Vurugu zisizoisha kitongoji ninachoishi Afrika Kusini

Si uje ufungue duka lako Kariakoo hapo maisha yaendelee kwa amani bila bughudha.
Ataishia kwenye process za kuomba Leseni, tax clearance certificate na business registration, hamu itamuisha hapohapo, TRA na Brela ni kichechefu kifupi.

Ukiona Mtanzania anaendesha biashara halali na analipa kodi muheshimu sana, ujuwe huyo ni nunda.
 
Vita ni fita na vita hafina macho, pambana muraa
Unaweza kupambana vipi na binadamu wasiojuwa thamani ya uhai wa binadamu?

Utaratibu wa South Africa ukiishi miaka mitano mfululizo kihalali una haki ya kuomba Uraia, au ukiowa Msouth Africa una haki hiyo.

Watanzania wanaojitambuwa watumie fursa hizo kupata ID ili wapate passport za Kisouth Africa waondoke hapo.

Passport ya South Africa inaheshimika nchi nyingi za mabeberu wanaingia bila viza na wenyewe hawana utamaduni wa kutafuta maisha nje ya nchi yao, Kwahiyo South Africa passport yao bado iko clean kwenye records za mabeberu.

Chukuweni passport muondoke hapo, ndicho walichofanya wajanja waliojitambuwa kitambo tu.

Ukiwa chini ya miaka 30 unachukuwa working holiday viza ya miaka kadhaa UK bila usumbufu wowote kwa Msouth Africa.

Pale Slough Uingereza Makaburu ni kama Nyumbani kwao wamejazana kibao kwa kutumia fursa hiyo, akirudi South Africa na Pound zake ni tajiri.
 
Life must go on hao awana tofauti kitabia na black America ngono na wizi chuki kiufupi ni kama ndugu
 
Battle field
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…