Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Haaa vinaliwa vile daa kama tupo China jamani!Na ukizubaa unapigwa miba vizuri tu.RIP mamkubwa ulinionjesha hii nikiwa na njaa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaa vinaliwa vile daa kama tupo China jamani!Na ukizubaa unapigwa miba vizuri tu.RIP mamkubwa ulinionjesha hii nikiwa na njaa sana.
Huwezi kula ndege inayojinyea lkn wewe hapo ulipo unatembea na mavi tumboni boss.jamanii jamani, kwa kweli mie pishi lolote liliotiwa mafuta ya kula yale ya kigoma hapana aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu Bata hapana, siwezi kula ndege inajinyea[emoji23]
Ila sasa ule wali wanazi haragwe nazi mchuzi nyama, ka kisamvu mlalo nazi na lipespsi lake labariiiiiiiiiidi!! We jamaniiiii weeee nakula mpaka mnifukuze!!!
.... sio unaolewa na ka last born ka kifipa huko kanaenda kukupikisha cabbage na karanga[emoji1787][emoji1787]
Unataka tukuanzishie tena? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe kijana ni mpuuzi sana hizi karanga zote mnazokula daslam umetoka nazo kwenu kigoma? Kwa taarifa yako asilimia 90 ya vyakula hapa kwenu vinatoka nyanda za juu kusini upo totoo??Aisee we Khantwe si kwa kunisema huko[emoji23]
Haya bhana mi last born niacheni na mikaranga yangu na huwenda mnazani karanga zinazowekwa ni nzima nzima kumbe ni karanga za kusigina! Watu wa kusini bhana ushamba mwingii[emoji23]
Hivi mnaotukana kabechi mgagani mnauonaje sasa??
Ukisema Kuna vyakula huli halafu ukasema mgagani walau nitakuelewa upo serious!.
Mi sio wa daslam Toto mi natoka Kanda ya ziwa ndo Kuna hizi Mambo za karanga kwenye mboga kazi kwenu washamba!Unataka tukuanzishie tena? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe kijana ni mpuuzi sana hizi karanga zote mnazokula daslam umetoka nazo kwenu kigoma? Kwa taarifa yako asilimia 90 ya vyakula hapa kwenu vinatoka nyanda za juu kusini upo totoo??
Sawa mtoto mzuri last born tumekuachaMi sio wa daslam Toto mi natoka Kanda ya ziwa ndo Kuna hizi Mambo za karanga kwenye mboga kazi kwenu washamba!
Achaneni na Mimi[emoji23]
Utateseka sanaa..ni kitu ambacho kinaumiza snaaa watu ambao hawako Tz...foooodNashindwa kuelewa nitasavaivu vipi sehemu ambapo hakuna ugali
Nyama yake kama kuku tu.Huyo kalungu yeye huyo mdudu..ukienda mbez....goba...yaan had kero..mara ya kwanza nilidhan nimeona uchawi nkawa sielew..hawa wdudu gan
Hahahah....mim nahis nakula kiila kitu..mim ukinikuta kwenye soko la samak vtu navyokula unaweza shangaa snaaNyama yake kama kuku tu.
Tulitoka kuwinda tunafika maskani rosti la kufa mtu.tukala.
Badae ndo maza anasema ilikua karunguyeye kakatiza tukamla kichwa ndo hiyo sauce.
Dah nilitapika njia nzima kurudi home.
Dah! Ila watuSawa mtoto mzuri last born tumekuacha