Yaliyopo kule,Hamas wanatawala Gaza,Fatah na mamlaka ya palestina wanatawala West Bank.Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
Cha msingi meseji iwe send kwa Hamas kwa lugha nzitoYaliyopo kule,Hamas wanatawala Gaza,Fatah na mamlaka ya palestina wanatawala West Bank.
Hamas na Fatah hawapiki chungu kimoja ila lengo lao Moja.
Ukiandamana unawaonea Mamlaka ya Palestina hawana ubavu WA kumdhibiti Hamas.
Hivi kweli Hashim Rungwe-Chauma ataandamana yule?
Taifa teule Leo hii la kushindwa kuwaokoa mateka 260, Hilo Taifa si lina aina zote za siraha tofauti na mgambo wenye mawe mkononi?
Na waislamu wataandamana kupinga Israel. Waaandamanaji watakutana kati kati ya barabaraVyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas
Na wewe wasiliana na balozi Isreal americaHaihitaji maandamano! Ila ni kuwasiliana na ubarozi wa Qatar! Ni moja ya nchi zinazokifadhiri kikundi cha Hamas! Nadhani tuna ubarozi wa Qatar hapa Tanzania.
Isitoshe ni nchi jirani na Oman kwa wajomba zetu.
Kwa hiyo Marekani na wengine kuita wao ni International terrorists kama Alshabab au Alkaeda wako sahihi Kwa hiyo wateke watu wetu halafu tukiwataka watutishie nyau? HaiwezekaniAnza kuandamana halaf usichojua ni kuwa HAMAS ni kama Al shababu somalia huwez laumu serikali ya Parestina
Afadhali taifa teule. Allah Mungu wa kweli hana mshirika muweza ya yote anaabudiwa kwa nidhamu, mashindano hadi anasafishiwa mikundu na marinda kumbinulia kashindwa kweli kujngamiza Israel na kuikomboa palestina?Yaliyopo kule,Hamas wanatawala Gaza,Fatah na mamlaka ya palestina wanatawala West Bank.
Hamas na Fatah hawapiki chungu kimoja ila lengo lao Moja.
Ukiandamana unawaonea Mamlaka ya Palestina hawana ubavu WA kumdhibiti Hamas.
Hivi kweli Hashim Rungwe-Chauma ataandamana yule?
Taifa teule Leo hii la kushindwa kuwaokoa mateka 260, Hilo Taifa si lina aina zote za siraha tofauti na mgambo wenye mawe mkononi?
Hatua hii haitoshi, maandamano yawe ni kushinikiza Serikali iamuru maafisa wa ubalozi wa Palestina wasitishe shughuli zao hapa nchini mpaka Watanzania hao waachiwe.Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
Mbona Serikali yenyewe inawatetea?Anza kuandamana halaf usichojua ni kuwa HAMAS ni kama Al shababu somalia huwez laumu serikali ya Parestina
Vyote vitumike na wengine wenye ushauri waweke hadi watu wetu watanzania wenzetu waachiliwe na HamasHatua hii haitoshi, maandamano yawe ni kushinikiza Serikali iamuru maafisa wa ubalozi wa Palestina wasitishe shughuli zao hapa nchini mpaka Watanzania hao waachiwe.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Humu kuna Wabongo wanasapoti harakati za Hamas, lakini uwezi kusikia wakipinga kitendo cha HAMAS kuteka watanzania. Ukiteka Ndugu zetu tayari wewe ni adui kwetu
Serikali ya Palestina Chini ya Mahmoud Abas ipo located western bank na Hamas wapo Gaza kama Hufahamu hawa ni Mahasimu. Viongozi wa Palestina ambao wapo Western Bank hawana nguvu yoyote Gaza.Vyama vya siasa Tanzania viitishe maandamano kwenda ubalozi wa Palestina uliopo nchin kudai watanzania wenzetu wanaoshikiliwa mateka na Hamas waachwe huru
Aiseee, watanzania waliotekwa wanaweza kuwa waislam pia. Sasa wao wanapigana na nani?Na waislamu wataandamana kupinga Israel. Waaandamanaji watakutana kati kati ya barabara
Haina shida umoja wa Mataifa na Tanzania tunambua nchi ya Palestina ambayo ndio ina ubalozi TanzaniaSerikali ya Palestina Chini ya Mahmoud Abas ipo located western bank na Hamas wapo Gaza kama Hufahamu hawa ni Mahasimu. Viongozi wa Palestina ambao wapo Western Bank hawana nguvu yoyote Gaza.