Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
Wataachaje wakati wanapata utamu
Inawezekana kabisa, mzee akawa anadunda tuJe, baba anaweza kuleta HIV NDANI ya nyumba ila dalili zianze kuonekana kwa mama?
Sasa kama wanakaa kwenye damu kwa nini upime mate!.. huyo bwana is empty kana can
Naomba nithibitishie;
1. Je kweli kwa wenye blood group 0+ve na O-ve nasikia wana kama ilemavu wa cell zao ambazo ni sphere na hivyo kutoruhusu kuzaliana wala existance yao? (Naomba theory knowledge ya carrier in HIV and AIDS perspectives)
2. Je mbu anayenyonya damu ya mtu X mwenye maambukizi yA HIV hawezi kwenda mwambukiza mtu Y asiye na maambukizi hayo?
1.Dalili hizi zina ashiria mambo mawili, moja madhara ya virusi kwenye nevu, lakini pili inawezekana akawa na maambukizi ya toxoplasma kwenye ubongo ndio infanya.Shukrani mleta mada kwa uzi huu wenye kuelimisha, Naomba unielimishe yafuatayo binafsi nina mgonjwa wa HIV ambae namuhudumia kwa karibu na zifuatazo ni changamoto ambazo ameanza kuzipitia alipogundulika na maambukizi pamoja na kuanza dawa:-
1.Mkono na miguu ilikuwa inakufa ganzi na pia mdomo unaenda upande anakuwa kama anataka kupooza,tumejaribu kubadili dawa lakini bado hali hii haijaisha kabisa
2.Masikio yameziba,dokta akasema ni virus ndio wameshambulia nerves na kumsababishia hali hiyo.
3.Kuna muda anasikia kama watu wanamsemesha masikioni na anakuwa anaongea peke yake nini huweza kuwa chanzo?
4.Matumizi ya ceptrine yanasaidia nini?maana kila akinywa anasema zinamzidi nguvu na anataka kuziacha.
Natanguliza shukrani za dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maziwa ya mama yana virusi vya UKIMWI. Na mtoto anaweza kupata maambukizi ya VVU kwa kunyonya maziwa ya mama. Ndio maana kwa mama ambaye ana uwezo njia nzuri ya kuzuia maambukizi ni kumpa maziwa ya chupa
Mate yana kiasi kidogo cha VVU kuliko majimaji mengine ya mwili
1.Dalili hizi zina ashiria mambo mawili, moja madhara ya virusi kwenye nevu, lakini pili inawezekana akawa na maambukizi ya toxoplasma kwenye ubongo ndio infanya.
2.Virus vina athiri mfumo wa fahamu inawezekana kabisa hicho ndicho kilichotokea
3. Matatizo ya akili ni ya kawaida kwa waathirika. Huyo anaweza kuwa ana major depressive disorder with psychotic symptoms. Awaone Madaktari wa magonjwa ya akili watamuandikia dawa na aendelee kutumia ARV ata improve CD4 nilipanda
4. Septrin zinawasaidia wasipate aina fulani ya homa ya mapafu
Unaishi kama yule mnyama anayefukia kichwa na kuacha kiwiliwili njePropaganda tu. Hakuna UKIMWI hii dunia ni njia za watu kupiga pesa tu.
Tafiti nyingi zimeonyesha dalili zifuatazo hujitokeza kwa watu wengi waliopata maambikizi ya VVU kwa mara ya kwanza. β’Homa β’Uchovu β’Maumivu ya viungo na misuli β’Kuvimba mitoki sehemu mbalimbali ya mwili β’Kupata vidonda kwenye koo β’Upele mchanganyiko kwenye kiwiliwili β’Vidonda sehemu mbali mbali mwili β’Kuharisha β’Kichefuchefu na Kutapika β’Kupungua uzito β’Kutoka jasho hasa wakati wa usiku β’Maumivu ya kichwa. β’Homa ya uti wa mgongo (baadhi ya wagonjwa. Dalili hizi za awali hufanana na dalili za mtu anayeumwa mafua. Dalili hizi hujitokeza katika kipindi cha wiki mbili mpaka 6 toka kupata maambukizi ya VVU.
Acha uzushi wako...Kwenye kunyonya ni sio maziwa yana virusi, la hasha
Bali ni kuwa mmama hashauriwi kunyonyesha mtoto mwenye meno kwani anaweza kumngβata akamuambukiza
Still hii ni rare case
Huitaji kuwa biased..lete facts tu watu watakuelewaHuyu mleta mada anajiona anajua sana Kushinda watu wengine . 100% anayoandika humu ni muendelezo ule ule wa propaganda za HIV ili wafanye biashara za ARVs.
Anaongelea HiV wakati hakuna Daktari yoyote hapa Tanzania amewahi kumuona hiyo virusi. Ni kweli hakuna HIV. Hakuna hicho kirusi. Acha kueneza sumu humu. Nimekwambia weka Microscopic image za HIV umeishia kunijibu pumba. Utasemaje HIV ipo wakati hujawahi muona kama unavyoona virus wengine!!!!
Mnaokula sumu za Huyu "HOAX DOCTOR" please muombeni aweke hicho ninachomuomba ili aufanye Mjadala huu kuwa valid otherwise ni mwendelezo wa hadithi zile zile.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ
Hata chance ingekuwa 0.000000001... don't get trappedChances are always low
Ndo maana waathirika hawaongezeki kwa pap
Kipimo cha mate ni yale yale tu wanapima damu si mate... Kama ingekua wanapima mate kwa nini sharti la kipimo kile ni kukiweka kwenye fizi na sio ukitemee mate kitoe majibu? Hakuna VVU kwenye mate wala jasho wala maziwa wala manii
.... Ingekua hivyo tungekufa sana.
Maana yake ni kwamba mmoja wa wanandoa anakuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI na mwingine hana. Kinachosababisha hali hii haikujajulikana vizuri miongoni mwa wataalam wa HIV
TLD D kwenye huu mseto wa dawa ni Dolutegravir ni protease inhibitor. Dawa hii imeonekana kuwa ina nguvu kuliko dawa zozote za jamii yake. Ndio maana FDA wameshauri itumike katika line ya kwanza ya matibabu ya HIV
Acha uzushi wako...
Nimekuuliza askari polisi huwa wanakaa vituoni tu
Nilisikia kuna dawa aina ya ARV lakini humezwa Mara moja tu kwa mwezi je hii ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
Bado iko kwenye trial nafikiri kuna star mmoja wa Marekani ni mmoja wapo wa watu walioko enrolled
Sio body fluidz zote zenye ukimwi
Mfano ni kwenye uterus ya mmama mjamzito
Najua unajua
Na pia maziwa hayana
Mate ni kutokana na michubuko
Na kuingia kwenye akili ni inatokea2