Vyakula tunavyolishwa kwenye Baa, Hotelini, Migahawa nk

Vyakula tunavyolishwa kwenye Baa, Hotelini, Migahawa nk

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kwanza lazima tukubaliane kuwa hakuna mfanyabiashara anayependa hasara iwe ni hotel mgahawa au bar kubwa zikiwemo take aways. Wote hawa hutulisha ndaza na viporo.

Ni mara chache nno kuona chakula kinamwaga. Kikibaki kinahifadhiwa kwenye friji mpaka siku inayofuata. Shida inakuja kwenye umeme wetu ambao hukatika mara kwa mara ambapo husababisha chakula kuharibika.

lakini shida nyingine kubwa ni aina ya mafuta yanayotumika ,hii hasa ni kwenye hizi bar na hotel za kawaida ,kwa ajili ya kutaka faida kubwa hutumia mafuta ya bei poa ambayo yamejaa lehemu ,mbaya zaidi mafuta hayohayo hutumika kupikia chakula zaidi ya kimoja yatakaangia chips hayohayo yatakaangia mayai kuku samaki nk.

Viungo vingi ni vya kuokoteza kwenye masoko na vya bei poa ,kwa wale wapenzi wa kachumbari na salad mnalishwa minyoo mitupu kwa wale wapenzi wa tomato sauce nyingi ni feki za kutengenezwa mtaani.

Nyamachoma ,rost michemsho supu kuku na samaki vingi huwa vibudu na mizoga!!!tunalishwa vitu vya ajabu mno kuku wengi hawajachinjwa wamenyongwa nyama nyingi huwa hao wanyama wamekufa kwa ugonjwa nk samaki wengi huvuliwa kwenye mito na mabwawa ya mitaani full uchafu full sumu.

Nyama nyingine ni za mbwa paka nk.
Epuka michemsho mishkaki na roast za usiku supu za makongoro mkia ulimi nazo ndio hizohizo.

Tunakulaga vyakula ambavyo havina ladha au tunaharisha au kuumwa matumbo tujue tu kuwa siku hiyo tumelishwa ndaza vibudu au mizoga
Tuwe makini tunapoagiza hivi vyakula jamani
 
Kuku waliokufa wanauzwa mia tano kwenye masoko ya kuku, ndo utashangaa ukienda sehem kama manzese, tandale, tandika, igogo, mabatini etc kuku pande kubwaa bei ndogo asa unajiuliza anapataje faida kwa kuuza mipande mikubwa hivyo kwa bei ndogo? Kumbe mkali anapiga misupanomo profit na kitaan anakubalika vbayaa, kichefuchefu kabisa.
 
8b25c966b197fe7f3f3604b7e007e0e4.jpg
 
Kwanza lazima tukubaliane kuwa hakuna mfanyabiashara anayependa hasara iwe ni hotel mgahawa au bar kubwa zikiwemo take aways. Wote hawa hutulisha ndaza na viporo.

Ni mara chache nno kuona chakula kinamwaga. Kikibaki kinahifadhiwa kwenye friji mpaka siku inayofuata. Shida inakuja kwenye umeme wetu ambao hukatika mara kwa mara ambapo husababisha chakula kuharibika.

lakini shida nyingine kubwa ni aina ya mafuta yanayotumika ,hii hasa ni kwenye hizi bar na hotel za kawaida ,kwa ajili ya kutaka faida kubwa hutumia mafuta ya bei poa ambayo yamejaa lehemu ,mbaya zaidi mafuta hayohayo hutumika kupikia chakula zaidi ya kimoja yatakaangia chips hayohayo yatakaangia mayai kuku samaki nk.

Viungo vingi ni vya kuokoteza kwenye masoko na vya bei poa ,kwa wale wapenzi wa kachumbari na salad mnalishwa minyoo mitupu kwa wale wapenzi wa tomato sauce nyingi ni feki za kutengenezwa mtaani.

Nyamachoma ,rost michemsho supu kuku na samaki vingi huwa vibudu na mizoga!!!tunalishwa vitu vya ajabu mno kuku wengi hawajachinjwa wamenyongwa nyama nyingi huwa hao wanyama wamekufa kwa ugonjwa nk samaki wengi huvuliwa kwenye mito na mabwawa ya mitaani full uchafu full sumu.

Nyama nyingine ni za mbwa paka nk.
Epuka michemsho mishkaki na roast za usiku supu za makongoro mkia ulimi nazo ndio hizohizo.

Tunakulaga vyakula ambavyo havina ladha au tunaharisha au kuumwa matumbo tujue tu kuwa siku hiyo tumelishwa ndaza vibudu au mizoga
Tuwe makini tunapoagiza hivi vyakula jamani
Kwakweli raha ya [emoji482] [emoji482] [emoji481] [emoji481] ni [emoji490] [emoji490] [emoji490] [emoji490] [emoji491] [emoji490] [emoji491] [emoji490] hivyo acha tule viporo tu maana hamna namna sasa
 
Mhh aise sasa wale ambao mchana tupo mbio mbio itabidi sasa wale wapenzi wetu a.k.a wake zetu wapendwa watuandalie vicontena!!! Sasa hapa mwanaume una sandwich umeandaliwa home inakuwaje? Ila kwa wazungu inawezekana kubeba ila kwa waafrike eti si utaratbu kwa wanaume. Wacha tuumwe typhoid, H. Pylori, kipindupindu na madudu yote mpaka minyoo wale wa kutafuna ubongo.
 
Kuku waliokufa wanauzwa mia tano kwenye masoko ya kuku, ndo utashangaa ukienda sehem kama manzese, tandale, tandika, igogo, mabatini etc kuku pande kubwaa bei ndogo asa unajiuliza anapataje faida kwa kuuza mipande mikubwa hivyo kwa bei ndogo? Kumbe mkali anapiga misupanomo profit na kitaan anakubalika vbayaa, kichefuchefu kabisa.
umenifurahisha kwenye mi supanomo profit kama namuona huyo jamaa
 
Nakula sana kitimoto mitaa ya minazini na kilwa rood pub ,na mikachumbali yakutosha ni juzi tu mimi na mshirika wangu tunaugulia typhod sasa
 
Kweli kabisa mkuu umenena,vibudu na wanyama walioibwa ndiyo hulishwa kwenye mabaa,nyanya zilizooza masalo hutumika pia
 
Big up mshana jr umeibuka na kitu hapa

Kwenye Hili ni changamoto kweli yaani sijui tutembee na vibegi na vyakula kama wazungu tu maana hatari
 
aisee kuhusu vyakula hapa mjini ni tatizo kuu,uweza shangaaa unakula nyama ya kuku lakini husikiii ladha yoyote ya nyama,kwa ndugu zangu wapenda kachumbari na juisi ndo shida zaidi,nyanya zinazo itwa masalo ndo hutumika zaidi kutengenezea hiyo kachumbali omba tu kusikia hayo masalo kuliko uyaone.kwa wapenda juisi zinazotengenezwa mtaani na kuwekwa kwenye chupa za maji zinazo okotwa mitaani nitabu tupu,nyingi za chupa hizi huokotwa mitaroni zikiwa na mikojo ambapo siamini kama zinasafishw kwa maji ya moto,ndo hizohizo huwekewa hizo juisi
 
Back
Top Bottom