Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Uko sahihiNa hicho ndicho kinachowafanya wang'ang'anie kukaa south, hayo mengine ya saloon n.k ni zuga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihiNa hicho ndicho kinachowafanya wang'ang'anie kukaa south, hayo mengine ya saloon n.k ni zuga tu.
Uko sahihi
Makazi ya SA yapo kulingana na rangi ya ngozi (races), utaratibu huu upo tangu zamani sana mwaka 1913. Baada ya uhuru mwaka 1994, watu weusi wanaruhusiwa kwenda kuishi ktk makazi ya watu weupe(wazungu). Ni kwa nini basi nyinyi wageni wahamiaji weusi msiende kuishi ktk makazi ya watu weupe (wazungu), sehemu ambazo zina usalama mkubwa zaidi kuliko huko wanakoishi watu weusi?? Kitu gani hasa kinawazuia msiende kuishi kwenye maeneo wanakoishi wazungu??? Hizo vurugu mnazofanyiwa na wenyeji weusi huwa mnazitaka ninyi wenyewe kwa kufanya uamuzi mbaya wa kuchagua sehemu mbaya na za hatari za kuishi.Kesho yake pakatulia sio wao wala sisi kuonekana kiwanja cha vitaa
PART THREE-MWISHO
Mji ulikuwa kimya sanaa hiyo kesho yake ambayo walisema ni kiwanja cha vita kitajaa damu- hakukua na yeyote mabarabarani, kulisikika milio ya magari tu na hakuna yeyte nje kila mmoja alijifungia kwake
Kesho kutwa yake tena kimya na wiki nzimaa ilikuwa kimyaa
My friend tukajadiliana hapa haina haja ya kuambiwa tufungue maduka yaani tujifungulieni tu kwani tumeshawaweza na hawawezi fanya chochote kilee
Tukafungua- wakaanza choko choko siku hiyo hiyo tukasema hatufungi ila tunawaudumia wateja wetu nje? Ya bagla yaani , wateja hawatoingia mpaka ndani dukani tutawahudumia kama maduka ya bongo, huku huwa wanaingia dukani wanachagua vitu then wanakuja tunawapigia mahesabu alaf wanalipa dzain kama ya vimin market vilee,haikuwa hivyo ikawa tunawahudumia kama bongo vilee
Ila kuna wabishi walikuwa wanawaachia waingie wajichagulie na ilikuwa fursa tena kwa vibaka katika wiki hiyo hiyo
Kuna duka wameingia vibaka na kupola pesa na kumpiga shaba mtoto wa kiarabu/kiethiopia na kumuua ila walikuwa wezi tu sio hao wenye mgomo hatimaye wakakamatwa wakaenda jela- sema inasemekana kesi ya kuua sio kesi Kwa South Africa kwamba walikuwa wawili katika upelelezi akaachiwa mmoja Kwa maana yeye siyo aliyempiga bunduki ila mwenzake amenyea ila wanasema anaweza akakaa miaka miwili tu then akatoka ila waethiopia wameapa akitoka asirudi mitaa hii kwani nayeye watampeleka alipompeleka mwenzake yaani watampiga bomba nayeye, yule mmoja tunasikia tu ametoka ila hayupo mitaa hii itakuwa amehamishwa mji
Na uwezi amini hao watoto waliomuua huyo jamaa walishawahi kuja dukani kwetu wakataka waibe tukawashitukia, tukataka tuwachape tumewakolomea tu tukawaacha maana kujenga vichuki vidogo vidogo sio inshu kabsa, maana hata ukiwakazia kuwapa sigala wakilalamika hawana kitu wanaweza wakaja kukupiga bomba yaani chuki tu mwananga sio maisha kabsa south africa hapafai kabsa yaani tupo tu Kwa ajili tumeshaanzisha maisha
KIKANUKA TENA SERIOUSLY HIYO WALIOSEMA WANAKINUKISHA
tuliambiana tufunge biashara tukafunga , wakakusanyanaa mitaani na kuanza kuchoma mapira wana mapanga na malungu na Safari hii walikuwa wengi sanaa
Sisi kama kawaida tukashituana kuwa vita imerudi tena na uzuri mahojiano ya siku ilee halifika sehemu husika so kulikuwa na asikari maalumu wapo doria
