Vyama 11 vya Siasa vyalaani kauli za Tundu Lissu

Kama kawaida, vyama "TANZU" vya CCM😃🙆
 
Angalia yalivyokaa kaa kama minyoo vile... waafrika ni watu wa hovyo sana
 
Trash
 
Wewe ni mburura tu maneno meengi lakini yamejaa matope matupu.
 
Mpaka Sasa hatujasikia kauli za msajili wa vyama vya siasa haiwezekani Raisi wetu aliyetuletea maendelea kwa kiasi kikubwa miradi mikubwa amefanikisha mfano bwawa la mwalimu NYERERE limeanza kazi,SGR kipande cha Dar Dodoma kimekamilika,wawekezaji Wanakuja kwa wingi Watanzania tunapata ajira na manufaa mengineyo mengi.Lisu afungiwe kufanya siasa,ashitakiwe kwa kusambaza maneno ya chuki na dhihaka,Media iliyorusha hotuba ya Lisu ifungiwe.
 
Hapo hoja ni je wamelipwa sh ngapi?
 
Hao ni kunguni dume wa CCM wakati mwenyekiti wa uvccm Kagera akitoa Ile kauli hatarishi kwa jeshi la polisi kwamba mtu akiuwawa hasitafutwe walikuwa hawajasaini buku 7
 
Umeshindwa kama mama yako.
 
Huenda kweli Lisu ni mbaguzi je hoja zake nazo? Mtanganyika anaweza kuwa waziri Serikali ya Zanzibar je kuna kitambulisho cha mkazi ambacho kama huna hupewi Ardhi. Wabunge 80 wa Zanzibar kwenye bunge la muungano na hakuna mbunge waTanganyika hata mmoja bunge la wawakilishi ukitoa TV Dae kwenda Arusha hakuna ushuru ila Zanzibar Dar kuna ushuru je so ubaguzi? Huenda Lisu ni Mbaguzi na hoja zake je?
 
Some political party are not actively in opposition but they are just there as state agents
 
umkotho we sizwe of CCM ni ADA TADEA, CCK, NLD, Demokrasia Makini, NCCR- MAGEUZI, TLP, UPDP, SAU, UMD, NRA na Chama cha DP.

ZITTO NDIO MWENYEKITI WAO .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…