VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Jamani wadau naomba kuuliza hiv HIV carrier huwa akipima anaonekana kama ana virusi ktk vipimo hivi vya kawaida
Hakuna kitu HIV carrier ,ukipima kwa rapid test SD-BIOLINE majibu ya Kipimo husomeka reactive (being infected )ambapo utasomewa kua Ni HIV positive Au (Non-reactive )being free from HIV Ambapo majibu yako ni HIV Negative...
Soma natural history of HIV Ujielimishe kuhusu haya mambo!
 
Mwambie daktari akupime na UNIGOLD ili u confirm mkuu Kama hakukupima. Ila Kama Ali confirm na hiyo Basi your safe. Hicho Cha juu hakitoshi.
 
Kipimo kikubwa cha HIV ni Nini?
 
Hizo dalili ni za mtu ambae kinga yake ya mwili ina shida yani imeshuka na usikariri sio HIV tu inashusha kinga ya mwili vipo vingi vinavyoweza shusha kinga ya mwili mpaka ukapata hayo mafungus na magonjwa nyemelezi daily....!! kama hiyo test imeonesha Huna HIV bhasi relax huna mzeee baharia unapiga peku lakini Muogaa hivyoo au ndo mara ya kwanza kula peku..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanapiga peku mpaka malaya
 
Je mtu alipima ktk rapid test akawa negative akipima viral load virusi vinaonekana?
 
Uni gold ni kipimo gani?
hizo za juu (bioline) zinaweza kuwa hazipo vizuri so huwa tunajaribu ku confirm majibu lakini Mara nyingi Kama majibu Ni positive, lakini Kama yeye ana neg na haamini ajaribu na hicho.
 
Inawezekana umekuwa na maswali ambayo yamekuwa yakikutatiza juu ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na ugonjwa wa UKIMWI.

Leo nakupa nafasi ya kuuliza swali lolote juu ya mada hii. Twende kazi!
Kuna case ipo mtaani:

Kuna wagonjwa (mke + mume) wa HIV ambao walishapima tangu miaka 15 iliyopita baada ya kuumwa mara kwa mara magonjwa kma vile fungus, typhoid na maradhi mengine

Baada ya kufahamu kwmba wapo HIV+ hawakuanza kutumia ARVs isipokuwa walifuatilia njia mbadala za kupandisha kinga yao ya mwili esp katika swala zima la misosi na lishe bora, mpaka hv sasa naongea hapa wanadunda, afya njema saaana kupita kiasi, kuna wagonjwa ambao walitumiaga ARVs na sasa hawapo ila hii couple inadunda 2

SWALI;

Tumeambiwa kwamba UKIMWI ni ukosefu wa kinga mwilini, means mtu anapokuwa na king a hafifu hii hupelekea magonjwa nyemelezi kufika kwa mtu huyo bila kuzuiliwa na kinga ya ndani ya mwili

Pia tumeambia ARVs ndo kitu pekee ambcho mtu mwenye UKIMWI anapaswa kutumia ili kurudisha kinga yake ya mwili ktk mstari na kumfanya mgonjwa aishi kwa matumaini

Je, ni kweli kwmba ARVs ndo kjtu pekee ambacho kinachoweza kupandisha kinga ya mwili ya binadamu ?

Vipi kuhusu matumizi ya vile vyakula ambvyo vinaaminika vina uwezo wa kupandisha kinga ya mwili kwa binadamu kwa haraka sana?

Kwann madaktari huwa hawatoi ushauri wa kutumia hivi vyakula kwa wagonjwa badala ya kumpa hv ARVs tu? zinaangamiza watu bhna hz dawa

Deception
 
Swali zuri...
 
HIV virus ni kinaweza kukaa kama kiumbe hai na kukaa kama kiumbe kisicho hai, ila kikikutana na damu tu kazi inaanza kama kawa

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii si kweli, virusi vya ukimwi vinakufa baada ya sekunde kadhaa vinapokuwa sehemu ambayo ipo wazi. Vinaweza ku survive kwenye bomba la sindano na sehemu nyingine kama hizo lakini hauwezi kuambukizwa kwa mfano mtu alieathirika akichomwa na msumari halafu na wewe ukachomwa na huo msumari baada ya siku kadhaa.
 
Why sindano and not msumari
 
Je mama mjamzito anapossibillity kubwa ya kupima HIV na Kupata result HIV+ hata kama status yake ni HIV - before
 
Nakushauri nenda ikapimwe UKIMWI hospital, acha kujipima mwemyewe kwani wewe sio mtaalam. Majibu yanaweza yasiwe sahihi kwa kukosa weledi katika upimaji
Hospitalini tunafuata ushauri tu,upime hospilini ama ujipime nyumbani kama unao upon tu na km huna huna tu.
Mimi nilipitia masaibu makubwa ndugu hd wakina Mzee RAZA humu wakagonga msumari wa mwisho kwamba tayari nimewaka na kunishauri kuwahi dozi mapema . vipimo vyote vya home na hospitali vilisoma negative hadi Leo ni miezi Tisa tangu niingie kwenye hofu hiyo.
Nilijaribu kutafuta tiba kwenye hospitali kubwa nkapimwa na tatizo lilikuwa ni OGD ,sihitaji kulificha.
#Relax brother,tafuta washauri wazuri,psychologist mzuri atakushauri.
# Jihadhari na matapeli wa Jf ,watakuja wengi wenye dawa ya hayo matatizo yako !!!
 
Tatizo ni OGD au GERD?? kwa maana ya acid reflux disease?? Vipi umefanikiwa kupata tiba??

Pole sana mkuu, kwani acid reflux inafanana dalili zake na UKIMWI mpaka ukachanganyikiwa na kujihisi unao?
 
mshahara wa dhambi ni mauti, pima;
1. Kisukali
2. TB
3. HIV kwa marudio
akili yako iweke free kupokea na kuyaamini majibu
 
Tatizo ni OGD au GERD?? kwa maana ya acid reflux disease?? Vipi umefanikiwa kupata tiba??

Pole sana mkuu, kwani acid reflux inafanana dalili zake na UKIMWI mpaka ukachanganyikiwa na kujihisi unao?
Kwani we ulivyosema ninao ulitumia kithibitisho gani???
Humu Jf wengi ni matepeli na walaghai hakuna ushauri wa maana ,hao wanaojifanya wajuaji ni matapeli wote.
Wamenitafuta sana wanitapeli wakaangukia pua !!!
 
Kwani we ulivyosema ninao ulitumia kithibitisho gani???
Humu Jf wengi ni matepeli na walaghai hakuna ushauri wa maana ,hao wanaojifanya wajuaji ni matapeli wote.
Wamenitafuta sana wanitapeli wakaangukia pua !!!
Ulikuwa unasema umefanya ngono zembe na una dalili zote za UKIMWI, nikakushauri uende hospital ukapime ili kama utakuwa unao uanze dozi mapema kuliko kupoteza muda jamiiforums kuomba ushauri hatimae unaangukia mikononi mwa matapeli.

Kwa mujibu wa threads zako hata wewe mwenyewe ulijijua kuwa umeathirika, sasa kama mwemyewe unajihisi umeathirika, kosa langu ni lipi kukushauri uwahi hospital kufanya check up mapema ili kama unao uanze dozi mapema??
 
nmejarbu kukufuata PM upo banned, nina shida private mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…