waasi gani tena ina maana ni waislam waasi?au? na kwa kuumiza wenzio wanapata nini jamani mi nadhani hii nchi sasa inahitaji formatting maana huyu virus aliyepo antivirus haitoshi!!!balaa gani hili waislam kwa waislam mbona wakristo wapo madhehebu elfu na lakini kupigana mavisu hapana...jamani utofauti wa dini unahusiana vipi na kuua wengine we siuamini unachoamini tutajua aliyesawa baada ya maisha haya kuliko kuhukumiana hadi kuumizana maana hata kama unataka awe mfuasi wako ukimuua atakuwaje sasa na hana uhai?