acheni ngonjera zenu. hoja za lisu zijibiwe kwa hoja siyo sarakasi.Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.
View attachment 2982625
"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.
"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.
"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza
View attachment 2982626
"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.
Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini
Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.
"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.
Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.
Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
Source: Matukio Daima
NDO UMESHAMJIBU LISU HAPOTundu Lisu sio mwanasiasa ni mhuni aliyeingia kwenye Siasa sababu mwanasiasa huwinda kura ziongezeke kutoka Kwa wakio wengi sio wachache
Lisu hata kura chache huua Kwa Domo lake chafu
Watu wengi wa chini hawana shida na muungano yeye huungana na wachache viongozi wa Zanzibar wachache wapinga muungano halafu anategemea Chadema ipate kura nyingi Bara na visiwani.
Amsikilize Warioba hapa akiongelea Kwa hoja nzito kuhusu muungano
View: https://www.youtube.com/live/zsseT8GhlEg?si=Qtf1OiHirfSMKRZz
Wachumia tumbo tuHivi vyama kwanini huwa havijitokezi kiongozi yeyote wa CCM akitoa kauli za kichochezi?
Vyote hivyo ni vyama chawa wa ccm, hivyo tamko lao ni tamko la ccm. Wanafaa kupuuzwaVyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.
View attachment 2982625
"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.
"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.
"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza
View attachment 2982626
"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.
Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini
Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.
"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.
Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.
Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
Source: Matukio Daima
Ndio na wewe msikilize jaji Warioba akiongeaNDO UMESHAMJIBU LISU HAPO
hahaha kazi ipo
kukataliwa ni kitu mbaya sana wajemeni tena hadharaniKauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.
View attachment 2982625
"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.
"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.
"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza
View attachment 2982626
"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.
Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini
Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.
"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.
Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.
Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
Source: Matukio Daima
You mean separate small branches za chama tawala?Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.
View attachment 2982625
"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.
"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.
"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza
View attachment 2982626
"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.
Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini
Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.
"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.
Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.
Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
Source: Matukio Daima
tAKATAKA TUPU HIZOKauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.
View attachment 2982625
"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.
"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.
"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza
View attachment 2982626
"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.
Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini
Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.
"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.
Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.
Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
Source: Matukio Daima
Mashina ya CCM hayo, mbona habari za "tutawapoteza" toka Bukoba hawakukemea.Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.
View attachment 2982625
"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.
"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.
"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza
View attachment 2982626
"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.
Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini
Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.
"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.
Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.
Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
Source: Matukio Daima
haya si matakataka matawi ya CCM"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.
Hawa jamaa hawana kitu vichwani, kwa sababu hiki ndio kilio cha Lissu. Mosi waonyeshe ilipo Tanganyika. Pili waonyeshe DC Mtanganyika huko Zenji.
Kweli mkuu, mbona huwa hawajitokezi ccm wanapotoa kauli za kijinga?? Mfano;-Hivi vyama kwanini huwa havijitokezi kiongozi yeyote wa CCM akitoa kauli za kichochezi?
Tanzania tuna watu wengi sana na si lazima Warioba aongee ndiyo tujue kuna ukweli.Tuliosoma somo la Historia na Elimu ya Siasa tunamwelewa sana Tundu Lissu kwani anaongelea yale yote yaliyosahaulika na Awamu hii ya CCM.Umoja wetu utavurugwa na Viongozi wakuu wa Nchi pamoja na mapandikizi yao kwa kung'ang'ania Muungano ambao unaibeba nchi moja na kuidharau nyingine na wala si Tundu Lissu.Tundu Lisu sio mwanasiasa ni mhuni aliyeingia kwenye Siasa sababu mwanasiasa huwinda kura ziongezeke kutoka Kwa walio wengi sio wachache
Lisu hata kura chache huua Kwa Domo lake chafu
Watu wengi wa chini hawana shida na muungano yeye huungana na wachache viongozi wa Zanzibar wachache wapinga muungano halafu anategemea Chadema ipate kura nyingi Bara na visiwani.
Amsikilize Warioba hapa akiongelea Kwa hoja nzito kuhusu muungano
View: https://www.youtube.com/live/zsseT8GhlEg?si=Qtf1OiHirfSMKRZz
Tumewachoka hawa watu na sarakasi zao.Kujibu hoja za Lissu, hapana, kuelezea mapungufu ya katiba hapana, ila kukaa na kujipendekeza kwa mambo ya hovyo ni sawa, wadanganyika wana matatizo gani?
