MUME MWEMA
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 327
- 44
sadaka+ubwabwa
Acha uongo siyo sadaka huo ni ugomvi wa wasuni na washirazy wanagombania kuchinja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sadaka+ubwabwa
Nyie mliostaarabika na kuelimika si ndo mnakatana mapanga msikitini.
Heri hawa wa mapanga,kuliko wale wa mabomu kanisani.
The only good things about Islam or Muslims they hate and like to kill each other
Mufti muda huu nilitegemea uwe masjid, vipi. yaani we muda wote upo JF tu, unamswalia Mtume lini?
Huyu kashafutwa kabla hajatekeleza ndoto yakeVurugu za msikitini tayari polisi wamewakamata watuhumiwa! Lakini lile bomu la kanisani hadi leo watuhumiwa hawajakamatwa!!!
Haaa!, mbona watu wa aina yako tu kama vile Ritz​, ndio mnajifanya hamuelewi?, mna uhusiano gani na hao waliofanya vurugu?Husomeki...
Allah Akbaaaar...Takbiiiir
Habari yako inaongozwa na hisia zako binafsi!Kuna vurugu kubwa zimeripotiwa kutoka Mbeya ambapo kikundi cha watu wanaojiita waasi wamevamia msikiti na kujeruhi watatu!
.:Ni shambulio msikitini Kyela Mbeya.Kikundi cha watu wanaojiita waasi na wanasema wanafanya kazi na Al Qaeda wamevamia watu wakati wakisali swala ya Eid na kuwajeruhi watatu vibaya kwa visu na mapanga! Mpaka sasa Polisi wamewakamata watuhumiwa watano. Mpaka sasa Ulinzi umeimarishwa Polisi wapo kila..
Jamani hii ni breaking news updates zitawajia baadaye.
Chanzo: Redio mwangaza
Thubutuu!Dini ya ala subiana wataala.
Watu wanagombania bikra.
Kwanini isifutwe? wapi tendwa!
Acha kumpunguzia vyeo mheshimiwa sana Nchemba, yeye ndio DPP, DCI na yeye ndio Polisi.Itakuwa chadema hao labada DPP mwigulu ataelezea vizuri zaidi
Ni uhasama mkubwa kati ya msikiti wa wana Kyela wazawa chini ya Shehe Mwafulango na ule wa Mbugani unaoitwa wa watu wa Kigoma!!
Sasa ugomvi huu ulio ripotiwa unahusisha msikiti upi?Khamis Mwangasama simu yake hapokei angetueleza tu!
Hauleweki...