Vyama visivyo na wajibu kwa jamii ni vya nini?

Vyama visivyo na wajibu kwa jamii ni vya nini?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ni wajibu wa vyama vinavyojitanabaisha kuwa vya ukombozi kuwahamasisha na kuwaongoza watu kudai haki zao.

Mtaji wa vyama hivyo ni watu. Ni jukumu kipaumbele la vyama vinavyojitambua kuwa mkao wa kula kujua au kutafuta wapi pana malalamiko na kuyafanyia kazi vilivyo.

Kudai katiba mpya ni ukombozi katika kudai haki.

Nani ataunga mkono shughuli za vyama hivi kama vyenyewe havijihusishi kwenye shughuli za wengine?



Hapa baba anatoa somo.

Tujiulize vyama vyetu hujihusisha na jambo gani linaloihusu jamii?

"Ni panya road, ni kadhia ya askofu Mwingira na haki, ni Ndugai na haki, ni Law School na wanafunzi, ni sakata la CAG, ni Mpina anavyo komaa bungeni, ni adha za TRA na wafanyabiashara, ni adha za LATRA na wenye vyombo vya usafiri nk?

Au vyetu navyo ni vinara wa magumzo zungumzo kama ya Simba na Yanga tu?

Vinavyoelea, vimeundwa.

Atalaumiwa sana dobi, kaniki ni rangi yake!
 
Watoto wawili wa darasa la kwanza washambuliwa na fisi mpaka kufa Magu

Screenshot_20230429-094146.jpg


Vyama vya siasa vipo, vinakenua serikali ikinunua magoli kwa 10m/- + kwa goli.
 
Naamini sasa tunakubaliana kuna ombwe la uongozi kwenye vyama vya siasa, tena hasa Chadema tulichokizoea kuwa mstari wa mbele kwenye kuwaamsha wananchi kudai haki zao, hivyo vingine sioni sababu ya kuvitaja hapa kwa maana vilishaonesha rangi zao.

Ajabu kwangu ni Chadema ambacho sasa naanza kukiona taratibu kikielekea kule walipo kina ACT Wazalendo, TLP, na wengine wa sampuli hiyo, nadhani matokeo ya hili ni yale maridhiano yanayoendelea baina ya viongozi wa CCM na Chadema.

Inavyoonekana Mbowe ameshatulizwa kwenye yale maridhiano na Samia, kinachotokea nae sasa ameshawatuliza viongozi wenzie ndani ya chama, mfano Lema, licha ya kuwa na kelele siku zilizopita kutaka kufahamu nini kinazungumzwa baina ya Mbowe na Samia kwenye maridhiano, naona siku hizi yupo kimya, atakuwa keshatulizwa.

Lissu nae yupo yupo tu, tangu amerudi toka Ubelgiji alipokwenda kwa mambo yake yupo kimya, anasubiri mpaka aitwe kwenye interview kwenye TV na Radio Stations ndio akazungumze, baada ya hapo kimya..

Naona Mbowe anatakiwa kujiuzulu uenyekiti wake Chadema mwaka huu kama alivyosema, inavyoonekana kuendelea kwake kuwa mwenyekiti kumeanza kukipoza kile chama kwa kubadilisha mbinu zake, ni kama vile anamsindikiza Samia kuelekea 2025, naona sasa ni muda wake wa kuondoka kama alivyosema mwenyewe.
 
Naamini sasa tunakubaliana kuna ombwe la uongozi kwenye vyama vya siasa, tena hasa Chadema tulichokizoea kuwa mstari wa mbele kwenye kuwaamsha wananchi kudai haki zao, hivyo vingine sioni sababu ya kuvitaja hapa kwa maana vilishaonesha rangi zao.

Ajabu kwangu ni Chadema ambacho sasa naanza kukiona taratibu kikielekea kule walipo kina ACT Wazalendo, TLP, na wengine wa sampuli hiyo, nadhani matokeo ya hili ni yale maridhiano yanayoendelea baina ya viongozi wa CCM na Chadema.

Inavyoonekana Mbowe ameshatulizwa kwenye yale maridhiano na Samia, kinachotokea nae sasa ameshawatuliza viongozi wenzie ndani ya chama, mfano Lema, licha ya kuwa na kelele siku zilizopita kutaka kufahamu nini kinazungumzwa baina ya Mbowe na Samia kwenye maridhiano, naona siku hizi yupo kimya, atakuwa keshatulizwa.

Lissu nae yupo yupo tu, tangu amerudi toka Ubelgiji alipokwenda kwa mambo yake yupo kimya, anasubiri mpaka aitwe kwenye interview kwenye TV na Radio Stations ndio akazungumze, baada ya hapo kimya..

Naona Mbowe anatakiwa kujiuzulu uenyekiti wake Chadema mwaka huu kama alivyosema, inavyoonekana kuendelea kwake kuwa mwenyekiti kumeanza kukipoza kile chama kwa kubadilisha mbinu zake, ni kama vile anamsindikiza Samia kuelekea 2025, naona sasa ni muda wake wa kuondoka kama alivyosema mwenyewe.

ALikuwapo huyu ndugu Allen Kilewella. Kapotelea kusikojulikana. Asingependa kusikia miungu watu wakikosolewa.

Zinapigwa kelele mtandaoni kuliko kwenye vyama.

