Tetesi: Vurugu zimeratibiwa kuharibu uchaguzi mkuu CHADEMA

Tetesi: Vurugu zimeratibiwa kuharibu uchaguzi mkuu CHADEMA

Kwakua ni dhahiri chadema ni project ya CCM!bas tuseme kwa pamoja kazi iendelee ndani ya chadema!!
 
Lissu ameshaonywa mara nyingi. Huko nje kwenye vyombo vya habari na mitandaoni hakuna wapiga kura.
Sasa mnaanza kukaribia reality mnachanganyikiwa.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.

Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.

Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.

Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.

Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.

Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Na iwe hivyo
 
Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.

Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.

Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.

Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.

Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.

Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Hizi ni habari mbaya sana kw wapenda mageuzi. Lakini kwa nini mbowe anatufanyia hivo sisi watanganyika? Why? Why? Why...??? Ina maana mbowe amekosa uzalendo kiasi hicho?
 
Hizi ni habari mbaya sana kw wapenda mageuzi. Lakini kwa nini mbowe anatufanyia hivo sisi watanganyika? Why? Why? Why...??? Ina maana mbowe amekosa uzalendo kiasi hicho?
Rushwa ni adui wa haki. Mbowe kalamba pesa na kaingia mkataba mbaya na Samia.
 
Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.

Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.

Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.

Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.

Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.

Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Huo mtego inasemekana Lissu alishauona zamani na ameshaandaa mtego, waje tu na fujo zao watakachokutana nacho wataeleza kwanini bata haponi kuharisha.
 
Huo mtego inasemekana Lissu alishauona zamani na ameshaandaa mtego, waje tu na fujo zao watakachokutana nacho wataeleza kwanini bata haponi kuharisha.
Shida ni kwamba deep state imeandaa kumsaidia Mbowe kwa manufaa ya CCM
 
Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi.

Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu Lissu kwenye box la kura.

Hivyo tayari wameandaliwa vijana kutoka mikoa mbalimbali wakiongozwa na vijana toka Tarime, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro ambao wamepewa maelekezo ya kuleta vurugu katika mkutano Mkuu hapo tarehe 21 January.

Hali hiyo itapelekea uchaguzi huo kushindwa kufanyika na hatimaye Uongozi wa Chadema utamuomba msajiri wa Vyama vya siasa akubali wafanye uchaguzi huo 2026.

Mpango huu ukifanikiwa maana yake agenda ya SSH na Mbowe kumsaidia kusalia madarakani itakuwa imefanikiwa.

Hili jambo lazima litokee, stay and watch out.
Uongo mtupu, nyie ndio mnaojaribu kuhujumu uchaguzi kwa kusambaza uzushi Ili kutia watu hofu na kuleta taharuki.
 
Huo itakuwa uhuni wa Heche na Lissu, wanajua uchaguzi huu watapigwa kama ngoma
 
arudishe pesa za watu, yaani amekula pesa akitegemea mtaji ni wanachadema? Zitamtokea puani. Niliwahi kusoma riwaya moja inaitwa "ZA UMMA TAMU LAKINI ZITAKUTOKEA PUANI"
Hazitarudishwa maana wanashirikiana jeshi la Wananchi kuzuia lissu kusinda
 
Back
Top Bottom