Vyakula mbadala kwa ajili ya kulisha Population ya Dunia inayo ongezeka kwa kasi

Vyakula mbadala kwa ajili ya kulisha Population ya Dunia inayo ongezeka kwa kasi

Kwani nchi za Asia wanao kula wadudu hawalimi? Hivi unajua Sekita ya Kilimo China? Unajua china ndo producer mkuu wa Mchele Duniani? Unajua ndo producer mkuu wa Kuku Duniani mbona wanakula wadudud?

Asian countries kibao wanakula wadudu tunawazidi nini? Niambie tunawazidi nini Thailand,
Sasa mzee huo si utamaduni wao? Vyakula ni sehemu ya utamaduni pia, wameanza kuvila karne na karne sio kwa sababu eti ya upungufu

kuna vyakula vyetu ambavyo wachina ukiwapa hawataweza kula pia

hakuna upungufu wa chakula sasa hivi, hasa kitoweo, sioni haja ya kujilalazimisha kula vyakula ambavyo havipandi kisa watu fulani wanakula....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise! sio muda tena tutaambiwa, "kila mtanzania anatakiwa kula wastani wa kilo tatu za wadudu kila siku kwaajili ya kuongeza nguvu mwilini na kuimarisha kinga ya mwili".

Nakumbuka Zambia wanakula sana mafilifili
 
Mtaambiwa na nani? Na Vidonge nani anaye kuambia ule? Ujue Waafrica tuko Brain washed sana na Magharibi
Aise! sio muda tena tutaambiwa, "kila mtanzania anatakiwa kula wastani wa kilo tatu za wadudu kila siku kwaajili ya kuongeza nguvu mwilini na kuimarisha kinga ya mwili".

Nakumbuka Zambia wanakula sana mafilifili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soda ni utamaduni wako? Au kwa sababu zinazalishwa na wazungu? Shida ni kwamba kinacho zalishwa na Mzungu basi hicho ndo salama. Hawa wadudu tusubilia Wazungu watuambie tule na hapo hatutabisha make ni wazungu wamesema.
Sasa mzee huo si utamaduni wao? Vyakula ni sehemu ya utamaduni pia, wameanza kuvila karne na karne sio kwa sababu eti ya upungufu

kuna vyakula vyetu ambavyo wachina ukiwapa hawataweza kula pia

hakuna upungufu wa chakula sasa hivi, hasa kitoweo, sioni haja ya kujilalazimisha kula vyakula ambavyo havipandi kisa watu fulani wanakula....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaambiwa na nani? Na Vidonge nani anaye kuambia ule? Ujue Waafrica tuko Brain washed sana na Magharibi

Sent using Jamii Forums mobile app
Vidonge utatumia endapo utapewa ushauri na daktari lakini asili yetu kutumia vidudu kama hivyo naona sio tamaduni zetu.
Bado tuko na vyakula vingi sana ambavyo hata havitutoshelezi, tupo na ardhi kubwa sana kufanya miradi yenye tija kuleta chakula cha kujitosheleza na ziada. Siku moja naona mdau mmoja anahangaika na mradi wa mende kwaajili ya maziwa kweli ?
Kheri ufanye hivyo kwaajili ya chakula cha samaki, kuku, sungura nk.

Maana tukiendelea kufuata sana hizi Western Culture mwisho wa siku tutaambiwa hata magugu ya ng'ombe ni chakula kizuri kwa binadamu na kinademand kubwa European countries
 
Soda ni utamaduni wako? Au kwa sababu zinazalishwa na wazungu? Shida ni kwamba kinacho zalishwa na Mzungu basi hicho ndo salama. Hawa wadudu tusubilia Wazungu watuambie tule na hapo hatutabisha make ni wazungu wamesema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wazungu wanakula vingapi ambavyo sisi hatuli? Vingi sana
Vyakula na tamaduni za nchi huwa zinabadilika,lakini sip kitu abrupt
Huwezi kusema leo kwa kuwa China wanakula nyoka, basi na sisi tuanze kula nyoka, mzee hiyo ngumu
 
Tungeanza kula ndege, sungura,simbilisi, pimbi,panya.
Hao bado wanapatikana kwa wingi ni wanazaliana sana.
Sasa wadudu unaozungumzia wanapatikana kwa msimu na bei ni kubwa mno. Mfano hao nsenene.
 
Back
Top Bottom