VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Naomba nithibitishie;
1. Je kweli kwa wenye blood group 0+ve na O-ve nasikia wana kama ilemavu wa cell zao ambazo ni sphere na hivyo kutoruhusu kuzaliana wala existance yao? (Naomba theory knowledge ya carrier in HIV and AIDS perspectives)

2. Je mbu anayenyonya damu ya mtu X mwenye maambukizi yA HIV hawezi kwenda mwambukiza mtu Y asiye na maambukizi hayo?

Watu wenye group O ndo wengi duniani
Ni almost one third ya dunia(therusi)
Kuhusu kupata HIV haijachagua group
Bali kuna watu ambao cell zao ziko tofauti na binadam wa kawaida, na hii ndo sababu wanyama hawapati, hasa decendants wa Viking people
 
Shukrani mleta mada kwa uzi huu wenye kuelimisha, Naomba unielimishe yafuatayo binafsi nina mgonjwa wa HIV ambae namuhudumia kwa karibu na zifuatazo ni changamoto ambazo ameanza kuzipitia alipogundulika na maambukizi pamoja na kuanza dawa:-
1.Mkono na miguu ilikuwa inakufa ganzi na pia mdomo unaenda upande anakuwa kama anataka kupooza,tumejaribu kubadili dawa lakini bado hali hii haijaisha kabisa
2.Masikio yameziba,dokta akasema ni virus ndio wameshambulia nerves na kumsababishia hali hiyo.
3.Kuna muda anasikia kama watu wanamsemesha masikioni na anakuwa anaongea peke yake nini huweza kuwa chanzo?
4.Matumizi ya ceptrine yanasaidia nini?maana kila akinywa anasema zinamzidi nguvu na anataka kuziacha.
Natanguliza shukrani za dhati.

Sent using Jamii Forums mobile app
1.Dalili hizi zina ashiria mambo mawili, moja madhara ya virusi kwenye nevu, lakini pili inawezekana akawa na maambukizi ya toxoplasma kwenye ubongo ndio infanya.

2.Virus vina athiri mfumo wa fahamu inawezekana kabisa hicho ndicho kilichotokea

3. Matatizo ya akili ni ya kawaida kwa waathirika. Huyo anaweza kuwa ana major depressive disorder with psychotic symptoms. Awaone Madaktari wa magonjwa ya akili watamuandikia dawa na aendelee kutumia ARV ata improve CD4 nilipanda

4. Septrin zinawasaidia wasipate aina fulani ya homa ya mapafu
 
Maziwa ya mama yana virusi vya UKIMWI. Na mtoto anaweza kupata maambukizi ya VVU kwa kunyonya maziwa ya mama. Ndio maana kwa mama ambaye ana uwezo njia nzuri ya kuzuia maambukizi ni kumpa maziwa ya chupa

Mate yana kiasi kidogo cha VVU kuliko majimaji mengine ya mwili

Kwenye kunyonya ni sio maziwa yana virusi, la hasha
Bali ni kuwa mmama hashauriwi kunyonyesha mtoto mwenye meno kwani anaweza kumng’ata akamuambukiza
Still hii ni rare case
 
1.Dalili hizi zina ashiria mambo mawili, moja madhara ya virusi kwenye nevu, lakini pili inawezekana akawa na maambukizi ya toxoplasma kwenye ubongo ndio infanya.

2.Virus vina athiri mfumo wa fahamu inawezekana kabisa hicho ndicho kilichotokea

3. Matatizo ya akili ni ya kawaida kwa waathirika. Huyo anaweza kuwa ana major depressive disorder with psychotic symptoms. Awaone Madaktari wa magonjwa ya akili watamuandikia dawa na aendelee kutumia ARV ata improve CD4 nilipanda

4. Septrin zinawasaidia wasipate aina fulani ya homa ya mapafu
 
Tafiti nyingi zimeonyesha dalili zifuatazo hujitokeza kwa watu wengi waliopata maambikizi ya VVU kwa mara ya kwanza. •Homa •Uchovu •Maumivu ya viungo na misuli •Kuvimba mitoki sehemu mbalimbali ya mwili •Kupata vidonda kwenye koo •Upele mchanganyiko kwenye kiwiliwili •Vidonda sehemu mbali mbali mwili •Kuharisha •Kichefuchefu na Kutapika •Kupungua uzito •Kutoka jasho hasa wakati wa usiku •Maumivu ya kichwa. •Homa ya uti wa mgongo (baadhi ya wagonjwa. Dalili hizi za awali hufanana na dalili za mtu anayeumwa mafua. Dalili hizi hujitokeza katika kipindi cha wiki mbili mpaka 6 toka kupata maambukizi ya VVU.

