Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Vyama vya Siasa ndiyo wawakilishi wa wananchi, ndiyo sauti ya wengi. Katika sera zenu wengi wameongelea Afya ya Jamii, maji, umeme, elimu, kilimo, biashara, nk.
Wananchi ambao ni wapiga kura wenu, hasa wanaokaa mijini wengi ni wenye kipato chini ya Tsh 500,000 kwa mwezi. Wengi wako kwenye ujira wa 300,000 au chini ya hapo kwa mwezi. Wengine ni waajiriwa wenye ujuzi ambao ujuzi wao unaendeleza jamii. Lakini watu hawa uwezo wa kuishi kwenye makazi yenye hadhi mijini ni changamoto.
Kama mtaweza kufikiria ujenzi wa nyumba self contained au flats za chumba kimoja, viwili na vitatu, zipangangishwe kwa kodi ya 100,000, 150,000 mpaka 200,000 kwa mwezi. Ili kwasaidia wenye kipato cha chini kuwa na makazi yenye hadhi.
Kigezo cha kuapata nyumba hizi kiwe wenye mishahara chini ya 500,000 kwa mwezi. Sisi wa hali ya chini tumechoka kuishi kwenye chumba na sebule na kutumia vyoo vya passport size. Hata tukienda Mloganzila tuwe na mazoea ya kutumia miundo mbinu kama vyoo na mabafu.
Wananchi ambao ni wapiga kura wenu, hasa wanaokaa mijini wengi ni wenye kipato chini ya Tsh 500,000 kwa mwezi. Wengi wako kwenye ujira wa 300,000 au chini ya hapo kwa mwezi. Wengine ni waajiriwa wenye ujuzi ambao ujuzi wao unaendeleza jamii. Lakini watu hawa uwezo wa kuishi kwenye makazi yenye hadhi mijini ni changamoto.
Kama mtaweza kufikiria ujenzi wa nyumba self contained au flats za chumba kimoja, viwili na vitatu, zipangangishwe kwa kodi ya 100,000, 150,000 mpaka 200,000 kwa mwezi. Ili kwasaidia wenye kipato cha chini kuwa na makazi yenye hadhi.
Kigezo cha kuapata nyumba hizi kiwe wenye mishahara chini ya 500,000 kwa mwezi. Sisi wa hali ya chini tumechoka kuishi kwenye chumba na sebule na kutumia vyoo vya passport size. Hata tukienda Mloganzila tuwe na mazoea ya kutumia miundo mbinu kama vyoo na mabafu.