Mind you hajawah fanyaa na ndo mara ya kwanza je haitakuwa na shida manake siku ya kwanza unaijuaa kasheshe lake hasa sisi wasichanaHakikisha wakati wa tendo anakua wet kiasi kwamba michubuko haitatokea, na inawezekana kabisa akabeba ujauzito mkapata watoto wasiokua waathirika, muhimu nikushauri mkaonane na madaktaru watawaeleza kwa undani kwa uwanja mpana kabisa
Mungu alivyomuumba binadamu damu inayotoka kwa mama kwenda kwa mtoto inachujwa sana sawa na damu inauikwenda kwenye ubongo. Zamani watoto walipata maambukizi wakati wa kuzaliwa na kunyonyeshayani ikifikia hatua hii ndio huwa nashindwa kuuwelewa huu ugonjwa,hivi mama amuweke tumboni mtoto miezi 9 alafu mtoto azaliwe bila kuwa na UKIMWI
Ila ww ni zaidi ya yule anayebekwa mwanaume una roho mbayaa ww kama mkata roho hebu tokaga hapaawengi watakulambalamba kwa ushauri wa kitoto ila jibu ni moja tu ACHANA NAE HARAKA siku zote ndege wafananao huruka pamoja
Ndio mana nikamalizia pale mwisho kua la umuhim zaidi aende hospital huko wataelezwa kwa upana na urefu na hope itakua hivyoMind you hajawah fanyaa na ndo mara ya kwanza je haitakuwa na shida manake siku ya kwanza unaijuaa kasheshe lake hasa sisi wasichana
Mind you hajawah fanyaa na ndo mara ya kwanza je haitakuwa na shida manake siku ya kwanza unaijuaa kasheshe lake hasa sisi wasichana
Huijui kesho yakowengi watakulambalamba kwa ushauri wa kitoto ila jibu ni moja tu ACHANA NAE HARAKA siku zote ndege wafananao huruka pamoja
Ikiwezekana atumie hata vilainishi ili wasichubuane.Mind you hajawah fanyaa na ndo mara ya kwanza je haitakuwa na shida manake siku ya kwanza unaijuaa kasheshe lake hasa sisi wasichana
Pole sana kijana ila nakutia moyo bado upo mwanga mkubwa mbele yenu wa kufanikiwa na kuishi pamoja na umpendaye mkiwa kama mke na mume.
Bahati nzuri Mungu ametupa akili wanadamu na wapo wanadamu wanafanya utafiti usiku na mchana ili kutatua matatizo yasiyo na majibu, kutokana na UTAFITI mmojawapo wa kisayansi SULUHISO la VVU/UKIMWI limepatikana kabisa huyo rafiki yako anaweza kutumia tiba hiyo na kurejea katika hali yake ya kawaida kabisa na baadae mkaishi maisha ya furaha kama Mke na Mume. Tuwasiliane ili nikuunganishe na doctor ili awapatiae ushauri na namna ya kutumia tiba hiyo.
Inashangaza sana ndugu yangu... ngoja wataalamu waendelee kutiririka!
Mkuu ebu fafanua vizuri hpo kwenye suluhisho la huu ugonjwa.Pole sana kijana ila nakutia moyo bado upo mwanga mkubwa mbele yenu wa kufanikiwa na kuishi pamoja na umpendaye mkiwa kama mke na mume.
Bahati nzuri Mungu ametupa akili wanadamu na wapo wanadamu wanafanya utafiti usiku na mchana ili kutatua matatizo yasiyo na majibu, kutokana na UTAFITI mmojawapo wa kisayansi SULUHISO la VVU/UKIMWI limepatikana kabisa huyo rafiki yako anaweza kutumia tiba hiyo na kurejea katika hali yake ya kawaida kabisa na baadae mkaishi maisha ya furaha kama Mke na Mume. Tuwasiliane ili nikuunganishe na doctor ili awapatiae ushauri na namna ya kutumia tiba hiyo.
wengi watakulambalamba kwa ushauri wa kitoto ila jibu ni moja tu ACHANA NAE HARAKA siku zote ndege wafananao huruka pamoja
Nafurahi kuona kwamba mapenzi ya kweli bado yanaexist
hapo mbona rahisi tu, mtoto tumboni anajitegemea kila kitu na hasa mfumo wa damu na hategemei mama yake isipokuwa virutubisho vingine ambavyo navyo ili viingie kwa mtoto huchujwa sana na umbilical cord au kondo la nyuma na kuruhusu tu kile kinachotakiwa na mtoto tu. Kwa hiyo hakuna kijidudu chochote kinaweza kukatiza hapo na kumfikia mtoto. ingawa kama afya ya mama ni dhaifu mtoto aweza kuathirika lakini uwezekana ni mdogo sana sana, watoto wengi huathirika wakati wa kuzaliwa iwapo hali ya mama haijulikani au kama inajulikana na wauguzi hawakuwa makini
Hongera sana kwa kuwa na upendo wa dhati na Mungu akubariki!
Nikupe angalizo tu,sema hamjawahi kusex naye swala la yeye kutosex tokea kazaliwa ukweli anao yeye mwenyewe.Au utajua siku mkisex naye mpendwa.