Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's my sista [emoji4]
Huwa unaspeak my mind mara nyingi sana sana sana hapa JF
Kabichi na karanga [emoji2296][emoji2296]
Hapo mimi nisiyependa kabichi ndio unanipa sababu nyingi zaidi ya kutopenda
Shangaa na wewe jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mapishi mengine karanga na cabbage duu hapana
Because am your sista[emoji7][emoji7]That's my sista [emoji4]
Huwa unaspeak my mind mara nyingi sana sana sana hapa JF
Kabichi na karanga [emoji2296][emoji2296]
Hapo mimi nisiyependa kabichi ndio unanipa sababu nyingi zaidi ya kutopenda
Yaani wewe...hivi huwa unakula nini hasa?
- Viazi mviringo ile harufu, na radha yake yanichukiza
- Wali siukubali maisha
- Nyama
Ivi inakuwaje watu wengi hanzipendi? Na utamu wote ule! Mi kwangu kati ya maharage na kabichi nachagua kabichi1.Mtindi bila sukari
2.Magimbi
3.Kabichi
4.Mlenda
5.Afkeki
Kabichi chakula cha hovyo sanaIvi inakuwaje watu wengi hanzipendi? Na utamu wote ule! Mi kwangu kati ya maharage na kabichi nachagua kabichi
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kabichi nayopenda kula ni ya kachumbari yenye vikolombwezo mixa mayonaise 😅Napenda kabich iwekewe hoho,karoti na kitunguu na chumvi unaikaanga kidogo kwenye mafuta kidogo
Au iwe kwq chumbari
Hahahahahahahah hio combination bora mni lissufy tu hamna namna!Kuna Magimbi na cabbage a.k.a kabichi.
Mniue tu babake, hizo kitu sili mimi!
[emoji7][emoji7][emoji7] kabichi ndio nimepika leo. Utakula wapi?Kabichi chakula cha hovyo sana
Ntakula kwa mama Naa huku kijiweni😅 hilo wape akina Asifiwe na Sifa[emoji7][emoji7][emoji7] kabichi ndio nimepika leo. Utakula wapi?View attachment 2100734
Tutakuletea hukohukoNtakula kwa mama Naa huku kijiweni[emoji28] hilo wape akina Asifiwe na Sifa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukasome chekechea kabisaNilijiona sili vitu..kumbe mimi ni rookie tu kwa wachangiaji hapa..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu kananuna balaa eti karanga hazikuiva vizuriBecause am your sista[emoji7][emoji7]
Halafu yupo kunichamba eti sijui kupika kisa nimemkatalia hilo pishi lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mdogo wangu siku unaolewa muulize shemeji preferences zake kwenye vyakula sio unaolewa na ka last born ka kifipa huko kanaenda kukupikisha cabbage na karanga[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kanaanza nimemisi kabichi ya mama. Hakuna mtu anajua kupika kama mama yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu kananuna balaa eti karanga hazikuiva vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] kuna mtu anapenda hivyo lakini ukikaanga zenyewe anakwambia toa hapa, au anapiga jicho mpishi na cabbage yake[emoji3][emoji3][emoji3]Kabichi nayopenda kula ni ya kachumbari yenye vikolombwezo mixa mayonaise [emoji28]