Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maccm yanamuogopa Lissu zaidi ya Moto wa jehanamuBango kuuuuubwa la PICHA YA LISU pale IKUNGI liliondolewa kwa AMRI YA NANI?
Matangazo mangapi ya FERRARI umewai kuyaona kwenye TV?Sitaki kabisa kuamini kuwa hujui maana ya matangazo na umuhimu wake kimkakati iwe kibiashara ama kampeni Kama hivi.
Tv ipi iliyokatazwa?mbona nimeangalia ITV leo saa mbili nimeona habari za Lissu Yuko Njombe?Watanzania jamani hebu tupunguze dhambi ndogondogoKama TV, magazeti,Radio na online tv zimezuiwa kutokumtangaza mgombea wa upinzani na wananchi bado wanahudhuria na kupata taatifa zote kuhusu kampeni, sio kma hayo mabango ya ccm Nchi nzima Kama yatasaidia. Watu wa Sasa sio wa miaka ya 1970s' watu wanajitambua wanajua kinachoendelea wewe washauri ccm waongeze mpk mashuleni mahospitali.
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Huko Iringa Msigwa kupata hasara sana. Kwa kujua kuna ubanduaji picha, aliamua katumia gundi imara sana ambayo ngumu kubanduka na hata ukibandua kinatoka kipande kidogo tu na kuiacha picha nzima inaonekana vizuri. Baada ya kugundua hivyo, mahasimu wake waliamua kuzipaka rangi nyekundu picha zote toka juu ya mlima Ipogolo mpaka chini. Picha za rangi nchi 18 zaidi ya 200 kuharibiwa hivyo ni hasara ya kiasi gani.Hili suala si la kulifumbia macho ama kulidharau, ukipita kwenye kona mbali mbali za jiji la Dar utakuta ni picha tu za wagombea wa CCM ndio zimetawala mji mzima lakini vyama pinzani hakuna kabisa mabango yao ya kampeni mitaani...
Hilo la kweli mkuu hata mie eneo langu huku watu hawajui wagombea wa upinzani ni akina nani?kuna jamaa alikuwa diwani wetu kupitia chama cha Cuf ila sasa amehamia ccm na anagombea tena na ndiyo huyo tu anajulikana ila wagombea wenzake wa vyama vyengine hawajulikani hata kama wapo.Kuna vyama haviko serious na uchaguzi.
Kuna majimbo hata hatujui nani anagombea na wagombea wapo....
Membe kasema vyama vinakabiliwa na ukataHili suala si la kulifumbia macho ama kulidharau, ukipita kwenye kona mbali mbali za jiji la Dar utakuta ni picha tu za wagombea wa CCM ndio zimetawala mji mzima lakini vyama pinzani hakuna kabisa mabango yao ya kampeni mitaani.
Hali hii inawafanya wananchi wengi kuona kama vile vyama pinzani haviko serious na havijajipanga kwa uchaguzi.
Achaneni na hiyo hoja kuwa eti mnazuiliwa kuweka mabango na mamlaka za jiji, wananchi wanajua huo ni uzushi hizi sehemu za mijini watu ni wasomi hawadanganyiki kirahisi namna hiyo.
Toeni fungu, tengenezeni mabango ya kampeni. Uchaguzi bila matangazo ni kujiandaa kushindwa na si kushinda.
Sihitaji kuona picha ili kumchagua mtu. Mie nikishika karatasi tu natafuta mgombea wa Chadema naweka tiki kwenye kibox chake!!Hili suala si la kulifumbia macho ama kulidharau, ukipita kwenye kona mbali mbali za jiji la Dar utakuta ni picha tu za wagombea wa CCM ndio zimetawala mji mzima lakini vyama pinzani hakuna kabisa mabango yao ya kampeni mitaani...
Kwani idadi ya wanao jitokeza kupiga Kura inalingana na idadi ya watanzania wote? Idadi ya watu kwenye kampeni ya vyama pinzani ndio sawa na idadi ya watu kwenye eneo husika?The numbers of the peoples which occurred on the ccm Rally its few to comparing with the real residents which find in Bukoba Municipal.
Nimekumbuka bango la Lowassa Ubungo mawasiliano.. bango la Lowassa Kariakoo sokoni...
Siku bango la Lowassa linafungwa sokoni Kariakoo ilikuwa shangwe Kariakoo yote mpaka unashangaa nini kimetokea.. Nikajibiwa bango la Rais linafungwa sokoni.