Vyama 11 vya Siasa vyalaani kauli za Tundu Lissu

Vyama 11 vya Siasa vyalaani kauli za Tundu Lissu

Tundu Lisu sio mwanasiasa ni mhuni aliyeingia kwenye Siasa sababu mwanasiasa huwinda kura ziongezeke kutoka Kwa walio wengi sio wachache
Lisu hata kura chache huua Kwa Domo lake chafu

Watu wengi wa chini hawana shida na muungano yeye huungana na wachache viongozi wa Zanzibar wachache wapinga muungano halafu anategemea Chadema ipate kura nyingi Bara na visiwani.

Amsikilize Warioba hapa akiongelea Kwa hoja nzito kuhusu muungano

View: https://www.youtube.com/live/zsseT8GhlEg?si=Qtf1OiHirfSMKRZz
 
Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.

View attachment 2982625

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

View attachment 2982626

"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.

Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini

Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.

"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.

Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.

Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.

Source: Matukio Daima
acheni ngonjera zenu. hoja za lisu zijibiwe kwa hoja siyo sarakasi.
TUNDU LISU NYAGHAAMBA.
AKISEMA NCHI INATIKISIKA HAHAHAHA
 
Tundu Lisu sio mwanasiasa ni mhuni aliyeingia kwenye Siasa sababu mwanasiasa huwinda kura ziongezeke kutoka Kwa wakio wengi sio wachache
Lisu hata kura chache huua Kwa Domo lake chafu

Watu wengi wa chini hawana shida na muungano yeye huungana na wachache viongozi wa Zanzibar wachache wapinga muungano halafu anategemea Chadema ipate kura nyingi Bara na visiwani.

Amsikilize Warioba hapa akiongelea Kwa hoja nzito kuhusu muungano

View: https://www.youtube.com/live/zsseT8GhlEg?si=Qtf1OiHirfSMKRZz

NDO UMESHAMJIBU LISU HAPO
hahaha kazi ipo
 
Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.

View attachment 2982625

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

View attachment 2982626

"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.

Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini

Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.

"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.

Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.

Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.

Source: Matukio Daima

F-82meeXkAACGjz.jpeg
 
Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.

View attachment 2982625

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

View attachment 2982626

"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.

Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini

Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.

"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.

Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.

Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.

Source: Matukio Daima
kukataliwa ni kitu mbaya sana wajemeni tena hadharani :whatBlink:
 
Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.

View attachment 2982625

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

View attachment 2982626

"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.

Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini

Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.

"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.

Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.

Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.

Source: Matukio Daima
You mean separate small branches za chama tawala?
 
Kulaani Kulaani kulaaani.. Hatukubaliani hatukubaliani hatukubaliani.. Mchochezi mchochezi mchochezi.. Anatukana anatukana anatukana.. Yani ni lopolopo tupu hakuna anaejibu hoja hata mmoja. Mwenyezi Mungu kwanini umetuumba nchi hii tuongozwe na wafia tumbo. Why God WHYYYYY
 
Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.

View attachment 2982625

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

View attachment 2982626

"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.

Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini

Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.

"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.

Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.

Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.

Source: Matukio Daima
tAKATAKA TUPU HIZO
 
Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.

View attachment 2982625

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

View attachment 2982626

"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.

Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini

Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.

"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.

Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.

Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.

Source: Matukio Daima
Mashina ya CCM hayo, mbona habari za "tutawapoteza" toka Bukoba hawakukemea.
 
"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

Hawa jamaa hawana kitu vichwani, kwa sababu hiki ndio kilio cha Lissu. Mosi waonyeshe ilipo Tanganyika. Pili waonyeshe DC Mtanganyika huko Zenji.
haya si matakataka matawi ya CCM
 
Hivi vyama kwanini huwa havijitokezi kiongozi yeyote wa CCM akitoa kauli za kichochezi?
Kweli mkuu, mbona huwa hawajitokezi ccm wanapotoa kauli za kijinga?? Mfano;-
1. Asiyetaka tozo ahamie Burundi......Mwigulu.
2. Kila mbuzi hula kwa urefu wa kama a yake........Samia.
3. CCM tutatumia dola kubakia madarakani..... Bashiru akiwa Katibu mkuu wa CCM.
4. Safari hii, safari hii hatutatumia bunduki. Ni simdano tu, pyuuu!.
N.k.
5. Mkichagua chama kingine hapa hatuleti maji.....JPM.
6. Wakurugenzi unalipwa mshahara na ccm halafu umtangaze mpinzani? Inhiii!! .....JPM.
 
Tundu Lisu sio mwanasiasa ni mhuni aliyeingia kwenye Siasa sababu mwanasiasa huwinda kura ziongezeke kutoka Kwa walio wengi sio wachache
Lisu hata kura chache huua Kwa Domo lake chafu

Watu wengi wa chini hawana shida na muungano yeye huungana na wachache viongozi wa Zanzibar wachache wapinga muungano halafu anategemea Chadema ipate kura nyingi Bara na visiwani.

Amsikilize Warioba hapa akiongelea Kwa hoja nzito kuhusu muungano

View: https://www.youtube.com/live/zsseT8GhlEg?si=Qtf1OiHirfSMKRZz

Tanzania tuna watu wengi sana na si lazima Warioba aongee ndiyo tujue kuna ukweli.Tuliosoma somo la Historia na Elimu ya Siasa tunamwelewa sana Tundu Lissu kwani anaongelea yale yote yaliyosahaulika na Awamu hii ya CCM.Umoja wetu utavurugwa na Viongozi wakuu wa Nchi pamoja na mapandikizi yao kwa kung'ang'ania Muungano ambao unaibeba nchi moja na kuidharau nyingine na wala si Tundu Lissu.
 
Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.

View attachment 2982625

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

View attachment 2982626

"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.

Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini

Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.

"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.

Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.

Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.

Source: Matukio Daima
Yaani mpzka DP ya Marehemu Mtikila Mtetezi wa Tanganyika imeungana na vyana vya brief case. Hivi kama Mtikila angekuwa hai angeruhusu chama chake kitoe tamko dhidi ya jambo alilolipigania uhai wake wote?

Nikiwahi kusema humu Tanzania ina vyana vya siasa viwili tu CCM na CHADEMA basi; vingine ni
CCM B kazi yao ni moja tu kuipinga CHADEMA. Vyama ambavyo hata kuitisha mkutano Dar es salaam haviwezi eti vinaibuka kila CHADEMA inapokuwa na malumbano na CCM.

Halafu CHADEMA Ikikubaliwa na CCN kuhusu jambo fulani inalolipigania navyo vinang'ang'ania vijumuishwe katika jambo hilo hilo ingawa mwanzoni vilipinga.
Hivi kuna watanzania kabisa wanajiunga na waganga njaa hawa eti ni vyama vya siasa.
 
KUFUATIA Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA -Tundu Lisu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba Mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyama vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kuchukua kwa kiongozi huyo na chama chake.

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu Lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
 
Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.

View attachment 2982625

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

View attachment 2982626

"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.

Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini

Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.

"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.

Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.

Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.

Source: Matukio Daima
VYAMA VYOTE HIVYO NI MATAWI YA CCM
 
Back
Top Bottom