thephilanthropist
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 207
- 339
wanaraha,wanapewa raha,wanakula raha,wananenepa kwa raha!Waulize walioipata wanaendeleaje na hali huko waliko
ujuaji na ufundi unakuwa mwingi sanaZunguka kote!
Ukikuta kuna sherehe au msiba halafu wapishi wawe wanawake mara nyingi chakula kinakuwa kibovu mno kuliko wakipika wanaume!
Wanawakwe huanza upishi kwa mbwembwe nyingi! Kuchambua mchele, kumenya viazi, vitunguu wanamenya, tena kilo zikiwa nyingi huwa wanagawana masufulia ili wapike kwa makundi na mbwembwe kibao mara watupia chumvi kwenye moto kutoa husda lakini ..pamoja na mbwembwe zooote chakula huwa kibaya sana!
Lakini wanaume saingine hata mchele hawachambui, viazi hawamenyi, vitunguu wanatupia hivyo pasipo maandalizi lakini huwa vinaiva na kuwa mtamu!
Zunguka kote huwezi kuta mwanaume kapika chakula kwenye shughuli kikawa kibaya!
Ila wakipika wanawake sasa uwiiiiiiiii! Wanawake ukiwafuatilia mambo yao hataunashindwa kuwaelewa aliyewaroga nani?
Hata uboo wanaotaka ukiwailiza wanajichanganya,ukiwa waambia nchi 5 watasema Iko poa,ukiwaambia wakiwa salooni watasema Iko ndogo,wakienda kwenye kigodoro wanakula yoyote.Hamna lakini hawa viumbe sijui wana shida gani zunguka sehem nyingi vyakula wakipika vinakuwa vibaya! Sasa sijui ni vile wanajidai ni multiworkers!
Kwamba wanaweza shughuli nyingi kwa pamoja au nini
Woiwanaraha,wanapewa raha,wanakula raha,wananenepa kwa raha!
😃Waulize walioipata wanaendeleaje na hali huko waliko
HahaahhHata uboo wanaotaka ukiwailiza wanajichanganya,ukiwa waambia nchi 5 watasema Iko poa,ukiwaambia wakiwa salooni watasema Iko ndogo,wakienda kwenye kigodoro wanakula yoyote.
Mambo ni bulubulu
Vita ni vitaMambo ni bulubulu
Ukiwafuata jikonj unakuta wamenuniana mchochea kuni na mtia chumvi hawaongei...wanabishana kinoma ...mmoja anataka kugeuza ubwabwa mwngine anasema haupiki hivyo yaa fujo tupuUmesahau na kuchelewa kwa chakula. Utakisubiri wee kama Yesu.
Wanawake chakula kingi (cha watu wengi) huwa hawawezi kupika.wanawake si ndio wapishi majumbani na kwenye ubarikio, sherehe zetu mitaani? Ila kwenye hoteli kubwa wapishi huwa ni wanaume zaidi.
Wa wa wapi?Mdomo
Kasie kuna tubuma huku ebu njoo utie nenoZunguka kote!
Ukikuta kuna sherehe au msiba halafu wapishi wawe wanawake mara nyingi chakula kinakuwa kibovu mno kuliko wakipika wanaume!
Wanawakwe huanza upishi kwa mbwembwe nyingi! Kuchambua mchele, kumenya viazi, vitunguu wanamenya, tena kilo zikiwa nyingi huwa wanagawana masufulia ili wapike kwa makundi na mbwembwe kibao mara watupia chumvi kwenye moto kutoa husda lakini ..pamoja na mbwembwe zooote chakula huwa kibaya sana!
Lakini wanaume saingine hata mchele hawachambui, viazi hawamenyi, vitunguu wanatupia hivyo pasipo maandalizi lakini huwa vinaiva na kuwa mtamu!
Zunguka kote huwezi kuta mwanaume kapika chakula kwenye shughuli kikawa kibaya!
Ila wakipika wanawake sasa uwiiiiiiiii! Wanawake ukiwafuatilia mambo yao hataunashindwa kuwaelewa aliyewaroga nani?
HahahaaaaNipo kipenzi, wanaume wanajua kupika jaman, yaan wananipikaga mimi hadi nakuwa mtam