Vyakula mbadala kwa ajili ya kulisha Population ya Dunia inayo ongezeka kwa kasi

Vyakula mbadala kwa ajili ya kulisha Population ya Dunia inayo ongezeka kwa kasi

Kwa Tanzania kufikiria kuanza kula wadudu ni kujitakia tu,labda tuwekeze kwa ajili ya mifugo.

Hii ndio nchi inaongoza kuwa na mifugo wengi baada ya Ethiopia,ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,nk, kinachotakiwa ni kuweka mazingira mazuri tu na Sera ili nyama ipatikane kwa bei nzuri.

Bado tuna Samaki kwenye Bahari,Maziwa na mito ambapo uvuvi wake hatuumudu hata asilimia 10,na hata kwenye pato la taifa haufikishi hata asilimia 1,matokeo yake watu wanafanya shamba la bibi.

Bado kuna wanyama kama Sungura hawajapewa promo vya kutosha ili kila nyumba ianze kufuga kama Chakula maana hawa huzaliana kwa kasi kama panya,matokeo yake tunaanza kufikiria sijui mende na funza.

Bado tuna ndege wengi sana kama kwelea kwelea ambao husababisha majanga ya njaa kwa kuvamia mashamba na kula mazao,hao ndio wangetumika kama chakula ili wapungue.

Bado tuna Kanga,bata na wengine wengi ambao wapo porini huko ambapo sheria inaweza kurekebishwa wakawa wanazalishwa na kuuzwa nyumbani watu wafuge kwa ajili ya chakula na biashara.

Tukiendelea kusikiliza stories za wazungu tutasombwa na propaganda zao halafu tutasahau hata kwamba sisi tuna utajiri wa mifugo tunaopaswa kujivunia.
Hao Ethiopia wanaoongoza kwa mifugo mbona njaa ipo Sana .. na wamewahi mpaka kupoteza raia kwa vifo vya njaa.
 
hao funza wanavunwa wap?
navyojua funza wanapatikana kwenye mizoga
wanaladha gani
 
China kula wadudu haina maana na sisi tuanze kula wadudu,bado tuna wanyama wa aina mbalimbali tuoweza kutumia,wadudu labda kwa ajili ya mifugo
Kwani nchi za Asia wanao kula wadudu hawalimi? Hivi unajua Sekita ya Kilimo China? Unajua china ndo producer mkuu wa Mchele Duniani? Unajua ndo producer mkuu wa Kuku Duniani mbona wanakula wadudud?

Asian countries kibao wanakula wadudu tunawazidi nini? Niambie tunawazidi nini Thailand,
 
Kuna sheria haziruhusu kifuga baadhi ya wanyama au ndege wa porini ndio nazungumzia hizo hasa jamii ya ndege ambao wanaweza kutumia kama chakula
Sheria ipi? Nazungumzia mabadiliko ya tabia nchi, Na hao wadudu kuna makabila wanakula sana tena mno na wengine wana Export
 
babu zetu walivila sana hivyo, Wachina wanakula sana wadudu na ndo hao wanatujengea madaraja na barabara sisi tusio kula wadudu hata akili ya kutengeneza wembe hatuna
Nikipata muda nitakupigia picha jengo walilojenga wachina linaitwa mpingo house limejengwa kipindi Cha jk na jengo la extelecom lililojengwa na wazungu wasiokula wadudu walijenga sijui lini utaona tofauti ya kuwa na wadudu kwenye ubongo!
 
Hahaa wachina wanajenga kulingana na pesa ulio nayo. Hata ukitaka ujengewe barabara ya lami kwenda nyumbani kwako watakujengea kwa pesa ulio nayo wewe. Kaangalie product wanazo uza Ulaya ndo utawajua au USA.
Nikipata muda nitakupigia picha jengo walilojenga wachina linaitwa mpingo house limejengwa kipindi Cha jk na jengo la extelecom lililojengwa na wazungu wasiokula wadudu walijenga sijui lini utaona tofauti ya kuwa na wadudu kwenye ubongo!
 
Hapo ulipo unatumia either TECNO au Samsung na zote hizo ni za wala wadudu.
Nikipata muda nitakupigia picha jengo walilojenga wachina linaitwa mpingo house limejengwa kipindi Cha jk na jengo la extelecom lililojengwa na wazungu wasiokula wadudu walijenga sijui lini utaona tofauti ya kuwa na wadudu kwenye ubongo!
 