Wakawakamata ma- icon wao kama kumi , kumi na mbili hivi, yaani waliwakamata walee waanzilishi wa vurugu wakawatia ndani lakini tulikuwa tayari kwa vita , yaani tulikuwa tayari kwa chochote
Ila binafs nilishukuru kuona pambano lipo off Kwa siku hiyo-nilishukuru
Walee wengine wafata mkumbo kuona wenzao wamekamatwa wakakimbia
Tukaambizana kilichoendelea tukatudisha silaha kwenye ala zake
Nna mpaka video ila sitaweza kiwawekea hapa mtandaoni
Vitaa ilisimama hivyoo- wajamaa hawajatoka mpaka leo kesi kila siku inapelekwa mbele wanaenda kama wachochezi wa vurugu
ila ninachokiona ili balaha likirudi tena itakuwa nomaa sanaa yaani watakufa watu yaani hapa nna mpango wa kujichanga kama Mil 10 , nitokomee canada/ popote pazur ila ndio nakichanga
Baada ya hili balaa- kuna baadhi ya wabongo ambao hawakuvunjiwa maduka yao, wameuza biashara zao na kwenda Tanzania kuanza maisha mengine nanasikia wengine waneshapata visa wapo zao canada huko , yaani hapa ndonga linauma nitoke hapa SA nitafute kiwanja kingine- ila ilee kutoka moyoni siogopi chochote kilee sio kuhusu tunavyopondwa watu wa SA wala hayaa maisha ya bastola kila siku sihofii chochote kilee
Ninachohofia kupoteza biashara yangu tu I wish nipate mteja niiuze nitokomee zangu makanada huko
Najifunza vingi sana na ukifikiria nna 29 yaani na naendelea kujifunza
Kuhusu kuuza biashara wasomali na waethiopia hawaogopi chochote ukitaka kuuza wao wananunua tu wao wapo tayari kwa lolote nipo kwenye mafikirio ya kuuza ila ngoja kwanza niangalie upepo
MWISHO [emoji1478]
Kuna mengi sijayaweka katika maisha ya kila sikuya South Africa
Nimeshatolewa bunduki mara mbili na kutolewa kisu mara moja ki ukweli ni maisha ya roho mkononi, karibu sanaa SA
ASANTUM- tupo sanaa maisha hayaa ila ikimpendeza M/Mungu atujaalie tutusue twende zetu CANADA HUKO-InshAAllah [emoji1431]
Makazi ya SA yapo kulingana na rangi ya ngozi (races), utaratibu huu upo tangu zamani sana mwaka 1913. Baada ya uhuru mwaka 1994, watu weusi wanaruhusiwa kwenda kuishi ktk makazi ya watu weupe(wazungu). Ni kwa nini basi nyinyi wageni wahamiaji weusi msiende kuishi ktk makazi ya watu weupe (wazungu), sehemu ambazo zina usalama mkubwa zaidi kuliko huko wanakoishi watu weusi?? Kitu gani hasa kinawazuia msiende kuishi kwenye maeneo wanakoishi wazungu??? Hizo vurugu mnazofanyiwa na wenyeji weusi huwa mnazitaka ninyi wenyewe kwa kufanya uamuzi mbaya wa kuchagua sehemu mbaya na za hatari za kuishi.
We souz ujawh kwenda izo sehem wanazoish makabur usalam upo cz wanapga sana pin kuingia maniga ukaguz mwng id na ujulkane unaend fata nn mgen wa nan pak mtu akuinvite uwez kwend tu kienyej na kuish ghal sn wamefanya il kupga pin watu weus uko wanakaa weus weny hela ambao awana shida kupga kwao pin ndio kunafanya we upaone kuna aman wangekua weus wanajazan kiholela ingekua km soeto tuMakazi ya SA yapo kulingana na rangi ya ngozi (races), utaratibu huu upo tangu zamani sana mwaka 1913. Baada ya uhuru mwaka 1994, watu weusi wanaruhusiwa kwenda kuishi ktk makazi ya watu weupe(wazungu). Ni kwa nini basi nyinyi wageni wahamiaji weusi msiende kuishi ktk makazi ya watu weupe (wazungu), sehemu ambazo zina usalama mkubwa zaidi kuliko huko wanakoishi watu weusi?? Kitu gani hasa kinawazuia msiende kuishi kwenye maeneo wanakoishi wazungu??? Hizo vurugu mnazofanyiwa na wenyeji weusi huwa mnazitaka ninyi wenyewe kwa kufanya uamuzi mbaya wa kuchagua sehemu mbaya na za hatari za kuishi.