Nadhani tupiganie demokrasia sahihi vyamani. Wachaguliwe watu wanaostahili kwa haki, uhuru na uwazi kujibu agenda na malengo yetu.

Kiongozi akishindwa kukidhi vigezo iwe sababu tosha ya kumfurusha.

Kama walivyo wenye mawazo ya "UP Hapa Kazi tu" kule kwingine, "Chadema Asili" kinaweza kuwa chama kingine pia.

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

Anapigiwa je mbuzi gitaa siku zote?
 
Ni wajibu wa vyama vinavyojitanabaisha kuwa vya ukombozi kuwahamasisha na kuwaongoza watu kudai haki zao.

Mtaji wa vyama hivyo ni watu. Ni jukumu kipaumbele la vyama vinavyojitambua kuwa mkao wa kula kujua au kutafuta wapi pana malalamiko na kuyafanyia kazi vilivyo.

Kudai katiba mpya ni ukombozi katika kudai haki.

Nani ataunga mkono shughuli za vyama hivi kama vyenyewe havijihusishi kwenye shughuli za wengine?

View attachment 2603242

Hapa baba anatoa somo.

Tujiulize vyama vyetu hujihusisha na jambo gani linaloihusu jamii?

"Ni panya road, ni kadhia ya askofu Mwingira na haki, ni Ndugai na haki, ni Law School na wanafunzi, ni sakata la CAG, ni Mpina anavyo komaa bungeni, ni adha za TRA na wafanyabiashara, ni adha za LATRA na wenye vyombo vya usafiri nk?

Au vyetu navyo ni vinara wa magumzo zungumzo kama ya Simba na Yanga tu?

Vinavyoelea, vimeundwa.

Atalaumiwa sana dobi, kaniki ni rangi yake!
Odinga mwenyewe ni mleta fujo tu hafai kabisa maana anahatarisha usalama wa watu.
 
Odinga mwenyewe ni mleta fujo tu hafai kabisa maana anahatarisha usalama wa watu.
Odinga ni mhamasishaji watu kujipigania. Odinga hanyamazi anaposikia ukiukwaji haki mahali hata kama muathirika si yeye binafsi.

Wote hawa ni kama Odinga:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Hao si waleta fujo. Hao ni mashujaa kwenye jamii zao.

Odinga ni shujaa kwao. Mimi na wewe ni nani kumwona kuwa ni mleta fujo?

FutD12pWIAEjDDU.jpeg


Mtofautishe Odinga na hizo mbuzi hapo.

Mbuzi hizo zinasubiria kupata katiba mpya kwa amani. Hawataki wanachoambiwa ni fujo.
 
Odinga ni mhamasishaji watu kujipigania. Odinga hanyamazi anaposikia ukiukwaji haki mahali hata kama muathirika si yeye binafsi.

Wote hawa ni kama Odinga:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Hao si waleta fujo. Hao ni mashujaa kwenye jamii zao.

Odinga ni shujaa kwao. Mimi na wewe ni nani kumwona kuwa ni mleta fujo?

View attachment 2603895

Mtofautishe Odinga na hizo mbuzi hapo.
Hapana Odinga ni mzee wa maslahi hata Wajaluo wameshamshtukia,Odinga ameua watu wengi sana kwa sababu tu ya kutaka Urais.
 
Hapana Odinga ni mzee wa maslahi hata Wajaluo wameshamshtukia,Odinga ameua watu wengi sana kwa sababu tu ya kutaka Urais.

Wakenya waliomstukia Odinga ni hawa?

rao-kibra-pix.jpg


(Juzi hiyo)

Ila ambao hawajawastukia Chadema ni wewe na mimi?
 
Odinga ni mhamasishaji watu kujipigania. Odinga hanyamazi anaposikia ukiukwaji haki mahali hata kama muathirika si yeye binafsi.

Wote hawa ni kama Odinga:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Hao si waleta fujo. Hao ni mashujaa kwenye jamii zao.

Odinga ni shujaa kwao. Mimi na wewe ni nani kumwona kuwa ni mleta fujo?

View attachment 2603895

Mtofautishe Odinga na hizo mbuzi hapo.

Mbuzi hizo zinasubiria kupata katiba mpya kwa amani. Hawataki wanachoambiwa ni fujo.
Unataka katiba mpya iletwe na mbowe kwani wewe siyo mtnzanI?
Chadema ni nani?
 
Unataka katiba mpya iletwe na mbowe kwani wewe siyo mtnzanI?
Chadema ni nani?

Wapi nilipomtaja Mbowe ndugu? Katiba mpya haitakuja yenyewe bila kuwapo viongozi wa kuhamasisha na kuongoza harakati hizo.

Wenye nia ya dhati ya kufanikisha uhitaji wa agenda na malengo yetu (yaani kuhamasisha na kuongoza madai ya katiba mpya) hao wanafuzu kuwa viongozi wetu.

Kama hayo huyawezi ni halali kukufurusha kama hung'atuki mwenyewe.

Kina Odinga na mkuluro huu:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

wanao utashi na uthubutu tunaoutaka. Wenye uthubutu huo tupo wengi.

Pa kuanzia tuweke misingi imara ya kidemokrasia vyamani ili tupate viongozi wanaofaa kwa ajili harakati hizi ambazo si lelemama.

Wewe hutaki hivyo ndugu?

Au wewe siyo mtanzanzania na hauna uchungu wowote na nchi hii?
 
Back
Top Bottom