Kuna vurugu kubwa zimeripotiwa kutoka Mbeya ambapo kikundi cha watu wanaojiita waasi wamevamia msikiti na kujeruhi watatu!
.:Ni shambulio msikitini Kyela Mbeya. Kikundi cha watu wanaojiita waasi na wanasema wanafanya kazi na Al Qaeda wamevamia watu wakati wakisali swala ya Eid na kuwajeruhi watatu vibaya kwa visu na mapanga! Mpaka sasa Polisi wamewakamata watuhumiwa watano.
Mpaka sasa Ulinzi umeimarishwa Polisi wapo kila.
Jamani hii ni breaking news updates zitawajia baadaye.
Chanzo: Redio mwangaza
PIA SOMA
- Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana
~ Matukio ya Watu kupotea na wengine kudaiwa kutekwa, nini kinaendelea kuhusu usalama wa raia
- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
.:Ni shambulio msikitini Kyela Mbeya. Kikundi cha watu wanaojiita waasi na wanasema wanafanya kazi na Al Qaeda wamevamia watu wakati wakisali swala ya Eid na kuwajeruhi watatu vibaya kwa visu na mapanga! Mpaka sasa Polisi wamewakamata watuhumiwa watano.
Mpaka sasa Ulinzi umeimarishwa Polisi wapo kila.
Jamani hii ni breaking news updates zitawajia baadaye.
Chanzo: Redio mwangaza
PIA SOMA
- Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana
~ Matukio ya Watu kupotea na wengine kudaiwa kutekwa, nini kinaendelea kuhusu usalama wa raia
- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana