Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Hili suala si la kulifumbia macho ama kulidharau, ukipita kwenye kona mbali mbali za jiji la Dar utakuta ni picha tu za wagombea wa CCM ndio zimetawala mji mzima lakini Vyama Pinzani hakuna kabisa mabango yao ya kampeni mitaani.
Hali hii inawafanya wananchi wengi kuona kama vile vyama pinzani haviko serious na havijajipanga kwa uchaguzi.
Achaneni na hiyo hoja kuwa eti mnazuiliwa kuweka mabango na mamlaka za jiji, wananchi wanajua huo ni uzushi hizi sehemu za mijini watu ni wasomi hawadanganyiki kirahisi namna hiyo.
Toeni fungu, tengenezeni mabango ya kampeni. Uchaguzi bila matangazo ni kujiandaa kushindwa na si kushinda.
Hali hii inawafanya wananchi wengi kuona kama vile vyama pinzani haviko serious na havijajipanga kwa uchaguzi.
Achaneni na hiyo hoja kuwa eti mnazuiliwa kuweka mabango na mamlaka za jiji, wananchi wanajua huo ni uzushi hizi sehemu za mijini watu ni wasomi hawadanganyiki kirahisi namna hiyo.
Toeni fungu, tengenezeni mabango ya kampeni. Uchaguzi bila matangazo ni kujiandaa kushindwa na si kushinda.