Vurugu zisizoisha kitongoji ninachoishi Afrika Kusini

Vurugu zisizoisha kitongoji ninachoishi Afrika Kusini

Alafu wa Bongo wa siku hizi sijui kwa nini wanapenda sana kuishi huko location Kama wa Zimbabwe na wabangubangu! Zamani Wabongo walipenda sana kuishi town kwenye flats! Machafuko ya kianza huko South Mara nyingi wanao aanza kuvamiwa ni wageni wanao ishi location,kuwafikia wageni wanao ishi town inakua ngumu kidogo, maana town kidogo kuna patrol za Wazee na vitenga vyao full kuzunguka mitaani kuangalia usalama kwa raia!!

Siku hizi wanakufata ulipo wakikutaka mkuu
 
Kwa nini munakomaa kwenye nchi za watu kama hamutakiwi?

Ila hilo ni fundisho kubwa maana na nyinyi watz kila siku ni lawama oooh waarabu hivi, oooh wahindi vile... kumbe ni uvivu wenu wa kufanya kazi. Sasa na nyinyi mumekwenda huko mumeona moto unaowawakia.

Poleni sana lakini rudini nyumbani.

Ni vilee bint tu ila ungejua vilee mwanaume anatakiwa force mpaka afanikiwe ungenipa moyo tu

Nna vingi sanaa vya kulipa ikiwepo mahari ambayo wewe hautoisikia wala kuilipa kipindi unaolewa au ulichoolewa
 
Biashara ya madawa ni simple sana kuifanya south.... Wabongo wengi kuing'ang'ania south Kuna Siri kubwa sana

Nikuhakikishie siku hizi wengi wauza madawa hawataki hata kuyasikia hao madawa yaani wanejiajir kwenye maduka na restaurant watu wanakimbia hizo biashara
 
Back
Top Bottom