Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakaa huko huko milele bila kusafiri? Tena wageni ndio huingizwa cha kike sana...kuna lugha za kuambiana kwenye bar na migahawa...! Mtu anapouliza leo nile nini? Ana maana kubwa sanaPoleni sana wakazi wa Dar es salaam sie huku kijijini Matombo ni Ugali kwa kwenda mbele hakuna mambo ya Chips Yai/kuku.
hahahah umenifunja mbafu mzeeKuna baa moja Kaloleni Arusha wanauza firigisi za kusaga na mayai
Hakuna firigisi pale ni nyama za miguu ya kuku na utumbo wake
ukishushia na konyagi pia ivo vyakula safi vinavyopikwa nyumbani sijui viakua kitu gani tenaMkishapata glasi moja baridiii na kuongezea nyengine hivyo vibudu wala haviwi vibudu tena...
Vya nyumbani vinakuwa vipolo,Usicheze na Moja moto Moja Barriddi..ukishushia na konyagi pia ivo vyakula safi vinavyopikwa nyumbani sijui viakua kitu gani tena
Unaipenda ama ilikubidi tu??Nimekula ile nyama ya punda miezi mitatu mfululizo pale kiwandani
Sent from my SM-N910X using JamiiForums mobile app
[emoji13] [emoji13]Maja munda gaki ni kazi/ji (kiendacho tumboni hakina makao ya kudumu)
nazo wanakaangia mafuta ya transfoma MtamaMchunguNdio maana muda mwingine naona bora chipsi tu
masalo hayo...Mara nyingi kwa mama lishe huwa wanatumia nyanya zinaitwa fofo, hizi ni nyanya mbovu zilizopasuka sokoni wanazipata kwa bei chee
Hizo siyo nyama ni vipande vya pipi.Kweli Kabisa, Ni Lazima Ujiulize Inakuwaje Supu Ya Elfu Mbili Unapewa Nyama Nane Na Chapati Ya Bure?