Vyama 11 vya Siasa vyalaani kauli za Tundu Lissu

Vyama 11 vya Siasa vyalaani kauli za Tundu Lissu

Kweli Ujinga hauna mipaka.
KUFUATIA Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA -Tundu Lisu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba Mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyama vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kuchukua kwa kiongozi huyo na chama chake.

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu Lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
 
WASAKA Tonge KAZINI, Hii Aibu Sana Sana










Wanalani Ukweli, Hawa Wawapi Hawa!!!
 
Navipongeza hivyo vyama vya kizalendo kwa kukerwa na kauli za Lissu. Ila ninavishauri hivyo vyama na vyenyewe viache upumbavu wa kukaa kimya wakati kuna mambo mengi ya kuongelea. Kuna mambo mengi wananchi wanayapigia kelele ila vyama 11 vya kipuuzi huwa viko kimya kama vile sio kazi yao kisiasa.
 
Kujibu hoja za Lissu, hapana, kuelezea mapungufu ya katiba hapana, ila kukaa na kujipendekeza kwa mambo ya hovyo ni sawa, wadanganyika wana matatizo gani?
Inasikitisha sana
 
KUFUATIA Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA -Tundu Lisu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba Mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyama vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kuchukua kwa kiongozi huyo na chama chake.

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu Lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
Vyama vya msimu.
 
Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.

View attachment 2982625

"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.

"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.

"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza

View attachment 2982626

"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.

Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini

Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.

"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.

Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.

Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.

Source: Matukio Daima
Ni kawaida mtu kutafuta huruma baada ya kuzidiwa hoja.

Hawa wanatafuta huruma tu, wamjibu lissu, hoja inajibiwa kwa hoja
 
Ni kawaida mtu kutafuta huruma baada ya kuzidiwa hoja.

Hawa wanatafuta huruma tu, wamjibu lissu, hoja inajibiwa kwa hoja

Wanafiki wakubwa hawa. Hawa ndio maadui wa Taifa letu. Wanaamua kuwa wanafiki ili tu wapewe makombo angalao ya kuyajaza matumbo yao.

Hongera sana Lisu. Tunaomba Mungu aendelee kukulinda kama ambavyo amekulinda siku zote ili uendelee kuwa sauti ya Taifa linaloharibiwa na watu wanafiki.
 
Tanzania tuna watu wengi sana na si lazima Warioba aongee ndiyo tujue kuna ukweli.Tuliosoma somo la Historia na Elimu ya Siasa tunamwelewa sana Tundu Lissu kwani anaongelea yale yote yaliyosahaulika na Awamu hii ya CCM.Umoja wetu utavurugwa na Viongozi wakuu wa Nchi pamoja na mapandikizi yao kwa kung'ang'ania Muungano ambao unaibeba nchi moja na kuidharau nyingine na wala si Tundu Lissu.
Lisu hajui muungano huyo achana kasoma Bure kuanzia shule za Msingi Hadi chuo kikuu Bure haelewi kitu kuwa hizo pesa za yeye kusoma Bure zikitoka wapi kazaliwa 1968 baada ya muungano baba yake alikuwa lofa wa kufa mtu asingeweza kumsomesha

Kilichotokea mapinduzi ya Zanzibar yalipotokea Karume aliua wapemba wengi sana waliokuwa wakitawala Zanzibar na waziri mkuu Mpemba aliyeshinda uchanguzi halali kabisa Shamte

Kifupi baada ya Tanganyika kupata uhuru 1961 Nyerere alitaka kwenda mfumo wa kikomunisti wa kijamaa.Na Nyerere alikuwa na wanasiasa Wenye mawazo ya kikomunisti wasomi kama yeye Zanzibar wakiwemo akina Abdulahaman Babu Mpemba nk ambao walikuwa na vyama vya kikomunisti Zanzibar walioshiriki uchaguzi huru ulionwingiza Shamte kama Waziri mkuu wa Zanzibar 1963

Mwaka 1964 Karume akampindua waziri mkuu Mpemba Shamte aliyechaguliwa kidemokrasia kabisa.Karume Wala hakumpindua sultan uongo.alipindua Serikali halali kabisa iliyochaguliwa na wazanzibari chini ya Waziri mkuu Shamte

Sasa baada ya mapinduzi 1964 Karume aka Panick kuwa Shamte aweza kumpindua na Kwa kuwa hakuwa na Ideology yeyote akahofia wasomi akina Abdulahmam Babu Mpemba waweza mpindua waweke ukomunisti akaanza kuua wapemba Hadi hawakujua wakimbilie wapi.