Hawa mamluki wa ccm Mungu akawachome moto siku ya hukumu ya haki.Mashina ya CCM hayo, mbona habari za "tutawapoteza" toka Bukoba hawakukemea.
Yaani mpzka DP ya Marehemu Mtikila Mtetezi wa Tanganyika imeungana na vyana vya brief case. Hivi kama Mtikila angekuwa hai angeruhusu chama chake kitoe tamko dhidi ya jambo alilolipigania uhai wake wote?Kauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.
View attachment 2982625
"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.
"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.
"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza
View attachment 2982626
"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.
Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini
Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.
"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.
Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.
Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
Source: Matukio Daima
VYAMA VYOTE HIVYO NI MATAWI YA CCMKauli za hivi karibuni za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Vyama 11 vya Siasa Zanzibar vimelaani vikali kauli hizo ambazo wanadai kuwa ni kauli za Kebehi na uchochezi zinazolenga kuleta ubaguzi kwa Watanzania kupitia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akitoa wasilisho la Pamoja la Viongozi wa Vyama 11 vya Siasa juu ya kauli hizo, Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Juma Ali Khatib amesema kauli zilizotolewa na Tundu Lissu ni kauli za kibaguzi ambapo wameziomba mamlaka husika ikiwemo Msajili wa vyma vya siasa pamoja na vyombo vyengine kuangalia kwa makini hatua za kiongozi huyo na chama chake na kuchukua hatua zinazostahiki.
View attachment 2982625
"Sisi Vyama 11 vya siasa hatuungi mkono kauli zako Tundu lisu na tunazilaani, matamshi yako ya kibaguzi kwa kuonesha wazi wazi watu wa upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawana haki ya kufanya kazi upande mwingine na huu ni ubaguzi, uchochezi na kuonesha wazi wazi umefilisika kimawazo, kifikra na kisiasa na kutafuta Kiki za kisiasa,"amesema.
"Kwa msingi huu alioonesha Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhahiri anawaambia wananchi kwamba yeye ni mbinafsi, mwenye uchu wa madaraka, mchonganishi, mfitinishaji na mwenye dhamira ovu kwa Muungano wetu," ameongeza.
"Tunavitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini, pamoja na msajili wa vyama vya siasa kufanya uchunguzi wa kina juu kauli anazozitoa ndugu Tundu Lissu kupitia kwenye majukwaa ya kisiasa kama ni za kwake au anatumwa na chama chake na ikithibitika Msajili wa vyama kisiasa achukuwe hatua kwa mujibu wa sheria kutokana kuwa kauli hizo zinalengo la kuligawa taifa letu," ameeleza
View attachment 2982626
"Vyombo vya ulinzi na usalama na wao wachukue hatua stahiki dhidi yake au chama chake ili iwe somewhat tabia hii," amefafanua.
Amesema kuwa, ni ukweli usiopingika chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Taifa la Tanzania limezidi kuimarisha kwa kuwepo umoja na mshikamano zinatokana na juhudi zake za kuimarisha demokrasia nchini
Aidha Mwenyekiti huyo amesitiza kuwa, kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara na shughuli za kisiasa kusiwafanye viongozi wa siasa kuvuka mipaka na kuwatukana viongozi hadharani pamoja na kutoa kauli za uchohezi na ubaguzi ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi.
"Ni ukweli kuwa Dkt. Samia amefungua mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa wanadi Sera zao kwa wananchi na si kutumia vibaya ruhusa hiyo," ameeleza.
Kwa upande wake Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Ali Makame Issa amewataka Watanzania kuacha kusikilza na kusambaza kauli za kibaguzi znazotolewa na kiongozi huyo.
Majuma kadhaa yaliyopita Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alitoa kauli za kukosa maamuzi ya serikali huku akimtaja Rais wa Jamhuri ay Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akidai kuwa anafanya maamuzi ya kuwakandamiza watanzania Bara kwa kuwa ametoka upande wa Pili wa Muungano, Tanzania Zanzibar
Vyama vilivyotoa tamko hilo ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.
Source: Matukio Daima