Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Vingepotea tu huko sokoniNaunga mkono hoja😅 ni bora nife tu ila siwezi kwenda sokoni kununua vilivyopo pichani labda kama atakaevila ni mwengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vingepotea tu huko sokoniNaunga mkono hoja😅 ni bora nife tu ila siwezi kwenda sokoni kununua vilivyopo pichani labda kama atakaevila ni mwengine
Kuna watu wanajua kupika acha aisee....kabeji nilikuwa siipendi lakini kuna binti akiipika kisha achanganye na nyama,haki ya Mungu inakuwa mzuriAcha ushamba unashangaa kabeji ya karanga mbona kisanga hichi,kabla hujabisha tafuta mtu akupikie hivyo aweke na karanga atoe roast fulani hivi ibaki kuwa siri yako😂
Hahahahahahah hio ya mayonaise inakuwaga tamu sana ikiwa mbichi[emoji23] kuna mtu anapenda hivyo lakini ukikaanga zenyewe anakwambia toa hapa, au anapiga hicho mpishi na cabbage yake[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wali maharage the best food ever...nilikua mahala fulan miaka hyo...watoto wakibongo tulikua tuna crave for ile taste ya misos ya home...mfano ugali dagaa..wali maharage kachumbar..ndo nilikuja kuamin kwel sis vyakula vyetu wa Tz ni namba1....siku mtu akijitoa ufaham akapika unashangaa kijiji chote kinahamia hapo..achen.tu ...compare na nchi nyingne...Tz tuna msos mtam sanaaaa asikwambie mtu....jamanii jamani, kwa kweli mie pishi lolote liliotiwa mafuta ya kula yale ya kigoma hapana aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu Bata hapana, siwezi kula ndege inajinyea[emoji23]
Ila sasa ule wali wanazi haragwe nazi mchuzi nyama, ka kisamvu mlalo nazi na lipespsi lake labariiiiiiiiiidi!! We jamaniiiii weeee nakula mpaka mnifukuze!!!
Huyo kalungu yeye huyo mdudu..ukienda mbez....goba...yaan had kero..mara ya kwanza nilidhan nimeona uchawi nkawa sielew..hawa wdudu ganPanya ,kondoo mafirifiri,kalunguyeye ,mbwa. Sungura.
Ila vyote shatafuna[emoji16]
Kitu cha mayugwa hapo chini kabisa sili hata unishikie bunduukiUpo uzi kama huu humu
Mie hayo madude hapo chini yakiongozwa na boga sili aseee,nife tu
View attachment 2098892View attachment 2098893View attachment 2098894
Na ukizubaa unapigwa miba vizuri tu.RIP mamkubwa ulinionjesha hii nikiwa na njaa sana.Huyo kalungu yeye huyo mdudu..ukienda mbez....goba...yaan had kero..mara ya kwanza nilidhan nimeona uchawi nkawa sielew..hawa wdudu gan
Choroko hata mimi hapanaMajani ya Kunde, choroko, mbaazi hapana bora nife njaa..!mihogo iliyoungwa nazi nitakula huku Moyoni nimenuna balaa!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mshindweeVingepotea tu huko sokoni
Kabeji uchanganye na utumbo[emoji39][emoji39][emoji39] utajiramba hadi igunga hukoKuna watu wanajua kupika acha aisee....kabeji nilikuwa siipendi lakini kuna binti akiipika kisha achanganye na nyama,haki ya Mungu inakuwa mzuri
Nashindwa kuelewa nitasavaivu vipi sehemu ambapo hakuna ugaliWali maharage the best food ever...nilikua mahala fulan miaka hyo...watoto wakibongo tulikua tuna crave for ile taste ya misos ya home...mfano ugali dagaa..wali maharage kachumbar..ndo nilikuja kuamin kwel sis vyakula vyetu wa Tz ni namba1....siku mtu akijitoa ufaham akapika unashangaa kijiji chote kinahamia hapo..achen.tu ...compare na nchi nyingne...Tz tuna msos mtam sanaaaa asikwambie mtu....
Hata makongo wapoHuyo kalungu yeye huyo mdudu..ukienda mbez....goba...yaan had kero..mara ya kwanza nilidhan nimeona uchawi nkawa sielew..hawa wdudu gan