Zunguka kote!
Ukikuta kuna sherehe au msiba halafu wapishi wawe wanawake mara nyingi chakula kinakuwa kibovu mno kuliko wakipika wanaume!
Wanawakwe huanza upishi kwa mbwembwe nyingi! Kuchambua mchele, kumenya viazi, vitunguu wanamenya, tena kilo zikiwa nyingi huwa wanagawana masufulia ili wapike kwa makundi na mbwembwe kibao mara watupia chumvi kwenye moto kutoa husda lakini ..pamoja na mbwembwe zooote chakula huwa kibaya sana!
Lakini wanaume saingine hata mchele hawachambui, viazi hawamenyi, vitunguu wanatupia hivyo pasipo maandalizi lakini huwa vinaiva na kuwa mtamu!
Zunguka kote huwezi kuta mwanaume kapika chakula kwenye shughuli kikawa kibaya!
Ila wakipika wanawake sasa uwiiiiiiiii! Wanawake ukiwafuatilia mambo yao hataunashindwa kuwaelewa aliyewaroga nani?
Ukikuta kuna sherehe au msiba halafu wapishi wawe wanawake mara nyingi chakula kinakuwa kibovu mno kuliko wakipika wanaume!
Wanawakwe huanza upishi kwa mbwembwe nyingi! Kuchambua mchele, kumenya viazi, vitunguu wanamenya, tena kilo zikiwa nyingi huwa wanagawana masufulia ili wapike kwa makundi na mbwembwe kibao mara watupia chumvi kwenye moto kutoa husda lakini ..pamoja na mbwembwe zooote chakula huwa kibaya sana!
Lakini wanaume saingine hata mchele hawachambui, viazi hawamenyi, vitunguu wanatupia hivyo pasipo maandalizi lakini huwa vinaiva na kuwa mtamu!
Zunguka kote huwezi kuta mwanaume kapika chakula kwenye shughuli kikawa kibaya!
Ila wakipika wanawake sasa uwiiiiiiiii! Wanawake ukiwafuatilia mambo yao hataunashindwa kuwaelewa aliyewaroga nani?