Nyerere wakati huku Tanganyika katangaza kuwa anataka ukomunisti aliolaghai watanzania kuwa ni African Socialism .Mwongo.Ukikuwa ukomunisti.Wawekezaji wazungu wakaamua kuondoka .Nyerere akajikuta Hana waanyabiashara wakubwa walipa Kodi sababu Kipindi hicho Tanganyika hakukuwa na wafanyabiashara wakubwa wa maana ngozi nyeusi kulipa Kodi kubwa za Hadi kuwezesha Tundu Lisu asome Bure Toka Msingi Hadi chuo kikuu

Ndipo Nyerere msomi akaona ili apate Kodi kubwa aruhusu wapemba wanaonyanyaswa na kuuawa na Karume Zanzibar ruksa kuja Bara waishi popote Tanganyika ili kuwaokoa wasiuawe Zanzibar lakini pia kuokoa uchumi wa Tanganyika upate wafanyabiashara serious walipa Kodi sio wachovu wa Kabila la Tundu Lisu wasio na kitu na wasio walipa Kodi wakubwa akiwemo baba yake na Babu yake walikuwa malofa wa kutupwa

Ndipo akamlaghai Karume kuwa watu wako wazanzibari ruksa kuja Tanganyika kuishi popote na kuwekeza popote ila watanganyika sio ruksa kuja kwako kuwapa Ardhi

Matokeo yake Tanganyika wapemba Matajiri wote wakjahamishia biashara zao Tanganyika Hadi Leo Zanzibar imekula kwao Wazazibari matajiri wakubwa wote biashara zao linategemea bara na ofisi Kuu zao ziko Tanganyika ambako ndiko hulipa Kodi na ndio waliotoa pesa nyingi za Kodi zilizomuwezesha Tundu Lisu kusoma Bure Kodi za wapemba wafanyabiashara wakubwa walioletwa na muungano wa Nyerere na Karume

Hadi Leo wapemba wanaingiza pesa nyingi kuliko Kabila la Lisu wauza karanga ubuyu na alizeti
Tanganyika tunafaidi sana kupitia Kodi za wazazibari Wenye biashara kubwa Tanganyika wakiwemo Akina Azam Mzee Bakhresa

Wanyaturu Kabila la Lisu kwenye mchango TRA wanachangia Nini?
Ukilinganisha na wapemba walikuja kuwekeza Tanganyika Kwa kufurahia huo muungano Karume na Nyerere walisaini.
 
Hivi vyama kwanini huwa havijitokezi kiongozi yeyote wa CCM akitoa kauli za kichochezi?
Vyama utopolo vina nini cha kujibu?
Matutusa watupu, inabidi watoe bolt kwenye macho/masiko yao ndio waanze kuongea. hawa watu ni kama vile hawajui wananchi wanataka nini ili hali Warioba alisha watafunia kila kitu, wamebaki kumeza tu, lakini wapi, labda inabidi walambe matapishi ndio waelewe wananchi wanataka nini.
 
Kinana kaongea hakuna kitu. Vyama 11 navyo vimeongea hakuna kitu. Wote wamepigwa spana za kutosha.

Yaani Wazanzibari wanatubagua Watanganyika kwa vitendo wao wamekaa kimya. Mh Lisu kaweka banana namna Katiba ya sasa ilivyokuwa na mapungufu eti wanamuita mchochezi.

Kinana eti anasema mchakato wa Katiba Mpya ni wa vyama vyote na siyo Chadema na CCM. Vyama hivi 11 vingetoa maoni gani kwa mtindo huu??? Sheria ya uanzishwaji wa Vyama Vingi Vya Siasa hawajui. Watapigwa spana na Wananchi wenyewe na wala siyo Chadema.
 
Kinana kaongea hakuna kitu. Vyama 11 navyo vimeongea hakuna kitu. Wote wamepigwa spana za kutosha.

Yaani Wazanzibari wanatubagua Watanganyika kwa vitendo wao wamekaa kimya. Mh Lisu kaweka banana namna Katiba ya sasa ilivyokuwa na mapungufu eti wanamuita mchochezi.

Kinana eti anasema mchakato wa Katiba Mpya ni wa vyama vyote na siyo Chadema na CCM. Vyama hivi 11 vingetoa maoni gani kwa mtindo huu??? Sheria ya uanzishwaji wa Vyama Vingi Vya Siasa hawajui. Watapigwa spana na Wananchi wenyewe na wala siyo Chadema.
Anapiga miyowe tu ya kijinga kwani Kabila lake Lusu TRA wanachangia asilimia ngapi kwenye budget ya muungano ?
 
Back
Top Bottom