Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kama ya ng'ombe
Tatizo ya hizi hotel bei iko juu lakini unakula kitu freshmada nzuri sana, ila siku hizi kuna hotel hawapiki mpaka order maalum, kama ni ugali unasongewa, nyama unachomewa, kuzuia hili swala ni ngumu sana, ni bora ukabeba kachakula kako unaposafiri
Ni kweli maana isije akazua sitofahamuNa kuna wakati kisiandaliwe na msichana wa kazi hasa kama keshajiongeza
Umenikumbusha enzi hizo niko o'level kuna dada mmoja alikuwa anatuuzia maandazi shuleni, hayakuwa mazuri sana, but kwa namna tulivyokuwa tunagombania ni hatari, utakuwa wauzaji wengine wapo hawana wateja,na maandazi yao ni mazuri pia bt tunatoana roho kwa Mama Faiza, baadae kuna mtu wake wa karibu akasema kuwa anachambia maji anayokandia maandazi.. Pytuuuu... But still tuliyapiganiana wapishi wa mandazi na chapati wako ktk mashindano ya nani atauza zaidi
View attachment 365178
mkuu umesoma ndanda boysUmenikumbusha enzi hizo niko o'level kuna dada mmoja alikuwa anatuuzia maandazi shuleni, hayakuwa mazuri sana, but kwa namna tulivyokuwa tunagombania ni hatari, utakuwa wauzaji wengine wapo hawana wateja,na maandazi yao ni mazuri pia bt tunatoana roho kwa Mama Faiza, baadae kuna mtu wake wa karibu akasema kuwa anachambia maji anayokandia maandazi.. Pytuuuu... But still tuliyapigania
Hapana mkuu, ya Girls huko Kanda ya kaskazini..mkuu umesoma ndanda boys
aah kwetu pia tulikua na mtu kama huyo, kumbe we ni ke nakuja PMHapana mkuu, ya Girls huko Kanda ya kaskazini..
It's closedaah kwetu pia tulikua na mtu kama huyo, kumbe we ni ke nakuja PM
pole mkuuu,haikua nia yangu wewe utapikeImebidi nitapike kwanza maana nimetoka kupiga kachupa kamoja. Sinywi tena.