Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Wasalaam,
Ee ni vyama rafiki ndiyo. ACT, Cuf, Chauma, Nccr mageuzi na vingine.
Unaelewa kuwa huko chadema moto unawaka? Mbona hawajotokezi hata kutoa fursa za kuwapokea wanachama wapya watakao kumbwa na kadhia ya uchaguzi.
Lipumba, Zitto, sipunda, Mbatia msiwe kimya toeni maoni yenu yanaweza ongeza moto huko chadema.
Wasisubirie ccm iwazoe, waanze kupiga debe.
Trh 18-19 kwa upokezi pia wa wanachama wapya. Stay tuned for a big surprise.
Ee ni vyama rafiki ndiyo. ACT, Cuf, Chauma, Nccr mageuzi na vingine.
Unaelewa kuwa huko chadema moto unawaka? Mbona hawajotokezi hata kutoa fursa za kuwapokea wanachama wapya watakao kumbwa na kadhia ya uchaguzi.
Lipumba, Zitto, sipunda, Mbatia msiwe kimya toeni maoni yenu yanaweza ongeza moto huko chadema.
Wasisubirie ccm iwazoe, waanze kupiga debe.
Trh 18-19 kwa upokezi pia wa wanachama wapya. Stay tuned for a big surprise.