Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Utakuwa jini au mchawi, jicho la tatu tena.!!!Tumia jicho la 3 CCM utaiona hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa jini au mchawi, jicho la tatu tena.!!!Tumia jicho la 3 CCM utaiona hapo.
Naam hiki ni kipaji maalumu.Utakuwa jini au mchawi, jicho la tatu tena.!!!
hakuna vyama hapo!! wote madalali wa CCM.1. DEMOKRASIA MAKINI
2. DP
3. SAU
4. TLP
5. UPDP
6. CCK
7. NLD
8. NCCR
9. ADA TADEA
10. AFP
11. ADC
12. UDP
kashafika bei Mzee wa Vunjo....njaa huwa ni mbaya sana inaweza kukuondelea utu.Mpaka NCCR!! Mbatia kawa mtu wa hovyo.
Wenye ujasiri wa kusimama na kupambana na ukandamizaji ni adimu sana hapa duniani.Mpaka NCCR!! Mbatia kawa mtu wa hovyo.
Shemela wa Mr zerokashafika bei Mzee wa Vunjo....njaa huwa ni mbaya sana inaweza kukuondelea utu.
Hivyo hapo juu ni vyama vilivyounda 'UKAWA' yao na CCM.
Tamko hili limesomwa kwenu na mimi Katibu Mkuu wachama cha Demokrasia MAKINI , Ameir Hassan Ameir, kwa niaba ya Viongozi wa vyama vya siasa.
1. DEMOKRASIA MAKINI
2. DP
3. SAU
4. TLP
5. UPDP
6. CCK
7. NLD
8. NCCR
9. ADA TADEA
10. AFP
11. ADC
12. UDP
Hivi vyama vipo kweli tofauti na NCCR angalau ina mbunge mmoja ,nikuombe mh msajili wa vyama vya siasa futa vyote hivi vinakujazia nafasi bure kwenye daftari lako