Vyakula mbadala kwa ajili ya kulisha Population ya Dunia inayo ongezeka kwa kasi

Vyakula mbadala kwa ajili ya kulisha Population ya Dunia inayo ongezeka kwa kasi

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Vyakula mbadala hasa wadudu ndo wanaaminika wanaweza saidia kupunguza balaa linalo nyemelea Dunia kwa sasa.

Ninavyo zungumzia wadudu nazungum,ia Edible insect. Hawa ni wadudu wazuri kwa ajili ya Chakula cha binadamu na mifano ni kama ville
1. Panzi
2.Kumbikumbi
3.Senene
4. Cricket
5.Aina ya funza

Na wengineo wengi tu ambao sijawataja.

Wadudu tajwa hapo juu tiyari wanatumiwa na baadhi ya watu au makabila maeneo tofauti tofauti za Dunia.

Kwa Africa walitumika mno kabla ya kuwasili kwa Missionary ambao walileta sana mazao ya bafaka na matunda na mboga. Na pia tujue kabisa kwamba Nafaka kama Mahindi, mitama, viazi, maharagwe na vinginevyo vililetwa Africa miaka ya ya 1600 kwenda juu.

Wadudu na wanyama poli na Matunda mwitu ndo ilikuwa chakula chetu kikuu.

Baada ya kuja kwa vyakula kama mahindi na kadhalika tukaachana na wadudu tukuaanza kula Michele na mahindi na kutokea hapo tukaona wadudu ni kinyaa tupu.

Leo hii kasi ya ulaji wa Edible insect umeongezekana sana.Wazungu walio tuletea mahindi tule wanageukiwa wadudu kwa kasi sana.

EU tiyari walisha ruhusu uingizaji wadudu kwa ajili ya mifugo na pia kama chakula cha binadamu

Kuna kampuni nyingi za wazungu kwa sasa zinawekeza sana kwenye Wadudu.

Huku sisi bado tunaamini wadudu ni kinyaa au ni vyakula vya watu walio kosa chakula ila vitu kama soda na vyakula vingine vya hovyo kutoka kwa wazungu tunaviona vya maana.

Hivyo ni time sasa ya kuwekeza kwenye edible Insects kwa ajili ya mifugo na Binadamu.

Tunaweza anza Na mifugo wakati tunasoma ramani kwa ajili ya binadamu.
FB_IMG_1575615057949.jpeg
FB_IMG_1575220701557.jpeg
FB_IMG_1575220678823.jpeg
FB_IMG_1573216973770.jpeg
 
Wadudu hunilishi kamwe bora niwale in indirect way lasivyo nitatapika hadi utumbo
 
Kwa Tanzania kufikiria kuanza kula wadudu ni kujitakia tu,labda tuwekeze kwa ajili ya mifugo.

Hii ndio nchi inaongoza kuwa na mifugo wengi baada ya Ethiopia,ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,nk, kinachotakiwa ni kuweka mazingira mazuri tu na Sera ili nyama ipatikane kwa bei nzuri.

Bado tuna Samaki kwenye Bahari,Maziwa na mito ambapo uvuvi wake hatuumudu hata asilimia 10,na hata kwenye pato la taifa haufikishi hata asilimia 1,matokeo yake watu wanafanya shamba la bibi.

Bado kuna wanyama kama Sungura hawajapewa promo vya kutosha ili kila nyumba ianze kufuga kama Chakula maana hawa huzaliana kwa kasi kama panya,matokeo yake tunaanza kufikiria sijui mende na funza.

Bado tuna ndege wengi sana kama kwelea kwelea ambao husababisha majanga ya njaa kwa kuvamia mashamba na kula mazao,hao ndio wangetumika kama chakula ili wapungue.

Bado tuna Kanga,bata na wengine wengi ambao wapo porini huko ambapo sheria inaweza kurekebishwa wakawa wanazalishwa na kuuzwa nyumbani watu wafuge kwa ajili ya chakula na biashara.

Tukiendelea kusikiliza stories za wazungu tutasombwa na propaganda zao halafu tutasahau hata kwamba sisi tuna utajiri wa mifugo tunaopaswa kujivunia.
 