We souz ujawh kwenda izo sehem wanazoish makabur usalam upo cz wanapga sana pin kuingia maniga ukaguz mwng id na ujulkane unaend fata nn mgen wa nan pak mtu akuinvite uwez kwend tu kienyej na kuish ghal sn wamefanya il kupga pin watu weus uko wanakaa weus weny hela ambao awana shida kupga kwao pin ndio kunafanya we upaone kuna aman wangekua weus wanajazan kiholela ingekua km soeto tu
unaweza kupambana kwengine kwenye usalama zaidi.Ni vilee bint tu ila ungejua vilee mwanaume anatakiwa force mpaka afanikiwe ungenipa moyo tu
Nna vingi sanaa vya kulipa ikiwepo mahari ambayo wewe hautoisikia wala kuilipa kipindi unaolewa au ulichoolewa
Punguza ukali wa maneno mkuu....umenyoosha ukweli mno🤭Kama unadhani ni lazima ufanye maisha yako South Africa basi hakikisha hauishi location.
Kama unaishi location IPO siku yako utazikoga risasi za kutosha tu, msidanganyane.
Mcongo hawezi kushindana na mbongo Kinondoni eti kisa Kinondoni kuna Wacongo wengi, mnadanganyana, tutaendelea kupokea maiti zenu airport.
We souz ujawh kwenda izo sehem wanazoish makabur usalam upo cz wanapga sana pin kuingia maniga ukaguz mwng id na ujulkane unaend fata nn mgen wa nan pak mtu akuinvite uwez kwend tu kienyej na kuish ghal sn wamefanya il kupga pin watu weus uko wanakaa weus weny hela ambao awana shida kupga kwao pin ndio kunafanya we upaone kuna aman wangekua weus wanajazan kiholela ingekua km soeto
Ndugu yangu, nimeandika kwa kumaanisha kabisa tena nikiwa na ufahamu mkubwa wa kutosha kuhusu South Africa. Mara nyingi nimekuwa nikisafiri kuja SA, siyo hivyo tu lakini pia nimewahi kuishi katika miji mbalimbali ndani ya SA.Hivi unaweza kuwa class sawa na mzungu mzee hata kwa hapo Tanzania?
Ukweli usemwe
Unashindwa kuishi sehemu anayoishi mzungu kwa Tanzania utaweza kuishi sehemu anapoishi mzungu South Africa- au unaona easy ku type mkuu
Kama umeamua kuandika watu wasome ili waburudike andika tu sio mbaya ila kama umeandika really Sawa endelea kuandika pia
Mtoto wa balozi wewe huwez kuelewa harakati za wanyonge kuukana unyonge ,ulichoingea ni sawa uende somalia ukawahamasishe kupambana na utapiamlo ni lazima wahakikishe wanapata mayai maziwa na samaki katika Milo yao as if wao hawajui au hawapendi ivyo vituNdugu yangu, nimeandika kwa kumaanisha kabisa tena nikiwa na ufahamu mkubwa wa kutosha kuhusu South Africa. Mara nyingi nimekuwa nikisafiri kuja SA, siyo hivyo tu lakini pia nimewahi kuishi katika miji mbalimbali ndani ya SA.
1. Jo'burg (JHB), nilikaa ktk maeneo mawili:
i) Rosebank area: along Jan Smuts Avenue, jirani kabisa na Ubalozi wa Uingereza kama unaenda Randburg.
ii) Saxonwold, Houghton Estates, jirani na Johannesburg Zoo
2. Bloemfontein (BFN), in Mangaung Municipality.
Hapo nilikaa ktk eneo linaloitwa Dan Pienaar na eneo lingine liitwalo Westdene (Brandwagg)
3. Cape Town (CPT), nilikaa ktk eneo linaloitwa Camps Bay, Hely Hutchinson Avenue, either South Beach au Eastern Beach(sina uhakika sana kuhusu hili kwani sikumbuki vizuri kama hilo eneo hasa ni beach ya upande upi, South or East?).