Wanyama au ndege haziwezi lisha Dunia nazani unazungumzia kula weww na Familia yako tu. Nazungumzia kulisha nchi hata Sudani Kusini zenye ukame na njaa
Kuna sheria haziruhusu kifuga baadhi ya wanyama au ndege wa porini ndio nazungumzia hizo hasa jamii ya ndege ambao wanaweza kutumia kama chakula
 
Hapana, sio wale funza unao wajua wewe. Ndo maana wanaitwa Edible insect. Ni sawa na Bacteria unajua kuna aina mbili za Bacteria? Bacteria wazuri na Bacteria wabaya?
hao funza wanavunwa wap?
navyojua funza wanapatikana kwenye mizoga
wanaladha gani
 
Hahaa umewapenda? Ni sawa na Bacteria kuna Good Bacteria na Bad Bacteria ukimueleza mtu kwamba kuna Bacteria wazuri na anawala kila siku atakubushia vibaya mno
mwili umenisisimka
 
hata kama wanatokana na uzao wa bacteria wazuri bado hujanishawishi
Hapana, sio wale funza unao wajua wewe. Ndo maana wanaitwa Edible insect. Ni sawa na Bacteria unajua kuna aina mbili za Bacteria? Bacteria wazuri na Bacteria wabaya?
 
hao funza wew unawala??
Hahaa umewapenda? Ni sawa na Bacteria kuna Good Bacteria na Bad Bacteria ukimueleza mtu kwamba kuna Bacteria wazuri na anawala kila siku atakubushia vibaya mno
 
Mkuu sidhani Kama wewe ni mgeni kiasi hicho kwenye Biashara; suala la msingi likiwa label ya made in China.

Kampuni ya kimarekani wanaweza kuanzisha kiwanda China kufuata incentive za soko la ajira China ila lengo ni kuuza marekani, product itakuwa na label ya made in China.
Hii pia ipo amerika ya kusini, viwanda vya nguo vingi vya Marekani wanafanyia kazi zao huko


Kampuni ya ulaya unaweza kuwekeza China kwa viwango vya ulaya kwa kufuata fursa za Hali ya hewa na kiuchumi Kama ASEAN na treaties nyinginezo zinazofungua soko.
Product itakuwa na label ya made in China.

Kwa hapa kwetu tunaona makampuni ya uzalishaji maua, samaki, nguo kwa ajili ya masoko ya nje kwa kupitia mikataba ya kufungua masoko ya Ulaya na Marekani Kama Agoa, soko na rasilimali za Kanda Kama EAC, rasilimali za ndani Kama EPZ....

Product nzuri kwa kiwango Cha juu zaidi zinatengenezwa na kampuni zenye mahusiano ya namna Fulani na hao wazungu.... Sio ajabu kutumia DELL iliyotoka Uarabuni!

Sisemi hamna product hata moja nzuri, zipo ila ni chache....... Mchina anachofanya kwa nguvu zote kinaitwa reverse engineering anafuata miguu ya mzungu ilipopita hivyo Mara zote atakuwa hatua chache nyuma.

Hahaa wachina wanajenga kulingana na pesa ulio nayo. Hata ukitaka ujengewe barabara ya lami kwenda nyumbani kwako watakujengea kwa pesa ulio nayo wewe. Kaangalie product wanazo uza Ulaya ndo utawajua au USA.
 
China wana product Bora mkuu, wakina Huawei wana tesa sana Wazungu kwa sasa
Mkuu sidhani Kama wewe ni mgeni kiasi hicho kwenye Biashara; suala la msingi likiwa label ya made in China.

Kampuni ya kimarekani wanaweza kuanzisha kiwanda China kufuata incentive za soko la ajira China ila lengo ni kuuza marekani, product itakuwa na label ya made in China.
Hii pia ipo amerika ya kusini, viwanda vya nguo vingi vya Marekani wanafanyia kazi zao huko


Kampuni ya ulaya unaweza kuwekeza China kwa viwango vya ulaya kwa kufuata fursa za Hali ya hewa na kiuchumi Kama ASEAN na treaties nyinginezo zinazofungua soko.
Product itakuwa na label ya made in China.

Kwa hapa kwetu tunaona makampuni ya uzalishaji maua, samaki, nguo kwa ajili ya masoko ya nje kwa kupitia mikataba ya kufungua masoko ya Ulaya na Marekani Kama Agoa, soko na rasilimali za Kanda Kama EAC, rasilimali za ndani Kama EPZ....

Product nzuri kwa kiwango Cha juu zaidi zinatengenezwa na kampuni zenye mahusiano ya namna Fulani na hao wazungu.... Sio ajabu kutumia DELL iliyotoka Uarabuni!

Sisemi hamna product hata moja nzuri, zipo ila ni chache....... Mchina anachofanya kwa nguvu zote kinaitwa reverse engineering anafuata miguu ya mzungu ilipopita hivyo Mara zote atakuwa hatua chache nyuma.
 
Back
Top Bottom