Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ubaguzi hauangalii elimu ya mtu, lakini Wazungu hasa Makaburu wanapogundua kuwa wewe mtu mweusi una Elimu kubwa zaidi au ni mtaalamu zaidi kwenye eneo lako ulilosomea na watapata kitu kutoka kwako kupitia elimu yako/utaalamu wako ulionao, basi huwa wanakuwa wapole, zaidi zaidi sana watakuheshimu na kukunyenyekea. Hawawezi wakakunyanyasa, hali hii nimeshuhudia Mimi mwenyewe.
-u-munakomaa
Munakomaa~mnakomaaKwa nini munakomaa kwenye nchi za watu kama hamutakiwi?
Ila hilo ni fundisho kubwa maana na nyinyi watz kila siku ni lawama oooh waarabu hivi, oooh wahindi vile... kumbe ni uvivu wenu wa kufanya kazi. Sasa na nyinyi mumekwenda huko mumeona moto unaowawakia.
Poleni sana lakini rudini nyumbani.
Sasa unahofia nini? Unashindwa hofia mibisu na mi AKA ya huko ila unaogopa kuweka video hapa??Natamani niwawekee hata video kabsa ila moyo unasita
Ulikuwa unalipa kodi kama TSH kwa mwezi? Kwa nyumba ya namna gani?Ndugu yangu, nimeandika kwa kumaanisha kabisa tena nikiwa na ufahamu mkubwa wa kutosha kuhusu South Africa. Mara nyingi nimekuwa nikisafiri kuja SA, siyo hivyo tu lakini pia nimewahi kuishi katika miji mbalimbali ndani ya SA.
1. Jo'burg (JHB), nilikaa ktk maeneo mawili:
i) Rosebank area: along Jan Smuts Avenue, jirani kabisa na Ubalozi wa Uingereza kama unaenda Randburg.
ii) Saxonwold, Houghton Estates, jirani na Johannesburg Zoo
2. Bloemfontein (BFN), in Mangaung Municipality.
Hapo nilikaa ktk eneo linaloitwa Dan Pienaar na eneo lingine liitwalo Westdene (Brandwagg)
3. Cape Town (CPT), nilikaa ktk eneo linaloitwa Camps Bay, Hely Hutchinson Avenue, either South Beach au Eastern Beach(sina uhakika sana kuhusu hili kwani sikumbuki vizuri kama hilo eneo hasa ni beach ya upande upi, South or East?).
Wakaazi wa maeneo hayo asilimia kubwa zaidi (takribani asilimia 98+ ni weupe (wazungu), watu weusi tulikuwa tunahesabika. Naamini mpaka hata siku hizi hali hii bado inaendelea kuwa hivyo, kwanza huko hata majirani tulikuwa hatujuani, kila mtu yupo busy na mambo yake.
Muhumu kuzingatia: Tafadhali, Kamwe USIKURUPUKE kutoka ktk nchi yako na kwenda kuishi ugenini kwenye nchi za watu bila ya kujiandaa kisawasawa. Kabla ya kuondoka nchini kwako hakikisha unajianda vizuri ili usiwe mzigo au public charge ktk nchi za watu, panga mipango yako vizuri. All in all, tuzingatie sana sana suala la ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU!!
Sijakuqoute wewe mkuu....au la unatumia ID Zako zote umejimixKwani lazima niweke acha kufos
Sijakuqoute wewe mkuu....au la unatumia ID Zako zote umejimix
hakuna kiswahili hicho cha 'mme...', rudi tena shule.Munakomaa~mnakomaa
Hamutakiwi~Hamtakiwi
Mumekwenda~Mmekwenda
Mumeona~Mmeona
(Toa -u-)
hakina kuondoa 'u'
Weehakuna kiswahili hicho cha 'mme...', rudi tena shule.
Hiyo mmeona, mmekwenda ni cha 'kuongea' au cha kuzungumza sio cha kuandika.
Nilimqoute mtoa mada sio weweUnashida sio bure
Hivi unawajua tra ..hawakuachi ukae kwa amani ata siku moja..Si uje ufungue duka lako Kariakoo hapo maisha yaendelee kwa amani bila bughudha.
Sasa unahofia nini? Unashindwa hofia mibisu na mi AKA ya huko ila unaogopa kuweka video hapa??