Vyakula tunavyolishwa kwenye Baa, Hotelini, Migahawa nk

Vyakula tunavyolishwa kwenye Baa, Hotelini, Migahawa nk

Mhh aise sasa wale ambao mchana tupo mbio mbio itabidi sasa wale wapenzi wetu a.k.a wake zetu wapendwa watuandalie vicontena!!! Sasa hapa mwanaume una sandwich umeandaliwa home inakuwaje? Ila kwa wazungu inawezekana kubeba ila kwa waafrike eti si utaratbu kwa wanaume. Wacha tuumwe typhoid, H. Pylori, kipindupindu na madudu yote mpaka minyoo wale wa kutafuna ubongo.

Nchi za watu mara nyingi lunch Park ni mkate, yai la kuchemsha na vitu vinavyofanana. hapa TZ mtu hajala kama hajala ugali nyama.
 
Kwa wale wapenzi wa nyama iwe ni kwa ajili ya matumizi binafsi nyumbani au kibiashara epuka kabisa nyama inayofuatwa na inzi, hiyo ujue ina tatizo tayari na waathirika ni wale watakao ila
1468690273324.jpg
nyama kama hii tayari ni tatizo na hata bei yake yaweza kuwa chini kuliko hii hapa
1468690319844.jpg
samaki pia ni mule mule waendao ferry wanajua fika bei ya samaki fresh inavyotofautiana kwa mbali na wa jana au samaki wa kwenye jokofu
1468690410530.jpg
Kwa vile mfanyabiashara anachoangalia ni faida tuu basi moja kwa moja atakimbilia samaki au nyama ya bei poa na hapo ndio tatizo linapoanzia
 
mi huwa nabeba chakula toka nyumbani,nna vicontena vyangu 3 naweka kwenye begi yangu na wala huwezi jua kama nimebeba msosi humo.ikifika muda nafanya yangu
 
mi huwa nabeba chakula toka nyumbani,nna vicontena vyangu 3 naweka kwenye begi yangu na wala huwezi jua kama nimebeba msosi humo.ikifika muda nafanya yangu
Nimekuja kuipata huku ile mada
 
Back
Top Bottom