Vurugu zisizoisha kitongoji ninachoishi Afrika Kusini

Blood mimi niko kitandani sasahivi nasubiria chakula cha jioni kutoka kwa shangazi yangu,,Amani telee hapa Tz

Yeah kila mtu anatengeneza story ya maisha yake kwa upande wake, sio mbaya kula good time

One day na mimi nitapumzika kama wewe sasa hivi acha niumie tu
 
Me nimetukana wapi?, ooh sorry mkuu hiyo ilikuwa type wrong na sikuwa na lengo la kuandika "ukuni" bali "ujui" ila bado haikuwa na haja ya kunitukana mimi shoga mbona?
 
Me nimetukana wapi?, ooh sorry mkuu hiyo ilikuwa type wrong na sikuwa na lengo la kuandika "ukuni" bali "ujui" ila bado haikuwa na haja ya kunitukana mimi shoga mbona?

Kama wew shoga ni shoga tu mkuu haibadiliki unachotakiwa uache tabia ya ushoga utaharibu Flames yako
 
Huu ndio uanaume! Hamna kukimbia vita hadi serikali yao iwe responsible. Mtu ambaye amesha invest na ku settle si rahisi ku relocate hasa ukichangia na age pia. Chapeni hadi wanyooke ...
 
Bora ukaishi Ukraine ya sasa kuliko Africa Kusini.
 
Pambana mwanangu, life ndio hii! Pigana hadi unachoota kitokee!
 
Ana umri Gani!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…