Na hii inatokana na kuwa kila mtu ana virusi vya mafua mwilin(almost kila mtu)
Sa mtu akipata ukimwi siku za mwanzon ndo ugonjwa wa mafua huwa kitu cha kwanza kuwa triggered kwakuwa upo mwilin

Dalili za mafua ndo hizo ulizo taja
But dalili ambazo ni kubwa ni
1.Sore throat
2. Fever
3Head ache
 
Kwenye kunyonya ni sio maziwa yana virusi, la hasha
Bali ni kuwa mmama hashauriwi kunyonyesha mtoto mwenye meno kwani anaweza kumng’ata akamuambukiza
Still hii ni rare case
Acha uzushi wako...
Nimekuuliza askari polisi huwa wanakaa vituoni tu
 
Huyu mleta mada anajiona anajua sana Kushinda watu wengine . 100% anayoandika humu ni muendelezo ule ule wa propaganda za HIV ili wafanye biashara za ARVs.


Anaongelea HiV wakati hakuna Daktari yoyote hapa Tanzania amewahi kumuona hiyo virusi. Ni kweli hakuna HIV. Hakuna hicho kirusi. Acha kueneza sumu humu. Nimekwambia weka Microscopic image za HIV umeishia kunijibu pumba. Utasemaje HIV ipo wakati hujawahi muona kama unavyoona virus wengine!!!!

Mnaokula sumu za Huyu "HOAX DOCTOR" please muombeni aweke hicho ninachomuomba ili aufanye Mjadala huu kuwa valid otherwise ni mwendelezo wa hadithi zile zile.




Sent using Jamii Forums mobile app
Huitaji kuwa biased..lete facts tu watu watakuelewa
 
Kipimo cha mate ni yale yale tu wanapima damu si mate... Kama ingekua wanapima mate kwa nini sharti la kipimo kile ni kukiweka kwenye fizi na sio ukitemee mate kitoe majibu? Hakuna VVU kwenye mate wala jasho wala maziwa wala manii
.... Ingekua hivyo tungekufa sana.

Vvu wanaweza kuwa kwenye mate au wasiwe hii inatokana na patient mwenyewe
Kikiwa kwenye mate ni kimetoka kwenye dam kutokana na mchubuko au vinginevyo na kikiwa kwenye mate hakidumu sana
In about days kitakufa
But hakiwez kutoka kwenye mate kuingia kwenye dam tena otherwise mchubuko uwe mkubwa na saliva movement zisikiaffect
 
Maana yake ni kwamba mmoja wa wanandoa anakuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI na mwingine hana. Kinachosababisha hali hii haikujajulikana vizuri miongoni mwa wataalam wa HIV

Hii ni kutokana na chances za kupata ukimwi ni ndogo kuliko watu wanavyodhani ndo maana wengine wanaweza kuhisi ukimwi hauwapati ila ipo siku yao
 
TLD D kwenye huu mseto wa dawa ni Dolutegravir ni protease inhibitor. Dawa hii imeonekana kuwa ina nguvu kuliko dawa zozote za jamii yake. Ndio maana FDA wameshauri itumike katika line ya kwanza ya matibabu ya HIV

Uko sahihi kabisa chief kwamba Dolutegravir inawezekana ikawa na uwezo mkubwa zaidi wa kufubaisha virusi hata kwa kutumika peke yake (Single Therapy), ama kwa muunganiko wake na Lamivudine, japo mpaka sasa imeonekana kusababisha ART resistance hasa kwa wale waliokua wameanza na dawa nyingine kabla kama TLE.

Na pia nadhani umesahau kidogo kuhusu kundi lake, ni kweli inazuia protein. Protein inayozuiliwa ni ile inayokiwezesha kirusi kujifananisha DNA yake na ile ya mgonjwa kwa kuzuia Intergrase Enzyme, na sio ile inayoizuia DNA ya mgonjwa kuchukua kopi ya DNA ya kirusi kwa kuzuia Protease Enzyme. Kwa lugha rahisi, Dolutegravir ni Intergrase Inhibitor na sio Protease Inhibitor kama ulivyoelezea hapo juu.

Asante kwa shule ya bure.
 
Acha uzushi wako...
Nimekuuliza askari polisi huwa wanakaa vituoni tu

Sio body fluidz zote zenye ukimwi
Mfano ni kwenye uterus ya mmama mjamzito
Najua unajua
Na pia maziwa hayana
Mate ni kutokana na michubuko
Na kuingia kwenye akili ni inatokea2
 
Sio body fluidz zote zenye ukimwi
Mfano ni kwenye uterus ya mmama mjamzito
Najua unajua
Na pia maziwa hayana
Mate ni kutokana na michubuko
Na kuingia kwenye akili ni inatokea2

Ulichochesahau ni kwamba virus wana kaa kwenye seli nyeupe za damu ambazo kazi yake ni ulinzi na ndio maana zinauwezo wakuwepo katika mazingira yoyote ambayo inaweza kuruhusu wadudu kuingia mwilini
 
Back
Top Bottom