Kiangazi mmoja kali ya miaka ya mwanzo ya 2000 ilinikuta porini, wenyeji wamepigika hamna mfano; walikuwa wanaenda porini kutingisha miti jamii ya mikoko wanaokota Aina ya wadudu wanafanana na washawasha wale wakubwa ila wao hawana manyoya hiko ndio kilikuwa kitiweo, wakibahatisha konokono, ni karamu kwenye kaya.!
.
.
.
Ardhi na Hali ya hewa bado haituruhusu kula wadudu labda Kama ni jadi ya mhusika.
 
babu zetu walivila sana hivyo, Wachina wanakula sana wadudu na ndo hao wanatujengea madaraja na barabara sisi tusio kula wadudu hata akili ya kutengeneza wembe hatuna
Kiangazi mmoja kali ya miaka ya mwanzo ya 2000 ilinikuta porini, wenyeji wamepigika hamna mfano; walikuwa wanaenda porini kutingisha miti jamii ya mikoko wanaokota Aina ya wadudu wanafanana na washawasha wale wakubwa ila wao hawana manyoya hiko ndio kilikuwa kitiweo, wakibahatisha konokono, ni karamu kwenye kaya.!
.
.
.
Ardhi na Hali ya hewa bado haituruhusu kula wadudu labda Kama ni jadi ya mhusika.
 
Aridhi ipi? Kwa sasa kuna mabadiliko makunwa ya hali ya hewa mkuu, mafuriko makubwa yanayo fuatana na Viangazi vikubwa sana,

Wadudu wanaliwa sana Tanzania sema labda huko uliko, Panzi wanaliwa, senene wanaliwa au wenyewe sio wadudu? Senen zina exportiwa kabisa. Kumbikumbi zinaliwa mno.

Wadudu ni vyakula kwa baadhi ya makabila. Brain wash ndo zinatusumbua tu,
Kiangazi mmoja kali ya miaka ya mwanzo ya 2000 ilinikuta porini, wenyeji wamepigika hamna mfano; walikuwa wanaenda porini kutingisha miti jamii ya mikoko wanaokota Aina ya wadudu wanafanana na washawasha wale wakubwa ila wao hawana manyoya hiko ndio kilikuwa kitiweo, wakibahatisha konokono, ni karamu kwenye kaya.!
.
.
.
Ardhi na Hali ya hewa bado haituruhusu kula wadudu labda Kama ni jadi ya mhusika.
 
Kwani nchi za Asia wanao kula wadudu hawalimi? Hivi unajua Sekita ya Kilimo China? Unajua china ndo producer mkuu wa Mchele Duniani? Unajua ndo producer mkuu wa Kuku Duniani mbona wanakula wadudud?

Asian countries kibao wanakula wadudu tunawazidi nini? Niambie tunawazidi nini Thailand,
Kwa Tanzania kufikiria kuanza kula wadudu ni kujitakia tu,labda tuwekeze kwa ajili ya mifugo.

Hii ndio nchi inaongoza kuwa na mifugo wengi baada ya Ethiopia,ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,nk, kinachotakiwa ni kuweka mazingira mazuri tu na Sera ili nyama ipatikane kwa bei nzuri.

Bado tuna Samaki kwenye Bahari,Maziwa na mito ambapo uvuvi wake hatuumudu hata asilimia 10,na hata kwenye pato la taifa haufikishi hata asilimia 1,matokeo yake watu wanafanya shamba la bibi.

Bado kuna wanyama kama Sungura hawajapewa promo vya kutosha ili kila nyumba ianze kufuga kama Chakula maana hawa huzaliana kwa kasi kama panya,matokeo yake tunaanza kufikiria sijui mende na funza.

Bado tuna ndege wengi sana kama kwelea kwelea ambao husababisha majanga ya njaa kwa kuvamia mashamba na kula mazao,hao ndio wangetumika kama chakula ili wapungue.

Bado tuna Kanga,bata na wengine wengi ambao wapo porini huko ambapo sheria inaweza kurekebishwa wakawa wanazalishwa na kuuzwa nyumbani watu wafuge kwa ajili ya chakula na biashara.

Tukiendelea kusikiliza stories za wazungu tutasombwa na propaganda zao halafu tutasahau hata kwamba sisi tuna utajiri wa mifugo tunaopaswa kujivunia.
 
Sheria ipi? Nazungumzia mabadiliko ya tabia nchi, Na hao wadudu kuna makabila wanakula sana tena mno na wengine wana Export Farolito
 
Kula wadudu ni katika ku supplement kupunguza demand.

La sivyo tuaniandae kula nyama za kwenye Maabara kwa ajili ya Protein, tule kuku wa Maabara kwa ajili ya Protein na samaki wa maabara oia hivyo nazani havi ashida kabisa vinatoka kwa Wazungu
 
Back
Top Bottom