Hakuna kitu HIV carrier ,ukipima kwa rapid test SD-BIOLINE majibu ya Kipimo husomeka reactive (being infected )ambapo utasomewa kua Ni HIV positive Au (Non-reactive )being free from HIV Ambapo majibu yako ni HIV Negative...Jamani wadau naomba kuuliza hiv HIV carrier huwa akipima anaonekana kama ana virusi ktk vipimo hivi vya kawaida
Kipimo kikubwa cha HIV ni Nini?Dalili ulizozitaja ni za mtu mwenye maambukizi; Kipimo ulichotumia ni rapid test na mara nyingi kinashindwa kuona virus hasa pale immunity ya mwili inapoanza kupambana na virus na kufanya virus kujificha kwenye DNA.
Ni vizuri ukaomba hospital wakupime kipimo kikubwa cha HIV. Na kama ukikutwa na maambukizi siyo mwisho wa maisha; anza dawa mapema nchini bado inakuhitaji kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda. Na ikitokea umekoswa koswa bob usirudie ufala wa kujilipua. All the best
Uni gold ni kipimo gani?Mwambie daktari akupime na UNIGOLD ili u confirm mkuu Kama hakukupima. Ila Kama Ali confirm na hiyo Basi your safe. Hicho Cha juu hakitoshi.
hizo za juu (bioline) zinaweza kuwa hazipo vizuri so huwa tunajaribu ku confirm majibu lakini Mara nyingi Kama majibu Ni positive, lakini Kama yeye ana neg na haamini ajaribu na hicho.Uni gold ni kipimo gani?
Kuna case ipo mtaani:Inawezekana umekuwa na maswali ambayo yamekuwa yakikutatiza juu ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na ugonjwa wa UKIMWI.
Leo nakupa nafasi ya kuuliza swali lolote juu ya mada hii. Twende kazi!
Swali zuri...Kuna case ipo mtaani:
Kuna wagonjwa (mke + mume) wa HIV ambao walishapima tangu miaka 15 iliyopita baada ya kuumwa mara kwa mara magonjwa kma vile fungus, typhoid na maradhi mengine
Baada ya kufahamu kwmba wapo HIV+ hawakuanza kutumia ARVs isipokuwa walifuatilia njia mbadala za kupandisha kinga yao ya mwili esp katika swala zima la misosi na lishe bora, mpaka hv sasa naongea hapa wanadunda, afya njema saaana kupita kiasi, kuna wagonjwa ambao walitumiaga ARVs na sasa hawapo ila hii couple inadunda 2
SWALI;
Tumeambiwa kwamba UKIMWI ni ukosefu wa kinga mwilini, means mtu anapokuwa na king a hafifu hii hupelekea magonjwa nyemelezi kufika kwa mtu huyo bila kuzuiliwa na kinga ya ndani ya mwili
Pia tumeambia ARVs ndo kitu pekee ambcho mtu mwenye UKIMWI anapaswa kutumia ili kurudisha kinga yake ya mwili ktk mstari na kumfanya mgonjwa aishi kwa matumaini
Je, ni kweli kwmba ARVs ndo kjtu pekee ambacho kinachoweza kupandisha kinga ya mwili ya binadamu ?
Vipi kuhusu matumizi ya vile vyakula ambvyo vinaaminika vina uwezo wa kupandisha kinga ya mwili kwa binadamu kwa haraka sana?
Kwann madaktari huwa hawatoi ushauri wa kutumia hivi vyakula kwa wagonjwa badala ya kumpa hv ARVs tu? zinaangamiza watu bhna hz dawa
Deception
HIV virus ni kinaweza kukaa kama kiumbe hai na kukaa kama kiumbe kisicho hai, ila kikikutana na damu tu kazi inaanza kama kawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Why sindano and not msumariHii si kweli, virusi vya ukimwi vinakufa baada ya sekunde kadhaa vinapokuwa sehemu ambayo ipo wazi. Vinaweza ku survive kwenye bomba la sindano na sehemu nyingine kama hizo lakini hauwezi kuambukizwa kwa mfano mtu alieathirika akichomwa na msumari halafu na wewe ukachomwa na huo msumari baada ya siku kadhaa.
