RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Kwakua ni dhahiri chadema ni project ya CCM!bas tuseme kwa pamoja kazi iendelee ndani ya chadema!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Mkuu wewe mbona unajulikana ni CHADEMA... usitusumbue..
Na iwe hivyoNdugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.
Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.
Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.
Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.
Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.
Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Hizi ni habari mbaya sana kw wapenda mageuzi. Lakini kwa nini mbowe anatufanyia hivo sisi watanganyika? Why? Why? Why...??? Ina maana mbowe amekosa uzalendo kiasi hicho?Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.
Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.
Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.
Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.
Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.
Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Unapotunga uongo uwe na akili basi
Rushwa ni adui wa haki. Mbowe kalamba pesa na kaingia mkataba mbaya na Samia.Hizi ni habari mbaya sana kw wapenda mageuzi. Lakini kwa nini mbowe anatufanyia hivo sisi watanganyika? Why? Why? Why...??? Ina maana mbowe amekosa uzalendo kiasi hicho?
Hakuna namna nyingineKwakua ni dhahiri chadema ni project ya CCM!bas tuseme kwa pamoja kazi iendelee ndani ya chadema!!
Sahihi kabisaDalili zote zinaonyesha hivyo wala haihitaji elimu kubwa kubaini ushenzi huu unaofanywa na Mbowe na sponsors wake CCM
Wewe Samia si ndio umeandaa haya?Hakuna kitu kama hicho.
Huo mtego inasemekana Lissu alishauona zamani na ameshaandaa mtego, waje tu na fujo zao watakachokutana nacho wataeleza kwanini bata haponi kuharisha.Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.
Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.
Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.
Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.
Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.
Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Shida ni kwamba deep state imeandaa kumsaidia Mbowe kwa manufaa ya CCMHuo mtego inasemekana Lissu alishauona zamani na ameshaandaa mtego, waje tu na fujo zao watakachokutana nacho wataeleza kwanini bata haponi kuharisha.
Uongo mtupu, nyie ndio mnaojaribu kuhujumu uchaguzi kwa kusambaza uzushi Ili kutia watu hofu na kuleta taharuki.Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.
Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.
Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.
Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.
Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.
Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Mbowe anajua hakubaliki. Ndio kaandaa haya yote ili aendelee kuwa MwenyekitiUongo mtupu, nyie ndio mnaojaribu kuhujumu uchaguzi kwa kusambaza uzushi Ili kutia watu hofu na kuleta taharuki.
Omba Mungu uwe hai uone ukweli wake
arudishe pesa za watu, yaani amekula pesa akitegemea mtaji ni wanachadema? Zitamtokea puani. Niliwahi kusoma riwaya moja inaitwa "ZA UMMA TAMU LAKINI ZITAKUTOKEA PUANI"Rushwa ni adui wa haki. Mbowe kalamba pesa na kaingia mkataba mbaya na Samia.
Hazitarudishwa maana wanashirikiana jeshi la Wananchi kuzuia lissu kusindaarudishe pesa za watu, yaani amekula pesa akitegemea mtaji ni wanachadema? Zitamtokea puani. Niliwahi kusoma riwaya moja inaitwa "ZA UMMA TAMU LAKINI ZITAKUTOKEA PUANI"
Kama halipo basi linakuja- wahengaUnapotunga uongo uwe na akili basi