kichwani, unatarajia ustaarabu kweli
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.

Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.

Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.

Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.

Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.

Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Dalili zote zinaonyesha hivyo wala haihitaji elimu kubwa kubaini ushenzi huu unaofanywa na Mbowe na sponsors wake CCM
 

Attachments

  • IMG_5035.jpeg
    IMG_5035.jpeg
    84.4 KB · Views: 1
Hako kadada ni kanafiki!

Kanajifanya mtu wa haki mpenda kweli kumbe naye ni walewale tu kama CCM.

Asije akasema mimi nina chama wala upande! Sina upande wowote wala sina chama chochote! Isipokuwa mimi ni mpenda ukweli.
Mkuu wewe mbona unajulikana ni CHADEMA... usitusumbue..
 
Kwa heshima ndogo iliyobaki kwa mbowe, ni uchaguzi huu uishe kwa amani na salama, nje ya hapo mbowe atatoka madarakani heshima yote imeshuka
 
Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.

Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.

Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.

Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.

Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.

Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
🤔😲🤓
 
Zipo za mama na Lissu Utaziona
Uzuri Lisu alishasema wazi kuwa picha zake ziondolewe kwenye mabango yaliyokuwa yanahusu maridhiano aliyoita ni upuuzi.
Lisu alishazuia picha zake kutumika kwenye huo upuuzi uitwao maridhiano
 
Uzuri Lisu alishasema wazi kuwa picha zake ziondolewe kwenye mabango yaliyokuwa yanahusu maridhiano aliyoita ni upuuzi.
Lisu alishazuia picha zake kutumika kwenye huo upuuzi uitwao maridhiano
Zitawekwa tu akiwa ametembelewa na samia hospitali
 
Back
Top Bottom