Why sindano and not msumari
Hospitalini tunafuata ushauri tu,upime hospilini ama ujipime nyumbani kama unao upon tu na km huna huna tu.Nakushauri nenda ikapimwe UKIMWI hospital, acha kujipima mwemyewe kwani wewe sio mtaalam. Majibu yanaweza yasiwe sahihi kwa kukosa weledi katika upimaji
Tatizo ni OGD au GERD?? kwa maana ya acid reflux disease?? Vipi umefanikiwa kupata tiba??Hospitalini tunafuata ushauri tu,upime hospilini ama ujipime nyumbani kama unao upon tu na km huna huna tu.
Mimi nilipitia masaibu makubwa ndugu hd wakina Mzee RAZA humu wakagonga msumari wa mwisho kwamba tayari nimewaka na kunishauri kuwahi dozi mapema . vipimo vyote vya home na hospitali vilisoma negative hadi Leo ni miezi Tisa tangu niingie kwenye hofu hiyo.
Nilijaribu kutafuta tiba kwenye hospitali kubwa nkapimwa na tatizo lilikuwa ni OGD ,sihitaji kulificha.
#Relax brother,tafuta washauri wazuri,psychologist mzuri atakushauri.
# Jihadhari na matapeli wa Jf ,watakuja wengi wenye dawa ya hayo matatizo yako !!!
Kwani we ulivyosema ninao ulitumia kithibitisho gani???Tatizo ni OGD au GERD?? kwa maana ya acid reflux disease?? Vipi umefanikiwa kupata tiba??
Pole sana mkuu, kwani acid reflux inafanana dalili zake na UKIMWI mpaka ukachanganyikiwa na kujihisi unao?
Ulikuwa unasema umefanya ngono zembe na una dalili zote za UKIMWI, nikakushauri uende hospital ukapime ili kama utakuwa unao uanze dozi mapema kuliko kupoteza muda jamiiforums kuomba ushauri hatimae unaangukia mikononi mwa matapeli.Kwani we ulivyosema ninao ulitumia kithibitisho gani???
Humu Jf wengi ni matepeli na walaghai hakuna ushauri wa maana ,hao wanaojifanya wajuaji ni matapeli wote.
Wamenitafuta sana wanitapeli wakaangukia pua !!!
nmejarbu kukufuata PM upo banned, nina shida private mkuuKuhusu ARV pia ninaona wagonjwa wa homa ya ini wanapewa, wanasema kwa sababu nao wana virus HCV or HBV, sasa wakamwambia mgonjwa asubiri virus (viral load iwe zaidi ya 1000 , ila jamaa akanifuata akaniambia hilo swala mwaka jana ila kwa kipindi hicho viral load walivyompima ilikuwa 935, nikampa ushauri wa chakula cha kumpa mgonjwa, ila mwanzoni sikujua kama watatekeleza basi wakaenda kumpa mgonjwa, na mgonjwa alitumia kwa takribani kama miezi minne na baadaye mwezi november wakaenda kupima hapo Muh...... hospitali ili waone sasa wameshafikia kiwango walichokisubiri ili wampe ARV, wakakuta viral load imeshuka mpaka 224 , na madaktari wakamwambia endelea kutumia njia unayotumia, na wakamwambia aje kupima tena baada ya miezi mitatu waangalie kitakachotokea, cha kusikitisha mgonjwa alipoona mambo yameonyesha matokeo mazuri anaanza kuvunja masharti ya lishe/chakula nilichomshauri.
Ndio hali ilivyo hata kwa watu waliowengi hawamalizi dozi matokeo yake matatizo yanakuwa makubwa baadaye.
Ushauri wangu, unapoanza dozi, basi umalize dozi isiachie njiani kwa kuona inafanya kazi na ukadharau ugonjwa.