Wakaazi wa maeneo hayo asilimia kubwa zaidi (takribani asilimia 98+ ni weupe (wazungu), watu weusi tulikuwa tunahesabika. Naamini mpaka hata siku hizi hali hii bado inaendelea kuwa hivyo, kwanza huko hata majirani tulikuwa hatujuani, kila mtu yupo busy na mambo yake.
Muhumu kuzingatia: Tafadhali, Kamwe USIKURUPUKE kutoka ktk nchi yako na kwenda kuishi ugenini kwenye nchi za watu bila ya kujiandaa kisawasawa. Kabla ya kuondoka nchini kwako hakikisha unajianda vizuri ili usiwe mzigo au public charge ktk nchi za watu, panga mipango yako vizuri. All in all, tuzingatie sana sana suala la ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU!!
Amezungumza ukweli mtupu, tena ukweli mchungu kuhusu huko kwenye makazi ya watu weusi ndani ya SA.Punguza ukali wa maneno mkuu....umenyoosha ukweli mno🤭
Ungejua wala hata usingesema hivyo, narudia kusisitiza kwamba KAMWE USIKURUPUKE kwenda kwenye nchi za watu kabla haujajiandaa ama kujipanga sawasawa, Usithubutu kufanya hivyo, hususani kwenda kwenye nchi hizo za kibepari zilizoendelea.Mtoto wa balozi wewe huwez kuelewa harakati za wanyonge kuukana unyonge ,ulichoingea ni sawa uende somalia ukawahamasishe kupambana na utapiamlo ni lazima wahakikishe wanapata mayai maziwa na samaki katika Milo yao as if wao hawajui au hawapendi ivyo vitu
Hivi we jamaa inakuwaje unaingia ugomvi na migogoro ya Mara kwa mara na yule kilaza wa kuitwa Genta..?Unaweza kupambana vipi na binadamu wasiojuwa thamani ya uhai wa binadamu?
Utaratibu wa South Africa ukiishi miaka mitano mfululizo kihalali una haki ya kuomba Uraia, au ukiowa Msouth Africa una haki hiyo.
Watanzania wanaojitambuwa watumie fursa hizo kupata ID ili wapate passport za Kisouth Africa waondoke hapo.
Passport ya South Africa inaheshimika nchi nyingi za mabeberu wanaingia bila viza na wenyewe hawana utamaduni wa kutafuta maisha nje ya nchi yao, Kwahiyo South Africa passport yao bado iko clean kwenye records za mabeberu.
Chukuweni passport muondoke hapo, ndicho walichofanya wajanja waliojitambuwa kitambo tu.
Ukiwa chini ya miaka 30 unachukuwa working holiday viza ya miaka kadhaa UK bila usumbufu wowote kwa Msouth Africa.
Pale Slough Uingereza Makaburu ni kama Nyumbani kwao wamejazana kibao kwa kutumia fursa hiyo, akirudi South Africa na Pound zake ni tajiri.
Watanzania sio wote wabantu ujue. Wamasai,wajaluo, wahazabe,wasandawe sio wabantu.Ni kweli kabsa jamaa wana makabila 7,8 au 9 ila hawawezi kuishi sehemu moja uwa wapo kimakundi ukisikia hapa kuna wa Xhosa ujue Africans watakuwa sehemu tofauti kabsa Na wa xhosa yaani hawana muunganiko kabsa
Watanzania/Bantu ni zawadi kutoka Kwa Mungu sisi yeyote tu tunaishi nae
Daa, maisha haya bhanaAmezungumza ukweli mtupu, tena ukweli mchungu kuhusu huko kwenye makazi ya watu weusi ndani ya SA.
Huko kufa ni nje nje, na maiti za watu wanaouawa kwa risasi au kukabwa kwa siku idadi yake inatisha sana. Mfano, ndani ya jiji la Johannesburg tu pekee, idadi ya watu wanaouliwa kwa siku ni wastani watu 230(hii iikuwa takwimu rasmi kabisa ya Serikali/Jeshi la Polisi (SAPS) kwa mwaka 2016.)